Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

Mke amheshimu bwana kama kichwa cha nyumba, ni kiburi kwa kuwa kiwanja ni chake. Ajue vitu vyote ni vyenu kwa kuwa mmekuwa mwili mmoja.
 
Huo ujinga wa kujenga kwenye kiwanja cha mke bado hamjaacha?
 
Hii scenario inafanananisha ya story ya Uganda ambapo mwanaume aliporomosha nyumba ya maana kwenye kiwanja Cha mke wake...ikafika mda wanandoa walitofautiana kwenye maswala ya ndoa ilifika wakati kesi ilipelekwa mahakamani. Na mwisho wa siku mahamuzi kutoka mahakamani ni kwamba mwanaume ilibidi ahamishe nyumba yake amwachie kiwanja Cha mke wake. Kutokana na mahamuzi hayo mwanaume ilibidi abomoe nyumba iliamwachie kiwanja mke wake...nadhani hapo ni fundisho tosha. Wanawake wasasa tuende nao kiakili
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Huyo mkeo ana kauchoyo Fulani hivi . Ana tamaa ya mali ulizochuma. Ana tamaa Sana huyo M mwananke. Chukua hatua mapema kabla mambo hayajaharibika
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Hauna mke hapo una kiburudisho mkuu.
Muache aandike kwa jina lake kila kitu Alf ww Anza kujenga kweny kiwanja chako kimya kimya usithubutu kumshirikisha chchte.
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Kosa ni kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke na una cha kwako. Hapo usipoangalia utakufa mapema sana. Umeshafanya kosa na sasa ushauri wangu ni kuwa ujitahidi ujenge kwako. Uhame hapo kwa mkeo
 
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa,

Naomba nienda moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nimeoa na Mungu amenijalia watoto wawili. Nafanya kazi sekta binafsi na mke wangu sasa ni mama wa nyumbani. Mke wangu kabla sijamuoa alikuwa amenunua kiwanja chake makao makuu ya wilaya na mimi pia nilikuwa nimenunua kiwanja changu katika wilaya hiyo hiyo ila kwenye tarafa mojawapo.

Tulipooana tuliamua kuishi wilayani, kipindi hicho mimi nilikuwa sina kazi ila yeye alikuwa na kazi japo si mshahara mkubwa na alikuwa kwenye kata mojawapo katika wilaya hiyo nami nilikuwa nimepanga makao makuu ya wilaya, ambapo yeye ndiyo alinunua kiwanja.

Mwaka mmoja baada ya ndoa nikaajiriwa mkoa mwingine hivyo nikamuacha yeye na mtoto, yeye akiwa bado anafanya kazi.
Nikaanza kujenga msingi kwenye kiwanja changu na sikuendeleza nikaachia kwenye msingi. Baadaye nikapiga msingi kwenye kiwanja chake.

Mwaka moja baadaye yeye akaachishwa kazi pale alipokuwa anafanya kazi, ikabidi niwachukue nikae nao mjini. Lakini nikaona ni gharama sana kupanga mjini na mshahara ni mdogo, nikaamua kuchukua mkono nikaendeleza msingi katika kiwanja chake kwa maamuzi kwamba, niendeleze hata vyumba kadhaa halafu niirudishe familia wilaya wakakae huko, mimi nichukue chumba kimoja kupunguza gharama.

Hili pia lilichangia na mgogoro, nikaona siku moja nitapoteza kazi halafu sina pakukimbilia wakati natafuta kazi nyingine. Nikaanza ujenzi na taratibu zote halmashauri nilifanya kwa jina langu. Nikajenga vyumba viwili nikaweka na umeme nikahamisha familia. Kwa sasa wana miezi kadhaa nakuwa nawatembelea walau kila mwisho wa mwezi.

Kilichonifanya niandike uzi huu ni kwamba mke analeta jeuri kwenye hiyo nyumba, kwa kiasi fulani amebadilika, maana juzi kati tulitofautiana jambo fulani dogo nikagundua kiburi kimempanda sana.

Pili, sasa hivi anapambana hati iwe kwa jina lake. Kwa sasa tuna harakati za kuweka maji anajitahidi ajaze fomu yeye kwa jina lake na pia juzi nililipia hela B con na imewekwa sasa yeye anataka kujiandika kama mwenye nyumba.

Ebu naomba ushauri wenu nimuache ajiandike? Nia yangu mimi ni kulinda ndoa yetu, maana naona yeye kama akipata umiliki atanisumbua na tutasababisha mgogoro utakao wasumbua watoto wetu.

Ebu naombeni ushauri kulingana na uelewa na uzoefu, maana mimi kama baba mwenye nyumba ni wajibu wangu kulinda familia yangu, wakina mama wanadanganyika haraka sana. Natarajia kumpiga marufuku harakati zote kwa mamlaka niliyonayo ila nasubiri ushauri wenu.

Asanteni.
Kilinunuliwa mkiwa mnaishi pamoja au kila mtu kivyake? Tuanzie hapo.
 
Jaribu kukaa naye chini umuulize Kwann anataka liandikwe jina lake alafu msikilize point zake alafu na ww mpe point yako mjengee hoja muandike majina ya watoto ili kumaliza mgogoro na mulinde ndoa yenu inanikumbusha Ng'ombe wa mwana heli kala shamba la mbwana heli vyote ni vya heli

Ni 'heri' siyo 'heli'. Acha ujinga!
 
Hapana alinunua mwenyewe kabla hatujaoana

Mwache aandike jina lake kwenye hati, mita ya umeme, mita ya maji, hata ulinzi shirikishi aandike jina lake.

Jumuia, kanisani aandike jina lake.

Kila kitu aandike jina lake.

Halafu usiendelee tena kukarabati hiyo nyumba. Ishia hapo ulipo maana hujafika mbali.

Usimuulize, wala usipingane naye hukusu nyumba.

Fanya kazi kimya kimya na anza kujenga kimya kimya. Huyo mtaachana siku si nyingi. Na ukiwa na kwako utakuwa na uhuru wa kuanza upya.

Kuanza upya si ujinga.

Wanawake wabinafsi sana. Wakiwa na mali hawawezi kujizuia kwa ubinafsi.

Hata ikifika mahali akaanza kuleta mahaba, kuwa makini!
 
Mwache aandike jina lake kwenye hati, mita ya umeme, mita ya maji, hata ulinzi shirikishi aandike jina lake.

Jumuia, kanisani aandike jina lake.

Kila kitu aandike jina lake.

Halafu usiendelee tena kukarabati hiyo nyumba. Ishia hapo ulipo maana hujafika mbali.

Usimuulize, wala usipingane naye hukusu nyumba.

Fanya kazi kimya kimya na anza kujenga kimya kimya. Huyo mtaachana siku si nyingi. Na ukiwa na kwako utakuwa na uhuru wa kuanza upya.

Kuanza upya si ujinga.

Wanawake wabinafsi sana. Wakiwa na mali hawawezi kujizuia kwa ubinafsi.

Hata ikifika mahali akaanza kuleta mahaba, kuwa makini!
Nimeshamsimamisha kuendelea na hizo taratibu kwanza hadi nifike Mimi amekubali. Options zipo mbili tu akubali niandike jina langu kama head of the family na ya pili niandike jina la mtoto wetu mkubwa.
 
Nimeshamsimamisha kuendelea na hizo taratibu kwanza hadi nifike Mimi amekubali. Options zipo mbili tu akubali niandike jina langu kama head of the family na ya pili niandike jina la mtoto wetu mkubwa.
Kuandika la kwake nitakuwa nimeharibu kabisa hiyo ndoa kwa hali ninayoiona. Sikatai kwamba huenda tukaachana hata kwa kitu kingine huko mbeleni lakini kwa hili siwezi kukubali nawajali sana watoto wangu na nawapenda sana.
 
Kama ni mkeo na mna cheti cha ndoa,na ameshakuzalia watoto mwache aandikishe jina lake.After then mwishowe itakuwa nyumba ya watoto tu.
 
Kama ni mkeo na mna cheti cha ndoa,na ameshakuzalia watoto mwache aandikishe jina lake.After then mwishowe itakuwa nyumba ya watoto tu.
Tuna watoto wawili Sasa. Mimi sikatai kuandika jina lake. Shida ni kwamba hawezi kuhimili maana baada tu ya kuhamia ameshakuwa kiburi akiandika Majina yake tutasumbuana sana na siko tayari tufarakane kwasababu ya watoto wangu nitampa hizo options mbili nopozotaja asipokubali nitatafuta option ya tatu.
 
Mkeo anatazama sana mali kuliko ndoa na future yenu pamoja na watoto.

Kimsingi tayari ulisha fanya makosa kujenga kwenye kiwanja cha mkeo kabla ya kujadili kibadilike na kua kiwanja chenu (nadhani ulimuamini kama mke na mama wa watoto wako).

Haya uliyo yaeleza tayari ni dalili mbaya kwa afya ya ndoa yenu.
Nakushauri uishie hapo ulipo komea, usionyeshe tofauti, kuchukizwa wala kung'ang'ania nyumba uliojenga kwenye kiwanja cha mkeo na upatazame kama kituo cha kuwalelea watoto wenu.

Ongeza bidii kwenye kazi/tafuta kazi, na anza kuendeleza kiwanja ulicho kinunua ili nawewe uwe na kwako.

Pole sana mkuu
Wachaga ninawqkubali siku zote lakini hili ndilo tatizo sugu la wanawake wa kichaga.
Wachaga nisameheni ninawapenda bure lkn kwenye hili muokoke.

Mkuu Ushimen
Ni furaha yangu kuwa umefungua kinywa.
Lini nitakuona natamani tuzipige kidogo?
 
Kwahyo unabkiwanja chako ila ukaendeleza cha mkeo ww hujioni ni mjinga na mgogoro umejianzishia mwenyewe.

Uliomba hata ushauri kabla ya kuendeleza kwenye kiwanja cha mke Maana ungeomba ushauri ungepewa utabiri ambao ndio unakukuta now.

WAJINGA NDIO WALIWAO ACHA MKE AKUPASUE KICHWA SASA
 
Back
Top Bottom