Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

Mkuu wanawake karibia wote wako hvyo siku hz wanawaza mali tu

Ngoja nikupe mfano wangu nilimpa 2mil katengeneza duka bahati nzuri limeenda vizur sana,maana tulikuwa hatulitegemei kwa chochote lakin kutokana na duka kukuwa namuona kabisa ameanza kuvimba na mwanzo alikuwa anasema duka ni la mwanaume ila sahv ni lake na mimi nimemtulizia tu maana hata nikihitaji laki 2 siwez pewa
Wanawake wanajisahau sana mfanyie umfanyiavyo lakini chake ni chake...labda kidogo hawa wasio na elimu afu akakubali huwa wana utofauti.
 
Mkuu umesahau kuwa chako mwanaume ni cha familia ila cha mwanamke ni chake...jenga kwako ikibid tena bila yy kujua, na kama haitaleta mgogoro umiliki uwe wenu wote sio wew pekeako ili kumuondolea sumu inayofukuta ndani yake kwa manufaa ya watoto.
Yes mkuu! Wamiliki pamoja.
 
Mkeo anatazama sana mali kuliko ndoa na future yenu pamoja na watoto.

Kimsingi tayari ulisha fanya makosa kujenga kwenye kiwanja cha mkeo kabla ya kujadili kibadilike na kua kiwanja chenu (nadhani ulimuamini kama mke na mama wa watoto wako).

Haya uliyo yaeleza tayari ni dalili mbaya kwa afya ya ndoa yenu.
Nakushauri uishie hapo ulipo komea, usionyeshe tofauti, kuchukizwa wala kung'ang'ania nyumba uliojenga kwenye kiwanja cha mkeo na upatazame kama kituo cha kuwalelea watoto wenu.

Ongeza bidii kwenye kazi/tafuta kazi, na anza kuendeleza kiwanja ulicho kinunua ili nawewe uwe na kwako.

Pole sana mkuu
Naona umemalizia na pole sana Mkuu
 
Nakubali kutukanwa mkuu! Lakini kiwanja changu Mimi kipo kwenye kata huko chake ndo kipo makao makuu ya wilaya sehemu ambayo nimeona kuna fursa zaidi kuliko huko kiwanja changu kilipo. Kwa Sasa yeye nimemfungulia kibiashara hapo alipo na mtoto wetu mkubwa pia ameanza shule hapo. Kwa hiyo kwa kumwamini kiwanja chake kilikuwa chaguo namba moja kwa ajili ya familia yangu na kile chakwangu pamoja na kwamba nilijenga kwa ramani ya nyumba ya familia lakini nimeamua kubomoa nijenge vyumba vya kupangisha na jumamosi ya juzi niliwapeleka wote mke na watoto kuwaonesha hicho kiwanja changu japo watoto wangu bado wadogo lakini tulienda nao. Kwangu Mimi sijaona Kama nilikosea kwasababu mke na familia yangu kwa ujumla nawaona kama Mimi mwenyewe sema sasa unaweza ukawaza vyema lakini mwenzako akawaza tofauti na ushauri wa watu wabaya pia.
daah wanawake bhana achana nao mimi ana kiwanja kiko sehemu nzuri ila sijawahi hata kukizungumziaa maana najua mwisho wa siku kitaumana tu
 
Huyo mwanamke mnamuonea bure Mimi naona yupo SAHIHI kwanza kiwanja ni chake hivyo ni haki yake

Pili hatujasikia upande wa mke labda jamaa nae kaanza michepuko

Mkeo yupo sawa dunia ya sasa kila mtu anaangalia maslahi yake hongera kwa kupata mke muelevu
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Wasafirishe rudi na greenade inauzwa laki nunua mbili rushia ndani nyumba itasambaa au vunja kivyovyote vile aanze teseka nyumba ya kupanga ..mwanamke mpumbavu huvunja ndoa Yake kwa mikono yake
 
Kiwanja ni chake nyumba ni yako. Mkuu usikubali hati ya nyumba ikasoma jina la mkeo pekee utajuta. Pambana hadi mwisho uwepo kwenye hio mali.

Pia mkuu ukiona anakushinda acha kuendeleza maendeleo kwenye hio nyumba wekeza kwenye kiwanja chako maana jeuri inamjaa sababu anajua huna pa kukimbilia(nyumba yako halali)

Umeoa mwanamke mbinafsi sana
Mwenye kiwanja ndio mwenye nyumba
 
wote hamuaminiani

yeye anaona kama utaandika jina lako kuna siku utamgeuka abaki hana kitu

wewe pia unahisi atakugeuka

achana nae, aandike jina lake we jenga kwako
 
Mkeo anatazama sana mali kuliko ndoa na future yenu pamoja na watoto.

Kimsingi tayari ulisha fanya makosa kujenga kwenye kiwanja cha mkeo kabla ya kujadili kibadilike na kua kiwanja chenu (nadhani ulimuamini kama mke na mama wa watoto wako).

Haya uliyo yaeleza tayari ni dalili mbaya kwa afya ya ndoa yenu.
Nakushauri uishie hapo ulipo komea, usionyeshe tofauti, kuchukizwa wala kung'ang'ania nyumba uliojenga kwenye kiwanja cha mkeo na upatazame kama kituo cha kuwalelea watoto wenu.

Ongeza bidii kwenye kazi/tafuta kazi, na anza kuendeleza kiwanja ulicho kinunua ili nawewe uwe na kwako.

Pole sana mkuu
[emoji120][emoji120][emoji106][emoji106]afuate huu ushauri
 
Unaandika jina la mtoto, kumbe hata sio wako....siku akikuropokea ndo utajua hujui.
Dalili za kugombea mali zikishaanza huwa haziishi vizuri.

Una watoto 3, utaandika yupi?, Huoni kuna uwezekano wa watoto kujenga chuki kwa wazazi kuwa hawapendwi ndio maana hawajaandikwa kwenye mali zao?
Hapa busara na Maombi yanahitajika
 
Sababu zinazomfanya mwanamke ahitaji ndoa hazifanani kabisa na za mwanaume.
 
Unaandika jina la mtoto, kumbe hata sio wako....siku akikuropokea ndo utajua hujui.
Dalili za kugombea mali zikishaanza huwa haziishi vizuri.

Una watoto 3, utaandika yupi?, Huoni kuna uwezekano wa watoto kujenga chuki kwa wazazi kuwa hawapendwi ndio maana hawajaandikwa kwenye mali zao?
Hapa busara na Maombi yanahitajika
Hapo hakuna kuandika jina la Mke wala jina la Watoto, jina linalotakiwa kuandikwa hapo ni jina la Mkuu wa Kaya tu,hakuna majadiliano hata Kama kiwanja ni chake!!
 
Sababu zinazomfanya mwanamke ahitaji ndoa hazifanani kabisa na za mwanaume.
Kweli, ni wanawake wachache wanaochukulia mume ni mwenza katika kujenga familia, wengi wanachukulia mume ni kama ajira fulani,
 
Mmeoana sasa, andikeni majina yenu yote mawili kwenye umiliki wa nyumba na kiwanja, akikataa hakuna haja ya kugombana ila mwambie waziwazi unaenda kujenga nyumba yako ambayo umiliki hautamuhusu.

Ila boss ukishaona mmefikia hapo hakuna ndoa hapo angalia utaratibu mwingine tuu na kisheria inaweza kuwa complicated ikaja kukupotezea muda mwingi bila sababu
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Sasa hapo anawaza ukimwacha atadai wapi? Kwanini msiandike jina la mtoto
 
Hivi mwanamke mwenye mali na utajiri huwa wanafuata nini kwa Mwanaume?

Kwanini mwanamke tajiri naye huolewa?

Maana kama vile Kuna tatizo kwa mwanamke masikini akipata kitu kwenye mapenzi/mahusiano/ndoa.
 
Hivi mwanamke mwenye mali na utajiri huwa wanafuata nini kwa Mwanaume?

Kwanini mwanamke tajiri naye huolewa?

Maana kama vile Kuna tatizo kwa mwanamke masikini akipata kitu kwenye mapenzi/mahusiano/ndoa.
Mwanamke tajiri hana roho ya kimaskini, kinachosumbuwa hapo ni umaskini wa roho tu.

Kumbe hata wanawake huwa wanatangulia kufa pia na kumuacha mume na Watoto.
 
Back
Top Bottom