Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

Taa nyekundu zishaanza kuwaka, embu tusimulie akiwa kwenye kioo anavyo juchetua akikuringia uzuri? Hapo wewe unanchora mchepuko wako rose alivyo kisu zaidi yake?
 
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.

Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Kupatwa kwa wame
 
bila ka picha h
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.

Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Bila ka picha hatutaweza kukushauri
 
Mwanamke anaolewa na Mwanaume yoyote mwenye kimbelembele cha kumuoa Ila SIO kwamba ndio amempenda, HIO weka akilini mwako itakusaidia wewe elewa hivyo tu SIO kwamba amekubari umuoe ndio amekupenda yeye ana X wake anaempenda na anaejua kumsugua mpaka anarusha Mimaji
Naelewa broo, na hio nimeishuhudia tena kwa watu wa karibu.

Tunachokosea wanaume ni dhana ya kumsubiria mwanamke, mwanaume ndo anabidi asubiriwe.

Ukiona mwanamke hana patience ya kumsubiria mwanaume bac weka shaka, ukiona mwanamke anakulazimisha umuoe na huna mahusiano nae muda mrefu bac weka shaka.

Unakuta mwanaume mwingine anakwambia, eti mpenzi wake kasema amsubirie kidogo nachekaga sana 😆

Ukiona anakwambia subiri ujue anaagana na EX wake vzur
 
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.

Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Bila ya shaka kakunyima mpochi manyoya wake. Yani hapo unakuwa kama sungura, sizitaki mbichi hizi.
 
Umenikumbusha wakati wangu wa ujana nilikuwa nakasirika kwelikweli unakuta unahamu ya kumtomba mwanamke lakini yeye anakwambia nimechoka nataka nipumzike kwanza tufanye baadaye [emoji38]. Utazoea tu, wakati mwingine kuna kujiongeza
Katika kosa ambalo mwanamke anaweza kufanya ni kulet mazoea eneo la unyumba. Mwanaume akiwa na stimu demu akaleta us*ng* hapo ndipo mwanaume ana haki zote za kupita hivi na kuanza kupelekeana moto na kazi mpya.
 
Kuna muda huwa tunachoka kweli si uongo. Kuna watu wanataka kila siku unahisi kama viungo vinataka kutoka.
Mwanamke akichoka mwanaume huwa anakawaida ya kwenda kutafuta nje, hiyo hamtaki na mnataka hadi katiba ikataze. Mwanaume akiwa hana pesa za kukupa mahitaji mnaona ni halali kutembezewa mkuyati hadi na boda boda ili mpewe 5,000 za kupeleka marejesho ya vicoba sijui. Hii tafasiri yake ni kuwa ninyi shida zenu mnazipa umuhimu sana kuliko shida za wanaume zenu ila mnataka wao wazipe shida zenu kipaumbele. Wanawake sometimes mnazingua sana tena sana aiseee.
 
Kwa makasiriko haya ni wazi umenyimwa k kwa muda usiopungua mwezi mzima, wanaume mnapenda k jamani kah
Wanawake hawapendi Dushe?

Kwani Mwanamke anapoolewa hua hajui haki za mumewe? halafu akichepuka wanaanza kupiga kelele,
Moja ya chanzo kikuu cha mwanaume aliyeoa kuchepuka hua ni mkewe.
 
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.

Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Afya ya akili ni janga
 
Back
Top Bottom