Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

TV huwa inaharibu uwezo wa kufikiri na kutafakari na MTU anakuwa hana ile deep thinking na Mbaya zaidi Kwa watoto .

Kuangalia TV hakikisha inakuwa Mara chance Sana ikiwezekana hata kwa wiki Mara-moja. Au mbili..
• Mkuu, hii ipo sahihi kabisa,
Kutazama TV kwa muda mrefu inaweza kuwa na madhara kama vile uchovu wa macho, kushuka kwa usingizi, na msongo wa mawazo. Ni muhimu kupumzisha macho mara kwa mara na kudumisha usawa kati ya shughuli za kuangalia TV na maisha mengine.
 
Ninavyompenda sponsebob na mwenzeke patriki tumbo wazi huniambii kitu hata iweje ukifika muda wa hizo katun lazima niwe nyumbani kwenye channel ya niclod....now nina 35 fumba macho tuombe ee mungu baba wambingon namleta kijana huyu, huyu mke hamfai huyo ni ridhiki yangu kabisa naomba baba katkt jina la yesu waachane ili nimuoe mimi tunaendana kabis huyu kapora mke wa mtu ameeen
 
Sio Cartoon zote ni za watoto (The Simpsons ni Family even wakubwa) ila kuna kina Family Guy na Southpark hizo ni za wakubwa...

Anyway to each his/her own....
 
Ninavyompenda sponsebob na mwenzeke patriki tumbo wazi huniambii kitu hata iweje ukifika muda wa hizo katun lazima niwe nyumbani kwenye channel ya niclod....now nina 35 fumba macho tuombe ee mungu baba wambingon namleta kijana huyu, huyu mke hamfai huyo ni ridhiki yangu kabisa naomba baba katkt jina la yesu waachane ili nimuoe mimi tunaendana kabis huyu kapora mke wa mtu ameeen
 
Huyo angenifaa sana binafsi napenda animation sana japokiwa siko addicted lkn nisingekuwa na shida lkn ukiona shida sana tubadilishane [emoji23]
😀😀, yeye Shemeji anapenda kuangalia nini mkuu, au Ndondi
 
• Mkuu, hii ipo sahihi kabisa,
Kutazama TV kwa muda mrefu inaweza kuwa na madhara kama vile uchovu wa macho, kushuka kwa usingizi, na msongo wa mawazo. Ni muhimu kupumzisha macho mara kwa mara na kudumisha usawa kati ya shughuli za kuangalia TV na maisha mengine.
Ikiwa haya mambo unayajua unaweza kuwatengenezea hobby tofauti na TV watoto, mfano unaweza nunua ubao wa wa kisasa chalkboard ,mkawa mnatumia na watoto kuchambua vitabu mbalimbali.

TV iwe nadra Sana.
 
Unataka upewe Nini mkuu,, huyo ndo mwanamke ambaye Kila mwanaume angependa kuwa nae,, labda wewe ndo mwenye matatizo sio yeye

huyo ndo mwanamke ambaye Kila mwanaume angependa kuwa nae,,
Mkuu yawezekana ndo ile kauli ya kusema "penye miti hapana wajenzi" ndo natembea nayo kwa sasa.
 
Ninavyompenda sponsebob na mwenzeke patriki tumbo wazi huniambii kitu hata iweje ukifika muda wa hizo katun lazima niwe nyumbani kwenye channel ya niclod....now nina 35 fumba macho tuombe ee mungu baba wambingon namleta kijana huyu, huyu mke hamfai huyo ni ridhiki yangu kabisa naomba baba katkt jina la yesu waachane ili nimuoe mimi tunaendana kabis huyu kapora mke wa mtu ameeen

ukifika muda wa hizo katun lazima niwe nyumbani kwenye channel ya niclod....now nina 35
35+, unawahi home kwenda kuangalia cartoon?, Dah hii Habari mpya 😅

huyu mke hamfai huyo ni ridhiki yangu kabisa naomba baba katkt jina la yesu waachane ili nimuoe mimi tunaendana kabis huyu kapora mke wa mtu ameeen
Maombi bado hayafika Mbinguni mkuu, yamekwama njiani.
 
Sio Cartoon zote ni za watoto (The Simpsons ni Family even wakubwa) ila kuna kina Family Guy na Southpark hizo ni za wakubwa...

Anyway to each his/her own....
Hata naelewa mkuu, huwa naona wakisimuliana na watoto wetu, nabaki nawatizama tu.
 
Back
Top Bottom