Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

Kwahyo unabkiwanja chako ila ukaendeleza cha mkeo ww hujioni ni mjinga na mgogoro umejianzishia mwenyewe.

Uliomba hata ushauri kabla ya kuendeleza kwenye kiwanja cha mke Maana ungeomba ushauri ungepewa utabiri ambao ndio unakukuta now.

WAJINGA NDIO WALIWAO ACHA MKE AKUPASUE KICHWA SASA

Nakubali kutukanwa mkuu! Lakini kiwanja changu Mimi kipo kwenye kata huko chake ndo kipo makao makuu ya wilaya sehemu ambayo nimeona kuna fursa zaidi kuliko huko kiwanja changu kilipo. Kwa Sasa yeye nimemfungulia kibiashara hapo alipo na mtoto wetu mkubwa pia ameanza shule hapo. Kwa hiyo kwa kumwamini kiwanja chake kilikuwa chaguo namba moja kwa ajili ya familia yangu na kile chakwangu pamoja na kwamba nilijenga kwa ramani ya nyumba ya familia lakini nimeamua kubomoa nijenge vyumba vya kupangisha na jumamosi ya juzi niliwapeleka wote mke na watoto kuwaonesha hicho kiwanja changu japo watoto wangu bado wadogo lakini tulienda nao. Kwangu Mimi sijaona Kama nilikosea kwasababu mke na familia yangu kwa ujumla nawaona kama Mimi mwenyewe sema sasa unaweza ukawaza vyema lakini mwenzako akawaza tofauti na ushauri wa watu wabaya pia.
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Nina uzoefu na hili. Kiufupi mkeo mapenzi yake ni matrimonial properties tu, hamna upendo hapo, na mwisho wake mtaishia pabaya.

Fanya mkakati wa kupata hati ya nyumba ikiwa imeandikwa majina yenu wote. Kabla ya hapo, mwambie msimamo wako juu hati ya nyumba hiyo.

Mi yalinikuta ila hakufanikiwa
 
Nina uzoefu na hili. Kiufupi mkeo mapenzi yake ni matrimonial properties tu, hamna upendo hapo, na mwisho wake mtaishia pabaya.

Fanya mkakati wa kupata hati ya nyumba ikiwa imeandikwa majina yenu wote. Kabla ya hapo, mwambie msimamo wako juu hati ya nyumba hiyo.

Mi yalinikuta ila hakufanikiwa

Sawa mkuu. Niko imara nimeshamsoma muda.
 
Don't believe any woman, Especially when naked,
Keep it in your mind
 
Wanawake wengi siku hizi wamekua hawana hisia za mapenzi ya kweli (real love from within), hii hupelekea kutoishi katika ile misingi halisi ya ndoa na kuheshimu mamlaka ya baba kua kichwa cha familia na msimamizi wa mali.

Wamekua na mapenzi ya kuigiza hasa hawa tunaowaoa wakiwa wameshavuka 25+ maana wanakua tayari wana past experiences zao nyingi na ma-ex zinawafanya wawe na mixed feelings.

Kwa kifupi ktk kipindi cha uchumba wana uwezo mkubwa sana wa kuficha makucha yao hasa wakiona kuna fursa huko mbele. Watajitahidi kukuonyesha upendo wa hali ya juu ili mradi ujichanganye utangaze ndoa.

Kimbembe kinaanza mkishakua ktk ndoa focus yao kubwa huanza kua kwenye mali na watoto tu (ambao anaweza akawa amekubambikia pia). Wengi wanaamini wanaume hua tunakufa mapema, hivyo mali zikiwa kwa jina lake basi itakua nafuu kwake kuzilinda endapo ndugu zako wenye tamaa wataingilia kati (hawa mara nyingi hua hawana nongwa sana, ingawa ni rahisi kurubuniwa na ndugu zao wenye tamaa za mali muachane ili wanufaike wao).

Lakini wengine wameenda mbali zaidi ambapo mali zikiwa kwa majina yao hupandwa na viburi na kujiona wao ndio "wakuu wa kaya" na kumdharau moja kwa moja mwanaume ambae alipambana kuifikisha familia ilipo. Kundi hili ni lile linalorubuniwa na ma-ex au majamaa yanayowatongoza tongoza ovyo kila siku na kauli zao mbiu hua "kama vipi tuachane tu!". Yani muachane ili umuachie mali aendelee kudanga na mabwana zake au mwanaume wa ndoto zake ambae alishindwa kua nae wakati mpo kwenye ndoa.

USHAURI: Kijana jipange, hakikisha kabla haujaoa una mali zako ambazo kimsingi atakuja kuzikuta mkiwa mmeshaoana. Haya mambo ya kuchuma pamoja ktk ndoa yamekua ya kiduwanzi siku hizi. Otherwise KATAA NDOA! THESE H*** AIN'T LOYAL ANYMORE!!! Nakaribisha povu [emoji36]
Hii ni comment bora kabisa ihusuyo mambo ya ndoa ,na ni bora ya kufungia mwaka
 
Kiwanja ni chake nyumba ni yako. Mkuu usikubali hati ya nyumba ikasoma jina la mkeo pekee utajuta. Pambana hadi mwisho uwepo kwenye hio mali.

Pia mkuu ukiona anakushinda acha kuendeleza maendeleo kwenye hio nyumba wekeza kwenye kiwanja chako maana jeuri inamjaa sababu anajua huna pa kukimbilia(nyumba yako halali)

Umeoa mwanamke mbinafsi sana
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Heading ya hii topic inaonyesha sababu anafanya hivyo..embu read between the lines!
Nyumba niliyojenga...
Unajenga nyumba yako mwenyewe ukae mwenyewe? Then mkeo anajenga yake akae na watoto.
Circumstances ya maisha au kazi kukosa mke wako sio sababu to make justification.
Jenga pamoja weka jina kwa mtoto iwe neutral.
Kumbuka!.. nothing is permanent in life zaidi ya kifo!..
 
Chapa
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Chapa kaz kwa bidii, ongeza elimu na maarifa, pambana upate kaz yenye kipato kikubwa, jenga nyumba nzur kwenye kiwanja chako chenye jina lako, punguza mapenz ya dhat uliyonayo kwa mkeo maana huyo siyo mke ni msaka mali so mtreat kama mtoa uloda tu, sitisha ujenzi au kuendeleza kiwanja chake wala usimkasirikie weka hasira kwenye kutafuta hela. Usipate watoto wengine wawili wanatosha sana kwa maisha ya sasa wapelekee mahitaji yote wanao, na wape mapenzi kama yote wanao. Huyo mwanamke asikurubun kwa u**hi wake tena. Focus kumuabudu na kumtumikia Mungu. Pambana kwa hali na mali ili wanao watakapokuwa wakubwa hata watakapokuwa wakiambiwa upupu na mama yao watapima na watamuona mama yao alivyo kichwa maji maana wataona kabisa kuwa umewapambania umehustle kwa ajili yao na watafeel proud kuwa pamoja na changamoto ya mama yao but ulistand firm as man.
 
Wanawake wengi siku hizi wamekua hawana hisia za mapenzi ya kweli (real love from within), hii hupelekea kutoishi katika ile misingi halisi ya ndoa na kuheshimu mamlaka ya baba kua kichwa cha familia na msimamizi wa mali.

Wamekua na mapenzi ya kuigiza hasa hawa tunaowaoa wakiwa wameshavuka 25+ maana wanakua tayari wana past experiences zao nyingi na ma-ex zinawafanya wawe na mixed feelings.

Kwa kifupi ktk kipindi cha uchumba wana uwezo mkubwa sana wa kuficha makucha yao hasa wakiona kuna fursa huko mbele. Watajitahidi kukuonyesha upendo wa hali ya juu ili mradi ujichanganye utangaze ndoa.

Kimbembe kinaanza mkishakua ktk ndoa focus yao kubwa huanza kua kwenye mali na watoto tu (ambao anaweza akawa amekubambikia pia). Wengi wanaamini wanaume hua tunakufa mapema, hivyo mali zikiwa kwa jina lake basi itakua nafuu kwake kuzilinda endapo ndugu zako wenye tamaa wataingilia kati (hawa mara nyingi hua hawana nongwa sana, ingawa ni rahisi kurubuniwa na ndugu zao wenye tamaa za mali muachane ili wanufaike wao).

Lakini wengine wameenda mbali zaidi ambapo mali zikiwa kwa majina yao hupandwa na viburi na kujiona wao ndio "wakuu wa kaya" na kumdharau moja kwa moja mwanaume ambae alipambana kuifikisha familia ilipo. Kundi hili ni lile linalorubuniwa na ma-ex au majamaa yanayowatongoza tongoza ovyo kila siku na kauli zao mbiu hua "kama vipi tuachane tu!". Yani muachane ili umuachie mali aendelee kudanga na mabwana zake au mwanaume wa ndoto zake ambae alishindwa kua nae wakati mpo kwenye ndoa.

USHAURI: Kijana jipange, hakikisha kabla haujaoa una mali zako ambazo kimsingi atakuja kuzikuta mkiwa mmeshaoana. Haya mambo ya kuchuma pamoja ktk ndoa yamekua ya kiduwanzi siku hizi. Otherwise KATAA NDOA! THESE H*** AIN'T LOYAL ANYMORE!!! Nakaribisha povu [emoji36]
Umetisha mkuu.
Ukweli mtupu.
 
Sema iyo ya kwenda kwa mwezi Mara moja nyumbani kwako apa pia patazame upya wenda ndio pamesababisha mkeo kuwa na jeuri. Nimekwambia ki utu uzima namatumaini umenilewa,
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Kwa hiyo mnaishi tu ila hamuaminiani?Kazi ipo?Sina ushauri.
 
Mkuu wanawake karibia wote wako hvyo siku hz wanawaza mali tu

Ngoja nikupe mfano wangu nilimpa 2mil katengeneza duka bahati nzuri limeenda vizur sana,maana tulikuwa hatulitegemei kwa chochote lakin kutokana na duka kukuwa namuona kabisa ameanza kuvimba na mwanzo alikuwa anasema duka ni la mwanaume ila sahv ni lake na mimi nimemtulizia tu maana hata nikihitaji laki 2 siwez pewa
Mkuu tumia akili ili umfilisi biashara yake ili heshima irudi ndani ya nyumba, wanawake waki Afrika wakipata pesa wanaweuka.
 
Back
Top Bottom