Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
bora huyo kuliko wale wa ma tamthilia, baadae wanaanza kutaka maisha ya ki tamthilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks mkuu, umenitoa wasiwasi kidogo, ndo faida ya JF,Hana shida mkuu, as long wanafurahia pamoja na watoto,hiyo ni hobby yake na watoto wamerithi kama mama yao, hilo siyo tatizo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
• 😀😀, Naona na avatar yako, ipo active.Naamini angekuwa mke wangu tungefurahi sana. Napenda katuni pia.
1. Dexter's Laboratory
2. The Powerpuff Girls
3. Johnny Bravo
4. Courage the Cowardly Dog
5. Ed, Edd n Eddy
6. Codename: Kids Next Door
7. Foster's Home for Imaginary Friends
8. The Grim Adventures of Billy & Mandy
9. Ben 10
10. Teen Titans Go!
11. Adventure Time
12. Regular Show
13. The Amazing World of Gumball
14. Steven Universe
15. Clarence
16. We Bare Bears
17. Craig of the Creek
18. OK K.O.! Let's Be Heroes
19. The Powerpuff Girls (2016)
20. Samurai Jack
21. Cow and Chicken
22. Chowder
23. My Gym Partner's a Monkey
24. The Marvelous Misadventures of Flapjack
25. Mighty Magiswords
26. Camp Lazlo
27. Sym-Bionic Titan
28. Young Justice
29. Over the Garden Wall
30. The Venture Bros.
31. Tom and Jerry (2014)
32. Total Drama Island
33. Uncle Grandpa
34. Victor and Valentino
35. Apple & Onion
36. Summer Camp Island
37. The Fungies!
38. Infinity Train
39. Mao Mao: Heroes of Pure Heart
40. ThunderCats Roar
Hizi zote nimeangalia kipindi hiko na baadhi ninazo series zake full hadi leo.
Sioni kama kuangalia katuni ni tatizo na uzuri umesema ni mama na mke mzuri nadhani hilo ndio la muhimu zaidi. Muache aangalie ndio furaha yake ilipo.Mkuu, nilitamani kujua hili aise, Kwa sababu nilona kama ameathirika na katuni ki design fulani hivi. [emoji848]
Sasa tuangalie nini rafiki? Yaan kama mimi ndio hunitoi kwenye makatuniMimi nahisi mtu anayeangalia cartoon akiwa mtu mzima au animation au kupendelea kucheza video games kwa sana yaan kupitiliza namuona kama ana utoto mwingi ndani yake mtu30 plus cartoon,animation za nini??!!!!
Tunaitwa watoto eti. Mimi napenda sana makatuni hasa Tom&Jerry hapo ndio hunitoiAisee mi ni mpenzi wa Cartoon kinoma halafu ni beard king.Sasa watu wanasema na ndevu zako hizo unaziaibisha kupenda katuni mi napenda kinoma.Hasa hasa Animation.
Huyo ni partner wangu. mimi katuni hazinipiti na wajukuu zangu.Habari wana JF, poleni na majukumu ya hapa na Pale 🤝.
• Kuhusu hili suala, naona kama ni uraibu wa mke wangu kutazama katuni na watoto kila dakika. "[uende - urudi ni katuni kwenda mbele na michezo ya hapa na pale.] "
• Mke wangu huwa anafurahia sana kutazama na kuimba pamoja na watoto wetu pindi wanapongalia katuni hiyo, na endapo watoto wetu kama watakua hawajaangalia hiyo katuni huwa akiwasimulia hadithi hizo baada ya watoto kuludi kutoka shule au kutoka maeneo yao ya kucheza. Kila nikiangalia hili suala la katuni, naona kabisa kuna kitu hakipo sawa kabisa.
• Kuhusu katika majukumu yake kama mke na mama wa watoto wetu, kwa kweli yupo vizuri sana analea watoto safi kabisa, ila kinachonipa wasiwasi mkubwa ni kuhusu hili suala la kuangalia katuni bila kupumzika. Yani wamegeuza nyumba kuwa nyumba ya katuni. [ uende - urudi ni katuni kwenda mbele ] na michezo ya hapa na pale.
• Kama kutakuwa na njia au namna yeyote ile naomba msaada wa kurekebisha hili tatizo la katuni.
"Nahisi kuna kitu kibaya, maana simuelewi kabisa kuhusu mke wangu, wakati mwingine hata haangalii sinema ninazotaka tuangalie pamoja, isipokuwa tu atajilazimisha kishikaji lakini moyo wake unakua unawaza katuni tu. Hata tukiwa tumekaa kama familia yeye na watoto wetu huendelea kupiga stori za katuni.
• "Mke wangu, mwenye umri wa miaka 33 sasa, anafurahia sana kutazama katuni zaidi kuliko hata watoto wetu. Mvulana wetu wa kwanza ana umri wa miaka 11 hadi wa mwisho ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 4.
• Naona kama mke wangu amepatwa na uraibu wa katuni hivi , wao ni kuimba nyimbo za katuni , kupiga ngoma zao na kujadili mambo ya katuni kila wakati.
• Nimejaribu kumweleza kuwa sipendi kabisa tabia ya kuangalia katuni kila sekunde lakini wapi!!! , silalamiki kwa sababu wanafurahi lakini sielewi uraibu wa mke wangu ni nini hasa?. Hata wakati watoto wakiwa hawapo karibu, yeye ataendelea kutizama filamu za katuni peke yake. Watoto Watakapofika nyumbani , atawasimulia yote aliyoyatazama na hata kuwaonyesha kwa vitendo matukio ya kuchekesha/yenye hisia.
• Tafadhali kumbuka kuwa, ameajiriwa kikamilifu na bado anafanya kazi zake kama mke na mama. Sina tatizo lolote kwa upande huo, je amezoea filamu za katuni au kuna kitu kimejificha? Au nimuache akikua ataacha mwenyewe, Maana sielewi kabisa."
• Je, kitu gani ninaweza kufanya ili kumsaidia mke wangu ? Inanisumbua sana akili yangu kwa namna fulani.
😎Hii ni story ya kijana Mwenye familia ya watoto wa tatu ✍️✍️✍️✍️.
View attachment 2856301View attachment 2856302View attachment 2856303
Angalieni Bunge na Malumbano ya hoja.Sasa tuangalie nini rafiki? Yaan kama mimi ndio hunitoi kwenye makatuni
Mara mojamoja sio mbaya ila sio unakuwa addicted na cartoon na animations au video games kama thread ilivyojielezeaTunaitwa watoto eti. Mimi napenda sana makatuni hasa Tom&Jerry hapo ndio hunitoi
Tuuze TV nunua hata ukili awe anafuma mikeka kupoteza mda[emoji16][emoji1], Ushauri mkuu, hapa tunafanyaje?
Siyo moto mkuu😀, Mkuu kupeleka moto, au kuongeza List ya watoto kwenda mbele.