Mke wangu ana kadi mbili za kliniki, moja jina langu, lingine la bwana mwingine!

Mke wangu ana kadi mbili za kliniki, moja jina langu, lingine la bwana mwingine!

Jamani pole sana! Usimuulize kwanza chochote hadi utoe copy hizo kadi, la sivyo atakana, ukishamaliza ndio uanze kulifurumusha. "ndoa ni mitihani" ndio mana unatunukiwa cheti kwanza, mtihani baadaye duh!
 
Hivi kuna kadi mpya za kliniki siku hizi? Kadi za Kiliniki zamani zilikuwa na jina la mtoto tu basi, sijaziona mpya zenye majina ya Baba na Mama kama hizi anazozisema huyu bwana hapa!!!!.

Tiba

Mtoto hajazaliwa bado, kwa hiyo inayoongelewa hapa ni kadi ya Clinic (ya ujauzito) ya mke wake...sasa naona hapo kaandikisha ubini wa mume wake kwenye kadi moja na ubini wa huyo mwingine kwenye kadi ya pili
 
Mimi nipo bize na clinic my kaka ujue nakaribia kukuletea anko, Hata huu uzi nakosa lakusema, maana mtu mwenye ndoa kadi mbili si kujichosha bure, basi masingle lady itabidi wawe kadi tano lol.

heee wachaa wee yaan tayar 'm' kafanya yake
 
Mtoto hajazaliwa bado, kwa hiyo inayoongelewa hapa ni kadi ya Clinic (ya ujauzito) ya mke wake...sasa naona hapo kaandikisha ubini wa mume wake kwenye kadi moja na ubini wa huyo mwingine kwenye kadi ya pili

Watu masumbuka bure hapa na ku symphasize na huyu jamaa wakati story yenyewe ni ya kutunga tu.

Tiba
 
Watu masumbuka bure hapa na ku symphasize na huyu jamaa wakati story yenyewe ni ya kutunga tu.

Tiba

Well, that's a different context. Kwa sasa tunacomment with assumption that the story is true. Kama kuangalia movie vile....
 
Mkuu jua kabisa wewe si babakijacho .... miaka minne ya ndoa bila mtoto... na hapa mach 2015 ujauzito ukapatikana na baada ya hapo Mungu alivyo mwema kakuonyesha baba mwenzio...

So ushaur hapo ni kushirikisha ndugu zako wa karibu wakushauri zaid... binafs mie tafuta kipimo cha DNA then uchukue maamuz baada ya results zake kutoka

Huhitaji kushirkisha ndugu zako kwa sasa,
Chukua hizo kadi toa fotocopy, kisha zile kopi mpe aliyekuwa mkeo, kopi zingine wape wazazi wake na wewe baki na original. Kisha tulia, utapata majibu fresh. Hata kama ofisi yako haifanyi kazi, hawezi kukudharau hivyo.
 
Kagua vizuri utakuta moja imeandkwa PMTC 1... na nyingine PMTC 2....hapo ndo utachanganyikiwa zaid.......
 
Wanasema KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI na KITANDA HAKIZAI HARAMU.
 
haina shida lakn vijana wanaopenda vya moto wapo...
Tutamsaidia kulea mimba

Mmeanza kuwa sio waoga eeeh!!! Wallah!!!! Atawarestisha in pici, hahahaha!!! Mumuache anilelee mie

Best hebu fanya tuonane kama utateremka mitaa ya huku kwe2, kuna ishu tuongee.
 
Vumilia subiri DNA, ila umeshacheki kama tatizo lipo kwako? Itakusaidia kujua na kujiweka sawa, hii nasema tu ikitokea mwenzako ndio baba mtoto. Sababu wanaenda wote hiyo clinic ingind kama mke na mume.

Pole
 
Piga photocopy, au scan au zipige picha zote 2. Then usiku akiwa kasha lala bandika kuta za nyumba-ndani na nje ya nyumba. Then kula buyu kama huoni vile na kama hufahamu kinachoendelea.

Hapa lazima aweweseke kinomaaa kwa siku 5 na wala job(kama ana kazi) hataenda.

Baada ya siku hizo na blah blah zake atakazo kwambia, msikilize ila usikoment ktk maongezi yake.

Piga simu kwa baba mkwe au mama mkwe, kwa miguu yao bila kuwakilishwa na mtu afike au wafike wote.

Uwe tiyari kupima DNA kama kinga ya ndoa yako. Tahadhari pima Hospitali mbili tofauti ww binafsi kimya kimya kama una uwezo wa kutia mimba.

Majibu ya DNA yakiwa tofauti na Genisi zako jua imekula kwako (ingekuwa ndoa changa, tungesema alikuja na mzigo kwako).

Uamzi hapa ni kupiga raia huyo chini.

We jamaa balaa kweli, yaani nimecheka kinoma ila inaeza kuwa njia nzuri but atamuua uyo mwanamke
 
Hapo hakuna ushauri, kila kitu kipo hadharani, ina maana wa ndani bunduki yake haina risasi;
Haisaidii wala haipunguzi maumivu kurudisha kadi mahali pake,
Kama vipi ziweke tu hapo kitandani ili ajuwe kuwa na wewe unajuwa kuwa mpo wawili.
 
Back
Top Bottom