Hivi watoto wenu na wajukuu watakuaje??Nakijua ila sicho alichokitaja! Anavunga kusema ivyo
🤣🤣🤣🤣Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vzr ru toka juzi.jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Nadhani huu ni ushauri mzuriKwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana
🤣🤣🤣🤣🤣Shuleni mliitana majina
Kazini mnaitana majina
Mtaani mnaitana majina..
Hadi huko nako bado mnaitana majina??
Na mnaocheat wote mjikute mmeropoka majina tofauti kiwalambe kama cha Babeli yan.
Rudi mkuu, Sasa hivi .It
Itakuwa.hapa nimepanga nisepe fasta nirudi mkoa wa sehemu yangu ya kazi.maana naweza haribu bure
Au labda alishajua jamaa kabadilisha jina huko alipoKwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana