Mke wangu ananidharau nifanyeje?

We ni fala sana yaan hata kbla hajakuzalia alkufanyia hvyo na ukakubal
Chamsingi pambana na hal kama Anakupa ndogo sawa!
 
Haya ndo matatizo ya kujifanya una mapenzi saana, wewe aliyekutumaga ni nani uwe unamsaidia kazi za nyumbani mzee uko mwanzoni?

Mnajikorogaga mwanzoni kabisa alafu tukiwaambia mnasema sisi hatuwapendi wandani wetu.
Kazi uliyofanya msharah wake ndo huo
 
Hakuna mwanamke mjeuri mbele ya mwanaume mwenye pesa
Bado hujawaelewa wanawake.
Unaweza kuwa na pesa za kutosha ila kitandani ukiwa goi goi na akaanza kunyooshwa huko nje, jeuri iko pale pale na pesa watapelekewa hao wabanguaji.

Hivi viumbe ni unpredictable ni kuishi navyo kwa akili km maandiko yanavyosema.
 
Tafuta hela mkuu..weka maji ya shower bafuni ikiwezekana funga ata ile heater ndogo ya instant kama iliyopo guest na kuhusu kufua nunua kimashine chako kidogo cha kufulia .maisha yatakua poa tu wala usiwaze maisha hayo ya kizaman ya kuwekewa maji na ndoo ama kufuliwa.ukiona kama chakula hakupi nunua jiko lako dogo la gesi na sufuria zako 2 unasongesha maisha.kama hakuvulii chupi wewe unajipigia zako wale mademu poa wa buku 5 ama ten maisha yanasonga.usimuache ama kuoa mwingine maana unaeza oa nyingine ukajikuta umeongeza tatizo full ugonjwa wa moyo.ww fanya kama nilivokutonya utakuja kunishukuru mkuu.
 
Wee ndo una matatizo
Mkeo ndo alipaswa kuomba ushauri
 
Nakazia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…