Mke wangu ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi

Anayo sababu, wanamla, Yani mwanamke kaumbwa na Mungu in such a way hawezi heshimu wanaume wawili

Mwa 3:16 SUV​

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

Maelezo:

Haya maneno Yana maana sana, mwanamke akiwa na mchepuko na hisia kwake za kweli, tamaa yake itakuwa kwake naye atamtawala!

Akishatawaliwa tu na mchepuko, anakuwa lidudu la hovyo sana kwa mume wake, mke tamaa yake inapaswa kuwa kwa mwanaume na ni mechanism ya kutawaliwa!

That means, kama Hana tamaa kwako lazima ipo kwa mtu, na huyo ndo anamtawala, akiambiwa usilale na mumeo kabla yangu atatii!

Wewe ukililia ngono kwa mkeo maana yake tamaa yako Iko kwake na yeye anakutawala, na mwisho wa siku wote mnatawaliwa na mchepuko!

Sio wakati wa kubembeleza hawa watu, piga chini, nenda gym, ishi single, kula vizuri furahia maisha!
 
Unampanikisha mwenzio,πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… sema ni kweli hiyo mali inachakatwa nje
 
Sasa sisi tufanyeje?
 
Acha usenge yaani aishi single kwaajili ya kunyimwa kishimo na takataka moja waliojuliana ukubwani??
Pote umenikosha lakini ulipoweka aishi single ndipo umenikwaza mkuu@uttoh2002 afukuze hiyo mbwa na aache mazoea ya kik*ma hakuna kuhudumia taka taka inayojikweza kama kapata mwanaume mwingine kwanini wasiishi wote huko huko kuliko kumuegemea mwamba??
Yaani maisha yenyewe magumu hivi halafu unafuga malaya anaekubania kitobo how come?
 

Mzee, Dunia ngumu hii!
 
Mbona papa zimeajaa sana mkuu, wanatembea nazo wengi sana kuanzia mtaani kwako hadi kazini kwako.

Akikaa na papa yake u have plenty of options, tena ukipiga unakuja home kimya, kula, lala usingizi wa pono. Do it for a month or so, asipojirudi hakika atakuwa anawekwa nje.
 
Mzee, Dunia ngumu hii!
Shida ni pale tuna-hand ile preedator instinct to the prey lazima iwe ngumu tu..
I am a preedator and no one should prey on me, never.
Binti akija kwenye mahusiano yangu naishi nae ile sogea tukae maana sikumkuta bikra so kuna mtu na watu kibao wamepita hapo so asitake kukuaminisha kuwa ni guilty sana kuwashinda wale waliotangulia..
Siwezi kuwa guilty zaidi ya yule aliemtoa utepe au yule aliemzalisha.
So life ni kanuni ziapply na ubaki constant.
 

Dodo punguza kingereza, hukijui
 
Wachangiaji Kuna Matatizo Ya Kiafya Msiyasahau Je Huyo Bibie Ana Pata Nyegezi? Homoni Zake Zimo Sawa? Hana Shida Za Kiroho? 1+1= Linaweza kuwa Na Majibu Zaidi Ya Mawili.
 
Kataa ndoa 3-0 walioa.

Wewe ni SIMP(very Weak man) mwanamke hawezi kukubali kumpa tunda mjinga mjinga mmoja. Inshort huyo demu kashakuzarau. Na kuna muhuni anamchakataπŸ€—.

Umeonyesha kuwa unamuhitaji sana( Your soo f*ckn desperate) na yeye ameprove huna ubavu wa kuvuta chombo safi kumzidi achilia mbali kuwa tu na mwanamke mwingine.

Bado hujasema! Tafuta FINANACIAL FREEDOM uwe unajipigia demu yoyote unayetaka acha kuombaomba NGONO unajidhalilisha.Huo muda na hasira wekeza kwenye kutafuta hela ukizipata SHENYENTA kwelikweli hao viumbe mpaka uchoke utubu.

TAFUTA HELA!!! TAFUTA HELA!!


#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
 
Nyoka ni nyoka tu awe wa bluu,kijani au mweusi. Chamsingi kwenye kikao tulikubaliana nyoka ukitaka kumuua PIGA RUNGU LA KICHWANIπŸ€—

#Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…