Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Nyote mna miaka mingapi?Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Alitaka kuondoka kwenda kwao. Nkamwambia ukitoa mguu hapa toka na kila kitu chako.Ikawaje baada ya kumwambia??
chaiNamuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Asante mkuu though sijui umeniona wapi.Wewe ni mzuri na mrembo ringa toto
Hapa hapa jfAsante mkuu though sijui umeniona wapi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah watu mna vituko Sana aiseeee Sasa ulitaka ajione mbaya mbele yako.....hakuna mwanamke anayejiona mbaya Kwa mwanaume wakeNamuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Eti atakuachaHatimae nimeletwa huku na ndio nitaongeza maringo
🙆 Asije jiua tuPole baba ......poleeeeeee...punguza hasira kwanza
Bado hujasema....
Umekula ban tena ndugu.Aisee🤔🤔
Mkeo anakuringia how?Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo