Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
[emoji23][emoji23][emoji23]Piga mashine tu, we akikulalia vua vyupi piga mashine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Piga mashine tu, we akikulalia vua vyupi piga mashine
[emoji23][emoji23] dah... na wakati kabla hajamuoa alikua zaidi ya hapo... kusimangana tuMkewe ni kimbofa sio chubby![emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, siye tusiseme sana. Sisi tuangalie tu mwishowe kama ataleta mrejesho mpya. Ukiwa positive haya. Ukiwa neg hayaWabongo bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann mnapenda kuhusisha mahusiano na majanga ya maisha. Sasa wewe unaishi na mwenzako kama mtu wa kuja kumtumia ukipata majanga.....
Duh.. hatari hii!Anachoka sanaa ana kilo 95 za uzito ukienda mara mbili kwa siku atashindwa kufanya kazi zingine nyumbani mwili unapata ngazi
Hahahahah[emoji23][emoji23] dah... na wakati kabla hajamuoa alikua zaidi ya hapo... kusimangana tu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Eeh hapo hata uende China kimasomo utaikuta iko sealed 😂😂😂Hahhaha [emoji23]
Kweli man!!
Pisi category hii rate ya kuchapiwa ipo chini
Ila usiombe pisi yako iwe hiviHahhaha [emoji23]
Kweli man!!
Pisi category hii rate ya kuchapiwa ipo chini
Na penye wajenzi hakuna mitiPenye miti hakuna wajenzi
Watu ka hawa ni wagonjwa bana, na jiji la Dar ni vinara wa watu wenye ukichaa huku watu wakifikiria ni mapenzi, wivu uliopitiliza nao ni dalili mojawapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unazidi kumvuruga. Kisaikolojia ukishampa muhanga uhakika kama huu basi ndo atashikilia hapo
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
kwanza mwanaume gani unaandika hivi? anakuvumilia sanaKutoka mwanzoni iko vile cijafanya issue yoyote ya kuni suspect some time nikiwa citaki anisumbue kwa simu simu zote na muachia home am transparent towards her sina mambo ya kandokando na siependi yata nipotezea mda zaidi
Duh,kweli kwenye miti hakuna wajenzi...Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.
Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Kuna jimama la kilo karibia 200 lina mshepu huoo,lilinikalia kakika nilimuona iziraeli akipungia.Nilimuoa na 105kg nikapambana nikaishia kwenye 95kg ni mvivu wa mazoezi, na anapenda kula vuzuri tu nakaona isiwe shida nikamuacha hivo.
Wamesema hapo juu kwenye wajenzi hamna miti.Duh,kweli kwenye miti hakuna wajenzi...
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.Hapana ana nikera sanaa kama a anapenda atafute fashioni nyingine yakunipenda sio kua mateka wake,.......
True mkuu, vibonge wengi huwa wako peace sana, wao ni kucheka tu.Vibonge wengi wana roho nzuri na ndio maana wananenepa! Mungu anawabariki na afya tu sababu wana roho nzuri sana ila wale vimbau mbau wengi wanafiki na roho ya kwanini ndio maana hawanenepi hata wakinywa mafuta ya kula kila siku litre 1!
Vibonge wako peace sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vibonge n watu poa sana ila hawa vimbau mbau salaleeeeeee