Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
kusema ukweli sio mhusika,,ila namtetea uyo ke mwenzanguNimefurahi sana, jamaa anaonekana anaishi na ghasia za kila namna, anaweza kuja akarula na wewe as if ndo mhusika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kusema ukweli sio mhusika,,ila namtetea uyo ke mwenzanguNimefurahi sana, jamaa anaonekana anaishi na ghasia za kila namna, anaweza kuja akarula na wewe as if ndo mhusika
You always give me impression kwamba una enjoy sana kusoma comments rather than engaging yourself in most of conversation in here. Tena the fun ones ndo unazipenda zaidi. Been stalking you for a while. Forgive my bad behaviour, hahaKwanini mimi 😂😂
Zawadi ikufikie wapi mkuu ?? Umenitafsiri ambavyo mtu yeyote anayenifahamu Inperson angeweza kunidescribe!You always give me impression kwamba una enjoy sana kusoma comments rather than engaging yourself in most of conversation in here. Tena the fun ones ndo unazipenda zaidi. Been stalking you for a while. Forgive my bad behaviour, haha
Nashukuru kama nimepatia, Nipo mkoani saivi kidogo ila kama i wont be indulging your privacy, a coffee date ya hata half an hour inanitosha with such exquisite mind nikirudi. I will just let you know my schedule nikirudi then uta decide mwenyewe. And i am not saying itashindikana but ikishindikana for your personal reasons, i will settle na zawadi ya kuwa rafiki yako wa humu dunia ya JF. I will be honored to be honest.Zawadi ikufikie wapi mkuu ?? Umenitafsiri ambavyo mtu yeyote anayenifahamu Inperson angeweza kunidescribe!
Mimi kwa kweli socia media's kwangu ni comment section, huwa nacheka mnooooo! Ndio maana mitandao ya picha/ video inanishinda... like what am I suppose to do with your pictures / videos. ?
Kudos champ!
Last part, good idea.... kwa kuanzia... if you know you know 😅😅😅Nashukuru kama nimepatia, Nipo mkoani saivi kidogo ila kama i wont be indulging your privacy, a coffee date ya hata half an hour inanitosha with such exquisite mind nikirudi. I will just let you know my schedule nikirudi then uta decide mwenyewe. And i am not saying itashindikana but ikishindikana for your personal reasons, i will settle na zawadi ya kuwa rafiki yako wa humu dunia ya JF. I will be honored to be honest.
Umenikumbusha mbal sana. Nliwah kumwambia mke wng hvyo.Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Thank you and take care as well.Last part, good idea.... kwa kuanzia... if you know you know 😅😅😅
Ila coffee date napendajeee? I will see how long I can resist it.. stay safe.
Mwanamke anaolewa na Mwanaume yoyote mwenye kimbelembele cha kumuoa Ila SIO kwamba ndio amempenda, HIO weka akilini mwako itakusaidia wewe elewa hivyo tu SIO kwamba amekubari umuoe ndio amekupenda yeye ana X wake anaempenda na anaejua kumsugua mpaka anarusha Mimaji
Na Wewe hua unapenda kurusha Mimaji tuje ku-practice tujaribu km Mimaji inaruka?We nawe, hiyo mimaji kwani veeepeee?
👿👿Mke mkerembeshe, ukimshindwa anakuwa mkemia, kila kitu ana uwezo wa kukitambua, hakuna demokrasia kwenye ndoa, hata adamu aliishi na mke wa pili, kuna aliyeumbwa sambamba nae kwa udongo(mzo 1:27) na yule aliyetolewa ubavuni mwake (Mzo 2:21-22)Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Wewe ni mzuri na mrembo ringa toto
Ikawaje baada ya kumwambia??Umenikumbusha mbal sana. Nliwah kumwambia mke wng hvyo.