Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Wewe kama yote yameshindikana omba transfer ya kikazi kafanyie mkoa mwengine hapo alipo muache na watoto mtaongea kwenye simu tu!
Khaaa!!!! hilo husijaribu atakupigia simu kila dakika, ilishawahi kutokea ni liondoka mwezi, ila simu kwa siku alikua anapiga kama mara 20, kuna kipindi eti nataka kusiki sauti yangu chezi kabisa........
 
Mrefu sana yule ni gianti ila tabia zake za kunilinda kila mahara ndo zina nikera
Mpaka hapa umeshapewa ushauri wa kila aina. Hebu tuambie, utafanyeje sasa ili mkeo asikugande tena? Tutoke kwenye nadharia tuingie kwenye praktiko sasa. Kwa hizi za kuambiwa ulizozipata hapa ukichanganya na zako, unafikiri utalitatuaje hili tatizo?
 
Hunitakii mema eh!!! Ujue tu mpaka BAK kaamua hiyo picha asiiweke hapa basi picha ni noma hata kusema kilichomaanishwa na picha ile pia ni noma ila vibonge huku mitandaoni ME wanawapandisha chart sana. ME wengi sasa wanataka wawe na Kibonge.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekuelewa vizuri sasa..
Naona ME mmeamua kubadili muelekeo[emoji28]
 
Samahani mkuu,mm ni mdogo sana kwako
Ila sio kama ndio inavyotakiwa iwe mtu hataman company ya mtu mwingine zaidi ya mume/mke
Akianza kutoka na mashosti sijui kama utapenda.

Je,wewe ni una hela eeeh?
Maana madeko yanakuja na mfuko unasemaje
Mimi sina pesa nikawaida tu ila nina uweza wa kupata basics za kuishi kawaida, kuna siku naishiwa paka napanda daladala nashikiria bomba juu manake niko kawaida. Sasa imagine mtu anakupigia simu wuko kwenye daladala na anataka muongee
 
Aah wapi chubby girl yuko na round shape wanaita! Sio bonge yani!
View attachment 1975222View attachment 1975223View attachment 1975224
Sampuli hizo
Wa mleta mada ni sampuli hizi. Mapoooleeee, matulivu, mavivu yanadeka hayana neno na mtu na yakishapenda yamependa kweli ng'wanawane....No way out.....

Angetaka vurugu angeoa kakimbaumbau. Saa hii angekuwa analeta nyuzi zingine kabisa yaani [emoji16][emoji16][emoji16]



Tumblr_l_204744713953925.jpg
2.4838256250900424E18.jpg
Screenshot_20210620-224948_Instagram.jpg
 
Mimi sina pesa nikawaida tu ila nina uweza wa kupata basics za kuishi kawaida, kuna siku naishiwa paka napanda daladala nashikiria bomba juu manake niko kawaida. Sasa imagine mtu anakupigia simu wuko kwenye daladala na anataka muongee
Kuwa smart ndugu,inaonekana ana haiba iyo,na haiba haiwez badirika kamwe,unatakiwa upambane na hali yako
Tafuta njia ya kuenjoy nae jinsi alivyo,pengine anakuganda kwasababu ni mnene(kutokana na maelezo yako) anaona hawez hang out na mashost na inamuumiza ila hawez sema,ila anakuona wewe ambae umefunga nae ndoa ndio mtu pekee dunian unampenda kweli so thats anakua ivyo

Nakuomba uzingatie huu ushauri anaokupa kijana wa 90+ [emoji41]
Pigisha mazoez mkeo,muweke kwenye balanced meal ndani ya miezi 2 atapungua sana

Kuna madoctor humu omba ushauri
Akae mbali na wacha mwili utajila wenyewe,
Alafu utaona tabia itachange akianza kuwa na mwili mzuri.
 
Wa mleta mada ni sampuli hizi. Mapoooleeee, matulivu, mavivu yanadeka hayana neno na mtu na yakishapenda yamependa kweli ng'wanawane....No way out.....

Angetaka vurugu angeoa kakimbaumbau. Saa hii angekuwa analeta nyuzi zingine kabisa yaani [emoji16][emoji16][emoji16]



View attachment 1975250View attachment 1975275View attachment 1975276
Hapana., wa mtoa mada lazma awe sampuli hii hapa
EC0DC365-5DED-40DA-BD67-79001ADC0A4D.jpeg

Hawa ndio wakipenda atakuganda mpaka useme nini ni nini na kwanini!!!
 
Hapana., wa mtoa mada lazma awe sampuli hii hapa View attachment 1975294
Hawa ndio wakipenda atakuganda mpaka useme nini ni nini na kwanini!!!
Ewaaah!!

sisi wazee wa Heavyduty ndo vitu vyetu hivi [emoji23][emoji3516][emoji41]

BBW for life, I don't do skinny chicks

Siku akinuna, unapitia kuku tu sehemu anasahau [emoji23]
 
Ewaaah!!

sisi wazee wa Heavyduty ndo vitu vyetu hivi [emoji23][emoji3516][emoji41]

BBW for life, I don't do skinny chicks

Siku akinuna, unapitia kuku tu sehemu anasahau [emoji23]
Hahahahhaha uzuri hilo American Truck utaendesha mwenyewe tu ndio raha yake!

Ukilipiga cornflakes na maziwa linatulia tulii! Au unalichapa pizza pori
 
Back
Top Bottom