Mke wangu amezidisha dharau

Mke wangu amezidisha dharau

Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Mkuu hapa umelalamika kitoto sana huyo mkeo lazima akudharau tu. Kwa utoto huu jamaa watakutombea mpaka basi yaani.

Hujakaa kiume kabisa mtu wangu. Ishi kiume na mke atafuata maelekezo yako bila shida. Wanawake wanataka mwanaume mwenye kukemea na kumaanisha juu ya jambo siyo kumiliki tu dushe ndo ujione mwanaume.
 
Screenshot_20240822_182707_Lite.jpg

Wimbi la wajinga kuoa wake za watu limekua kubwa.

1.Usioe mwanamke uliemtoa kwenye mahusiano strong, hapo tunasema umenyang'anya mtu mke wa ujana wake na ipo siku ataondoka.

2.Usimbembeleze mwanamke kumuoa mpaka yeye atakapojiona yupo tayari kuolewa, hapa tunasema umeforce lazima udharaulike.

3.Usiwe plan B kwa mwanamke baada ya kutemwa na Kipenzi chake cha moyo, hapa tunasema umeonewa huruma lazima ulipie.

#Shule ya Sabatho ya Leo 👆👆👆
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Mi naona tatizo linaanzia hapo kwenye kumchunga. Mwanamke hachungwi, wajibu wako ni kumlinda tu na umpe uhuru unaomstahili akishindwa kuutumia basi hakuwa na utayari wa kuwa kwenye ndoa.
 
View attachment 3101901
Wimbi la wajinga kuoa wake za watu limekua kubwa.

1.Usioe mwanamke uliemtoa kwenye mahusiano strong, hapo tunasema umenyang'anya mtu mke wa ujana wake na ipo siku ataondoka.

2.Usimbembeleze mwanamke kumuoa mpaka yeye atakapojiona yupo tayari kuolewa, hapa tunasema umeforce lazima udharaulike.

3.Usiwe plan B kwa mwanamke baada ya kutemwa na Kipenzi chake cha moyo, hapa tunasema umeonewa huruma lazima ulipie.

#Shule ya Sabatho ya Leo 👆👆👆
Ukweli
 
Wanaume tunapungua wavulana wanaongezeka katika vitu vyote vinavyoonesha wew ni mwanamme ni kusimamia familia ako katika mahitaji yte muhimu ikiwemo familia kukaa kwenye mstari.
Hivi kweli ndoa yako na mke wako unaelala nae kitanda kimoja na kujifunika shuka moja unashindwa kumcontrol? Nasema hivi huyo sio mke abaki kuwa mzazi mwenzio.
Nitatoa ushuhuda kidogo
Jirani yangu kaoa mke mrangi mtoto mweupe kweli kweli jamaa akawa anatamba yeye ndiye ana mke mzuri mtaa mzima watu wakawa wanamlia tu timing kibaya zaidi mke alivoona anapendwa akaota mapembe mwisho wa siku mkewe akaanza kuchapiwa sasa hivi ninavyoongea mmewe ana presha kila mara hospitali.

Sasa na wewe mwanamme mwenzangu kama unataka presha endelea na maisha yako.
 
Wanaume tunapungua wavulana wanaongezeka katika vitu vyote vinavyoonesha wew ni mwanamme ni kusimamia familia ako katika mahitaji yte muhimu ikiwemo familia kukaa kwenye mstari.
Hivi kweli ndoa yako na mke wako unaelala nae kitanda kimoja na kujifunika shuka moja unashindwa kumcontrol? Nasema hivi huyo sio mke abaki kuwa mzazi mwenzio.
Nitatoa ushuhuda kidogo
Jirani yangu kaoa mke mrangi mtoto mweupe kweli kweli jamaa akawa anatamba yeye ndiye ana mke mzuri mtaa mzima watu wakawa wanamlia tu timing kibaya zaidi mke alivoona anapendwa akaota mapembe mwisho wa siku mkewe akaanza kuchapiwa sasa hivi ninavyoongea mmewe ana presha kila mara hospitali.

Sasa na wewe mwanamme mwenzangu kama unataka presha endelea na maisha yako.
Hakika boss umenena vyema
 
Back
Top Bottom