Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua mjitaNamuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Mleta mada futa kabisa hii kauli.Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Na ukute Ni mzuri kwelikweliiMleta mada futa kabisa hii kauli.
Hicho ulichokiandika ni miongoni mwa kauli mbaya kabisa kutolewa na mwanaume aliyeoa dhidi ya mwanamke ambaye ni mke wake.
Nakuambia hivi, mkeo ni mzuri kuliko wanawake wote unaowajua wewe. Na mkeo yuko sahihi kabisa yeye kujiona ni mzuri kuliko wanawake wengine wote mbele yako.
Kama huamini hicho nilichokuambia hapa, jipe muda ipo siku utakuja kuelewa na kukumbuka hichi nilichoandika hapa.
Kwanini asingeolewa na x wake?Akaringie KWAO maana yake akaringie kwa X wake HAPO ni sawa unampiga teke Chura
Ila mods.. Umejichanganya wapi, mpaka umelamba ban 😬😬Aisee🤔🤔
X wake YUPO kwa ajili ya kuonjaKwanini asingeolewa na x wake?
Muache ili uonekane ngangari.Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Wewe unaona ni sawa kwa mke kumnyima mume nyapu?Kwa makasiriko haya ni wazi umenyimwa k kwa muda usiopungua mwezi mzima, wanaume mnapenda k jamani kah
Mkuu kila kitu kwako ni chai? Hakuna hata mtori?chai
Uzuri wa mwanamke inategemea na macho ya mwanaume mwenyewe.Na ukute Ni mzuri kwelikwelii
Wanaleta uongo mwepesi kitaalamu tunauita chai.Mkuu kila kitu kwako ni chai? Hakuna hata mtori?
Kwani kupita na mankoli inahitaji ruhusa ya wake zenu nyie kuleni mboloh si zenuWewe unaona ni sawa kwa mke kumnyima mume nyapu?
Hawa mankoli waliojaa mitaani tukipita nao mtamlaumu nani sasa?