Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

Mwanamke akichoka mwanaume huwa anakawaida ya kwenda kutafuta nje, hiyo hamtaki na mnataka hadi katiba ikataze. Mwanaume akiwa hana pesa za kukupa mahitaji mnaona ni halali kutembezewa mkuyati hadi na boda boda ili mpewe 5,000 za kupeleka marejesho ya vicoba sijui. Hii tafasiri yake ni kuwa ninyi shida zenu mnazipa umuhimu sana kuliko shida za wanaume zenu ila mnataka wao wazipe shida zenu kipaumbele. Wanawake sometimes mnazingua sana tena sana aiseee.
🙄 Duh! Nimekosa hata cha kukujibu mana umeandika maneno meengi ila si kesi kwa kuwa niliemquote kanielewa basi naomba tuishie hapa.
 
Katika kosa ambalo mwanamke anaweza kufanya ni kulet mazoea eneo la unyumba. Mwanaume akiwa na stimu demu akaleta us*ng* hapo ndipo mwanaume ana haki zote za kupita hivi na kuanza kupelekeana moto na kazi mpya.
Wanachukuliaga poa matokeo yake unapelekea moto mcheps ukirudi home kimyaaaa, sasa siku yeye (mke) ana nyegge utaona anavonuna ukimwambia nimechoka 😃
 
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.

Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Kumbe hujawajua wanamke?

Hata hapo mnapokaa atakuwa anakuambia uache kuchafua NYUMBA YAKE na maviatu yako yaliyojaa mchanga il-hali nyumba umejenga mwenyewe kabla hujakutana naye.

Kujiona mzuri na kuleta nyodo ndo walichoumbiwa hao wapasukao na kumwaga damu kila mwezi.
 
Back
Top Bottom