miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unazidi kumvuruga. Kisaikolojia ukishampa muhanga uhakika kama huu basi ndo atashikilia hapoHuyu wake ana shida bana imagine mtu katoka kazini kavurugwa anapumzika na kamwambia yeye anagonga tu kisa anahisi kafa na hapo ukute alikuwa ana mwambia amwache atulie yeye hasikii, saa ingine kuwa na mpenzi asiye soma alama za nyakati inakuwa ina bore, wangu huwa yuko busy anachoka mwanzo nilikuwa namsumbua ila nikaja mwelewa nikawa Nampa space apumzike.
Hata mm nataka mume wangu aniendeshee[emoji23][emoji23] anataka kudekaKwahiyo alitegemea maiti ndo ifungue mlango? ni fujo nakutaka attention yangu.......paka nafikia hatua ya kumtuma kununua vitu mbali in town kwasabb najua kuna foreni atachelewa ili nipate mda wakupumzika peke yangu, anakata kuendesha gari eti liseni ya ydereva imeisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka lkn naogopa.Nadhani nimefanya kila jambo kumtengea mda tukae nae ila haridhiki, kuna kipindi nimeanza kuangalia tamithiria za kihindi kwenye Azam TV hata sizijui wala hazinivutii ila nakaa sebule masaa mawili anilalie wakati anatizama na mimi nafanya unafiki eti na enjoy wakati hata sina interest nazo kumbuka huyu mke kanilalia mapajani karibia masaa mawili ni mzito ila navumilia.....what else should I do ni mfurahishe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha Bwana...Mnapendwa halafu mnaleta ngebe, jfdhk&*$@¥₩# wa head!
Siyo bure sijui umevuta ya wapi Leo hiiKiuno.
Nadhani hiyo hali inatokea kwasababu yupo idle na hana majukumu zaidi ya kifamilia. Nadhani kwa mahaba fungua biashara ili yeye awe anakuwa busy nayo na watoto itasaidia kumfanya kichwa chake kiwe occupied na majukumu zaidi na atapunguza obsession na wewe.Kazi za kufanya nizitoe wapi zaidi ya kupika na kupakua ana dip ila hataki kwaajiriwa anasema ameridhika kuka home
Yaani wewe jijengee kisaikolojia akikulalia Tu piga mbo..lo, kila akikulalia unasikiaNadhani nimefanya kila jambo kumtengea mda tukae nae ila haridhiki, kuna kipindi nimeanza kuangalia tamithiria za kihindi kwenye Azam TV hata sizijui wala hazinivutii ila nakaa sebule masaa mawili anilalie wakati anatizama na mimi nafanya unafiki eti na enjoy wakati hata sina interest nazo kumbuka huyu mke kanilalia mapajani karibia masaa mawili ni mzito ila navumilia.....what else should I do ni mfurahishe?
Konokono tena?Mkipendwa mpendeke konokono nyie!
Nakusalimia[emoji1787][emoji1787]Nimefanyaje tena...?
Hapana.Sio manyonyo..[emoji4]
Dada shikamoo[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha Bwana...
Ya hapa nyumbani.Siyo bure sijui umevuta ya wapi Leo hii
[emoji13][emoji13][emoji13]
🙄Nakusalimia[emoji1787][emoji1787]
Hutaki au?[emoji849]