Mke wangu ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi

Gentleman,
hapo sasa ndiyo ndoa imekolea vizuri,

pale wangwana wanaposemaga ndoa sio lelemama inahitaji uvumilivu ndio hapo sasa,

na ile habari ya kuishi nao hao viumbe kwa akili ndiyo inapaswa kutumika na kuchukua mkondo wake sasa, gentleman.

ndoa inahitaji hekima sana kuitunza mpaka kifo kiwatenganishe. Pendaneni na msichokozane ndrugu zango.

huo ni upepo wa kisulisuli ambao umepita majumba mengi sana ya wana ndoa.

hilo nalo litapita tu 🐒
 
Tukiwambia achana na wanawake wasomi au wafanyakazi mangoma.
Mwanamke inabidi akutegemee Kwa kila kitu ili upate heshima.
Mwanamke ana kipato chake, amechoshwa na boss ofsini au anaweza biashara zake aje akupe kummer kijana anaye bet
 
Uko sahihi 100% mwanamke negative ni chachu ya kushindwa kwako.
 
hiyo ndio nini Lady kwa faida ya tulio wageni?🐒
 
jiongeze tafsiri ya fundo la mafiga matatu unaijua wewe! unachofanyiwa ndo ndo fundo lenyewe siku ya send off mkuu.....nyumbulika bwana mdogo ukisia Dunia tambarare ulimwengu umebinuka ndo hayosasa
 
Tabasamu langu ni furaha yako Ila wanasemaa hawajui......

Wakikuona unavyo pendeza hawajuii...

Hawaajui ushauri wangu umekufikisha hapo......

Ushauri wangu kwa wanandoa wote siku zotee neno hili lisikose kinywani mwenu ....... Neno hili
 
Wewe NGUMBARU una ugeni gani? 😹
Veggies wote wapiga nyeto 🤣
bado unazidi kuwachanganya wadau zaidi my Lady,


kwamba mimi ni zambarau, sawa sikatai, si matunda au?

na hao wadau wengine eti wote ni wapiga nini ?

ni kwa mwaka huu mpya2025, au miaka ya nyuma?


kumbuka tunauchagizi Oct mwaka huu 🐒
 
Mimi: Mama, naomba haki yangu basi
KABLA YA YOTE JIULIZE ANAVYO KUNYIMA WEWE , YEYE DYUDYU YA KUMNYANDUA ANATOA WAPI . ALAFU KUNYWA MAJI UTULIE

SASA NJOO HAPA UKISHA KUNYWA MAJI


Kosa lako liko hapa wewe endelea kujilegeza kuomba akutesee tamuu mpaka unyooke huku wenzako huku nje tunakuchapi kilaini sana. Hapa inaonyesha dhahiri wewe ni dhaifu, tendo la ndoa haliombwi ni lazima na ni haki yako ya msingi sana kupewa kama hakuna changamoto za kiafya au mazingira salama kupewa.

Tofauti na hapo

kama yupo hapo ana kwa ana unataka kwa wakati huo huo , kaza sauti na macho alafu Mwambie kwa kutumia mamlaka za kiume hivi;-

"mke wangu nipe haki yangu ya ndoa" , moja kwa moja usisubiri ajibu anza kujiongeza kwa vitendo akikataa jibu soma huko chini nimeweka

-kama unaondoka acha maagizo namna hii kiume zaidi

mwambie kabisa Hivi " mama leo nataka tendo la ndoa nikirudi" na ukirudi anza moja kwa moja kumshughulikia usiongee tena , vitendo viongee akikataa angalia huko chini nilichosema cha kufanya.

MAJIBU /REACTION ZAKO

MKEO a kikaza akakataa au akaweka sababu zozote zile , mjibu "sawa" alafu mpotezee kabisa ,usiwe na time nae wala usiulizie tena tendo kwa namna yeyote ile ( kama unamchepuko kula huko nje ushibe kabisa)

Alafu uone kama siku nyingine atakua anakunyima. Na akija kukupa piga saizi yako maliza alafu tulia kimnya endelea na mishe zako iwe ni yeye ateseke kukutafuta kukupa ndani ya miezi 2 mfululizo.


Nb: WANAWAKE WANAJUA KABISA WAKITUNYIMA TENDO TUTACHEPUKA NA TUKINOGEWA HATURUDI NYUMA, UKIWA MWANAUME ANAKUPA KILA SIKU HATA AKIWA MWEZINI MPAKA UNAKATAA WEWE MWENYEWE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…