Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

Umenikumbusha wakati wangu wa ujana nilikuwa nakasirika kwelikweli unakuta unahamu ya kumtomba mwanamke lakini yeye anakwambia nimechoka nataka nipumzike kwanza tufanye baadaye [emoji38]. Utazoea tu, wakati mwingine kuna kujiongeza
Kuna muda huwa tunachoka kweli si uongo. Kuna watu wanataka kila siku unahisi kama viungo vinataka kutoka.
 
Kuna muda huwa tunachoka kweli si uongo. Kuna watu wanataka kila siku unahisi kama viungo vinataka kutoka.
Ni kweli, sema na nyie wanawake huwa mnanuna sana mkiwa na nyegge halafu mwanaume wako anakwambia nimechoka mpenzi wangu tufanye wakati mwingine...mnanuna! Na venye hamjuagi kusema live live kama mnahamu ya kut***mbwa 😃
 
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.

Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Kimbelembele chako cha kutaka kumuoa Ila yeye Mapenzi yapo kwa X wake anaejua kumsugua mpaka anarusha Mimaji

Kadri unavyo PANUA ndio wenzako wanavyo PAMANYA au SIO?
 
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.

Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Mtu keshapigwa tukio!
 
Ni kweli, sema na nyie wanawake huwa mnanuna sana mkiwa na nyegge halafu mwanaume wako anakwambia nimechoka mpenzi wangu tufanye wakati mwingine...mnanuna! Na venye hamjuagi kusema live live kama mnahamu ya kut***mbwa 😃
Mzee usijiumize kichwa wanawake wanajali hisia zao tuu, wewe ukiwa unataka atakufikiria, yeye akitaka anataka muda huohuo, Simple!
 
Kimbelembele chako cha kutaka kumuoa Ila yeye Mapenzi yapo kwa X wake anaejua kumsugua mpaka anarusha Mimaji

Kadri unavyo PANUA ndio wenzako wanavyo PAMANYA au SIO?
Mwanang hii kampeni uliyoanzisha nimeipenda, tokea majuzi naona hii kitu ya "kimbelembele cha kuoa" unaiongelea 😆 😆 😆
 
Mwanang hii kampeni uliyoanzisha nimeipenda, tokea majuzi naona hii kitu ya "kimbelembele cha kuoa" unaiongelea 😆 😆 😆
Mwanamke anaolewa na Mwanaume yoyote mwenye kimbelembele cha kumuoa Ila SIO kwamba ndio amempenda, HIO weka akilini mwako itakusaidia wewe elewa hivyo tu SIO kwamba amekubari umuoe ndio amekupenda yeye ana X wake anaempenda na anaejua kumsugua mpaka anarusha Mimaji
 
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.

Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Mi sioni shida yoyote mwanamke kuringa, ni nature yao, lakini afanye tuu kwa kiasi.

We hutaki ajione mzuri unataka ajione mbaya??

Tujitahidi kuishi na wanawake kulingana na nature zao jamani.
 
Back
Top Bottom