Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 640
- 1,141
Mada imejieleza wakuu.
Mke shemji enu na WiFi wifu. Ana mtoto mwezi sasa ushauri wa madaktari naomba asizae tuseme asibebe mimba miaka minimum 2yrs itatakiwa.
Kwa sasa anaonekana amesha pata ujauzito. Tulitumia p2 ikawa bado mwezi unayoyoma haoni period.
Nilitumia p2. Je, atumie tena p2? Msaada.
Katika history mke wa jamaa angu aliambiwa kwa kuwa mkewe alijifungua kwa operation asibebe mimba
Wakwangu ndio imemtokea anabeba tena. Alitakiwa leo tarehe 5 aione MP yake menstruation period ila kimya. Msada kabla haijafika mbali. Ni.mwezi sasa 2 or three weeks
Amezaa kwa operation msaada
Mke shemji enu na WiFi wifu. Ana mtoto mwezi sasa ushauri wa madaktari naomba asizae tuseme asibebe mimba miaka minimum 2yrs itatakiwa.
Kwa sasa anaonekana amesha pata ujauzito. Tulitumia p2 ikawa bado mwezi unayoyoma haoni period.
Nilitumia p2. Je, atumie tena p2? Msaada.
Katika history mke wa jamaa angu aliambiwa kwa kuwa mkewe alijifungua kwa operation asibebe mimba
Wakwangu ndio imemtokea anabeba tena. Alitakiwa leo tarehe 5 aione MP yake menstruation period ila kimya. Msada kabla haijafika mbali. Ni.mwezi sasa 2 or three weeks
Amezaa kwa operation msaada