Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sasa kama yeye anamuona wa kazi gani si amuache aende, hata kama ni kwa ex aende.....Akaringie KWAO maana yake akaringie kwa X wake HAPO ni sawa unampiga teke Chura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama yeye anamuona wa kazi gani si amuache aende, hata kama ni kwa ex aende.....Akaringie KWAO maana yake akaringie kwa X wake HAPO ni sawa unampiga teke Chura
Aende kwa X akajilie VINONOSasa kama yeye anamuona wa kazi gani si amuache aende, hata kama ni kwa ex aende.....
Ewaaaaaaaa.......Aende kwa X akajilie VINONO
X atafaidi sana HIO kituEwaaaaaaaa.......
Kupatwa kwa wameNamuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Bila ka picha hatutaweza kukushauriNamuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Naelewa broo, na hio nimeishuhudia tena kwa watu wa karibu.Mwanamke anaolewa na Mwanaume yoyote mwenye kimbelembele cha kumuoa Ila SIO kwamba ndio amempenda, HIO weka akilini mwako itakusaidia wewe elewa hivyo tu SIO kwamba amekubari umuoe ndio amekupenda yeye ana X wake anaempenda na anaejua kumsugua mpaka anarusha Mimaji
Kashakwambia nj wa kawaida unataka kugundua nini mzee.WEKA PICHA TUHAKIKISHE KAMA NI KWELI
Bila ya shaka kakunyima mpochi manyoya wake. Yani hapo unakuwa kama sungura, sizitaki mbichi hizi.Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Katika kosa ambalo mwanamke anaweza kufanya ni kulet mazoea eneo la unyumba. Mwanaume akiwa na stimu demu akaleta us*ng* hapo ndipo mwanaume ana haki zote za kupita hivi na kuanza kupelekeana moto na kazi mpya.Umenikumbusha wakati wangu wa ujana nilikuwa nakasirika kwelikweli unakuta unahamu ya kumtomba mwanamke lakini yeye anakwambia nimechoka nataka nipumzike kwanza tufanye baadaye [emoji38]. Utazoea tu, wakati mwingine kuna kujiongeza
Mwanamke akichoka mwanaume huwa anakawaida ya kwenda kutafuta nje, hiyo hamtaki na mnataka hadi katiba ikataze. Mwanaume akiwa hana pesa za kukupa mahitaji mnaona ni halali kutembezewa mkuyati hadi na boda boda ili mpewe 5,000 za kupeleka marejesho ya vicoba sijui. Hii tafasiri yake ni kuwa ninyi shida zenu mnazipa umuhimu sana kuliko shida za wanaume zenu ila mnataka wao wazipe shida zenu kipaumbele. Wanawake sometimes mnazingua sana tena sana aiseee.Kuna muda huwa tunachoka kweli si uongo. Kuna watu wanataka kila siku unahisi kama viungo vinataka kutoka.
Wanawake hawapendi Dushe?Kwa makasiriko haya ni wazi umenyimwa k kwa muda usiopungua mwezi mzima, wanaume mnapenda k jamani kah
Afya ya akili ni jangaNamuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo