Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
kifutuEti wewe ni kipipa tu🤒 🤣🤣🤣🤣🤭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kifutuEti wewe ni kipipa tu🤒 🤣🤣🤣🤣🤭
Muhudumu yeleleleeeAkanijibu ''Kibonge ni kibonge tu hata ufanye nini huwezi pungua mume wangu we ni kipipa…’
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
H0ngera mkuu..We ndo una gubu. Unasema we pia ni mtu mzima ila kiukweli akili zako ni za hivyo hivyo.
Hicho unachokilalamikia ndo love language yake ila umeshindwa kumuekewa.
Anajitahidi uelewe kuwa yeye amekupenda jinsi ulivyo. Kitambi chako hakimuumizi kichwa, usijitese mm mkeo nimekulidhia. Ulivyo na akili ndogo unasema gubu .
Kuhusu ilo la style ya mnyanduano, apo anajaribu kukuambia ume improve , at least unapiga show za kihuni hadi tunafika kileleni. Wewe ulivyo tia maji unazani ana ku mind Kwa umalaya!!
Anyway, uncodding women love language ni mtihani Kwa wanaume wengi.
Mimi nilifundishwaga hii lugha mapema sana. Ndo maana Kila msichana tinaekuwa nae kwenye relationship, lazima aniambie why hakunijua mapema.
Aletee pichaa hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilitaka kudai picha ila nikaacha
Eeeh ndiwooooh, tena furahia huo mwilii kipipa wetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lakini kuwa kibonge sio dhambi na sijavunja Kanuni za nchi...
Wewe na yeye wote watoto. MWANAUME HAWEZI ANDIKA "BUANA" So tatizo wewe na mwenzio hamna tofauti ndo maana anakuona ni size yake yaani hamna tofauti.Kama kichwa cha khabari hapo Juu Kinavosema, nimeoa nina mke na mtoto mmoja Ila hii ndoa nahisi Kuanza kuishindwa kwasababu ya GUBU la mke wangu.
Nb: Leo sijaweka 0 kwenye o 😂
Hili jina nahisi lilitokana na mlio ambao hutoka pale wanapojitupa kwenye maji mengi kama swimming pool hiviChubby
🤣🤣👋😂 Usiniite iv0