Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza utafute kipimo cha mimba mkeo apime ukijua kama ana mimba nenda famasi elezea tatizo lako utapata suluhisho kwa dawa za vidonge.Msaada wenu tuokoe uhai. Bado ni three or two weeks help please
Apime kwanza mnajipanikisha hujui mwanamke anaenyonyesha haoni siku zake....unakuja kuwa ajeHajapimq lk. Already week zimeenda
Amepuimma nin2 weeks pregnant ila lazima afanyiwe operation ila alifanyiwa servery few weeks ago ka hivyo lazima.kutoa mimba... two.weeks atatakiwa anywe p2 inatosha.?Apime kwanza mnajipanikisha hujui mwanamke anaenyonyesha haoni siku zake....unakuja kuwa aje
Mkuu watoto wanawezaje kupishana 1 month WAKATI mtoto anakaa tumboni for almost more than 9 monthsMy first and second baby wanaposhana one month please usitumie experience.. nina watoto kama mapachq ila wamezaliwa ndani ya muda wa mwezi
Mkuu hujakutanana hii hali. Ndio maana madkr watahusika japaMkuu watoto wanawezaje kupishana 1 month WAKATI mtoto anakaa tumboni for almost more than 9 months
Mke kajifungua may be after 1 month kapata mimba, hiyo mimba itakaa 9 months Ndio aje kuzaliwa new baby
Hivyo age difference between two kids haiwezi kua 1 month Mkuu may be 10 monthly may be mjamzito angekua na mtoto tumboni kwa 1 month 😁
Sasa mkuu wakati unamwaga ndani hukujua kama unahatarisha uhai? Nenda hospital kamwone dokta na ujiandae kitukanwa kama mtoto mdogoMsaada wenu tuokoe uhai. Bado ni three or two weeks help please
Asante sanaDogo mwanamke akijifungua anaweza kaa miesi 2 hadi 6 pila kuingia mp.
Lakini pia vema apime kama kanasa tumia rapid pregnancy test kanauzwa buku tu.
Ikitokea kanasa nakushauri aache maramoja kumnyonyesha na tumia maziwa ya ng'ombe na uji, na akifika miezi 2 mpe uji wa rishe mixer na maziwa. Kama atanyonya maziwa ya mama ake mwenye mimba Kwa muda mrefu basi jiandae dogo atadhoofika kiafya na kuchelewa kukomaa viungo vya mwili na kushindwa kufanya matendo kulingana na umri wake.
Hawa ndio wanasema vijana wanapenda ngono .P2 Si ndo zinaharibu Kizazi kabisa mkuu , mwache t azae View attachment 3009756