Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

Kwani leo imekuwaje? Naona unanifuata hadi bafuni. Angalia babu anaoga utapata laana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nakufata hadi chooni,
 
Ila wengine wamezidi jamani
Sisi waafrika tuna mila zenye staha kidogo sio kama hao wazungu tunaowaiga wanaopigana denda hata mbele ya wazazi wao.
Kuna mmoja huyo tuko msibani anakazana tu kumuita mumewe Darling na kujibebisha hovyohovyo mbele za watu.
Sisi wanaume wa kiafrika hayo mambo hatujayazoea jamani, kuna mazingira hua tunaona ni kero.
Muache ajibebishe maisha yenyewe mafupi haya

Tatizo waafrika sisi ndoa zetu zina makasiriko mpaka wenye mahaba yao wanatukera!!!!!

Hao wazazi mnaowaonea aibu wenyewe ni madarling( baba darling wa mama n vice versa)
 
Ndugu zanguni wa JF baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na hulka yangu hi.

Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia kuwa la utani na upendo na c mind sana na mimi humiita my......
Tembea na mkia wa taa, siku akikuita hooneeeeyyyy mbele za watu, tandika mikwaju bila huruma mbele za watu.

Lakini akianza kukandwa kandwa na vijana wa mujini we jinyonge maana huwa hakuna suluhu hapo
 
Hata mimi hizo mambo sifagilii kabisa. We uliwahi mskia mama yako anamuita ivo baba yako hadharani? Au ndio hawako civilized.

Sasa fanya hivi mzee rekebisha ratiba ukienda na mkeo kijijini kuwa bize na mambo ya msingi kama, kuchimba kaburi, tembelea majirani mnaofahamiana, kukaa na wazee, kukaaa na classmates wako, kula mvinyo na wajuba ivyo yani, kurudi village kwangu huwa ni adventure.

Sasa wewe unakaa sijui jikoni mara sitting room siku nzima mke kila akipita anakuona, hapo utazingua.

Hapo mkeo kuna strategy anaipanga na inatuma message flani kwa jamii, na unajua watu wa bush uwezo wao wa kufikiri uko vipi kuhusiana na hayo maswala.

When you are in Rome, you do as the Romans do.
 
muache ajibebishe maisha yenyewe mafupi haya


tatizo waafrika sisi ndoa zetu zina makasiriko mpaka wenye mahaba yao wanatukera!!!!!


hao wazazi mnaowaonea aibu wenyewe ni madarling( baba darling wa mama n vice versa)
Unajibebishaje mpaka msibani banaaa kama sio uswahili huo!!!!
Muda wote badala kukaa na wanawake wenzio muomboleze wewe unajibanza tu kwa baby wako
Eti "baby umepata nyama au nikuongeze"
Mazafanta wanaume haya mambwembwe yakizidi hua tunaona kero, hebu kueni na staha acheni ulimbukeni wa kugelezea mapenzi.
 
Unajibebishaje mpaka msibani banaaa kama sio uswahili huo!!!!
Muda wote badala kukaa na wanawake wenzio muomboleze wewe unajibanza tu kwa baby wako
Eti "baby umepata nyama au nikuongeze"
Mazafanta wanaume haya mambwembwe yakizidi hua tunaona kero, hebu kueni na staha acheni ulimbukeni wa kugelezea mapenzi.
Hee jamani kwani ugomvi? Anyway kupitia huu uzi nimejifunza jambo jipya
 
Unajibebishaje mpaka msibani banaaa kama sio uswahili huo!!!!
Muda wote badala kukaa na wanawake wenzio muomboleze wewe unajibanza tu kwa baby wako
Eti "baby umepata nyama au nikuongeze"
Mazafanta wanaume haya mambwembwe yakizidi hua tunaona kero, hebu kueni na staha acheni ulimbukeni wa kugelezea mapenzi.
Alaf wanawake wa hvyo n vimalaya balaa.,wewe unafurah hivyo kumbe nyuma wasenge wanakuzomea

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hata mimi hizo mambo sifagilii kabisa. We uliwahi mskia mama yako anamuita ivo baba yako hadharani? Au ndio hawako civilized.

Sasa fanya hivi mzee rekebisha ratiba ukienda na mkeo kijijini kuwa bize na mambo ya msingi kama, kuchimba kaburi, tembelea majirani mnaofahamiana, kukaa na wazee, kukaaa na classmates wako, kula mvinyo na wajuba ivyo yani, kurudi village kwangu huwa ni adventure.

Sasa wewe unakaa sijui jikoni mara sitting room siku nzima mke kila akipita anakuona, hapo utazingua.

Hapo mkeo kuna strategy anaipanga na inatuma message flani kwa jamii, na unajua watu wa bush uwezo wao wa kufikiri uko vipi kuhusiana na hayo maswala.

When you are in Rome, you do as the Romans do.
You must be bright unlike many lupens........mtu kukuiita majina ya mahaba hadharani sio kwamba inakusaidia wewe hapana, yeye ndo anae faidika nalo kwa kuonyesha jamii taswila ambao some time sio ya ukweli, mbona wazazi wetu hawakuendekeza majina kama hayo.
 
Mimi wa kwangu hataki nimkumbatie, wala kumshika mkono au kukaa kochi moja wala kumchum tukiwa kwao. Weird!
Khaaa!!!! hatari wake zetu na kiherehere hamjambo kweli kwanini hayo usiabakize nyumbani kwenu tu.
 
Mimi wa kwangu hataki nimkumbatie, wala kumshika mkono au kukaa kochi moja wala kumchum tukiwa kwao. Weird!
Hayo mengine naweza kuelewa ila kwenye kochi moja duh...wakati wa kulala kila mtu analala kivyake?
 
Unajibebishaje mpaka msibani banaaa kama sio uswahili huo!!!!
Muda wote badala kukaa na wanawake wenzio muomboleze wewe unajibanza tu kwa baby wako
Eti "baby umepata nyama au nikuongeze"
Mazafanta wanaume haya mambwembwe yakizidi hua tunaona kero, hebu kueni na staha acheni ulimbukeni wa kugelezea mapenzi.
Kuna muda wa kukaa na wanawake

Na kuna muda wa kukaa na honeeeyyyy!!!!
 
Back
Top Bottom