Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Angalia vyema....inawezekana watu wameondoka na kizibo ndio maana anajamba sana mkuu....
 
Kwani hamkuwa pamoja kabla ya kuoana
Au mke kaletwa na wazazi bila ww kumtongoza na kumtafuta
Km ingekuwa mmefanya urafiki wa muda ungemfahamu vzr
Pia hakijaharibika kitu fanya hivi
Yumkini anakupa meseji ya kutaka kuliwa 071.. sasa ww jifanye unataka kumla seriously then akikupa ujue hapo sio, ulete majibu tukushauri mengine
Akikataa ujue kuna mawili
Kwanza ni hobi yake pili labda mamisosi anayobugia
 
Hilo ni tatizo linalotibika ni matokeo ya undigested food that remain in the gut for long njoo wewe na mkeo mi nitawatibu
 
Unabipiwa huelewi....sijui afanye nini tena ili ijue kuwa anahamu....
 
hayo ndio mambo ya KUVUMILIANA ktk ndoa so usimharibie pozi mkeo aisee! muache ajiachie kwa raha zake kuna wengine hawapati huo ushuzi sasa km yeye anapata muache, mpe uhuru, sio maradhi hayo kaka..ni km kupiga miyayo tu...ok?


Si aende chooni? Kwa nini asiende kujisitiri?
 
huyo anakubip tu, ili umpigie kwa kwa tigo, anaonekana anapendependelea kutumia huo mtandao sema we hujamshtukia na jinsi unavyochelewa wenzio watapiga
 
Kwani hilo ni tendo la ajabu kwako? Au ndio ustaarabu wa kijinga huo haya aliejamba na alieleta hiyo habari humu jf nani mjinga?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom