uyu kaka kaniboa sana yaani nikakaa mkao wa kusoma vizuri kumbe utoto?? ebu kuwa na heshima kwa wakubwa wako.Ha ha haaa! Kumbe mnapenda sana umbea eeh! Aisee! Halafu mlichokitegemea sicho mlichokikuta! Sijui mlijua pana nini! Wengine naona mpaka wamechukia kabisa! Teh teh teh!
uyu kaka kaniboa sana yaani nikakaa mkao wa kusoma vizuri kumbe utoto?? ebu kuwa na heshima kwa wakubwa wako.
Sijui kwanini nimeingia hapa
Alafu mnakuja kulalamika Thread za wanaume hazichangiwi kama za wanawake. Huu upuuzi mwingine bana..
So mkewe angekutwa na ngoma ndio ingekuwa thread ya maana ha ha ha ha ha pole kwa kukasirika
Zero brain.
Mi nawashangaa hawa watu, eti wamekasirika kwa nini wife hana ngoma waliyodhania wao!
Inshaalah mwenyezi mungu atakuona.usipende kudhihaki
hahah,vzr !!
Iyo heading na nilichotegemea ahahaaaa jf never bored
Akiipata ngoma ya ukweli uteletee mrejesho manake unamuulizia kifaru hqli ya kuwa upo porini usilalamike akikuibukia ghafla bin vu!!!!
Ungeweka hii kitu kwenye jokes ungeeleweka
hahaha nilichotegemea kukikuta siyo,kwa heri