A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 379
- 792
Mianamke misalit utaijua tuakinya bata...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mianamke misalit utaijua tuakinya bata...
ehMianamke misalit utaijua tu
😂😂🙊Watazoea tu ni jambo la muda. Kibao kimewageukia😅😅
Na ukomeTumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.
Hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Kiukweli kwa sasa ndoa zina matatizo mengi kuliko mahusiano ya kawaida.Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.
Hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Ulivyouliza kwa makini umetajwa wewe mkuuAmetaja jina gani mkuu
MrejeshoTumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.
Hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Mkiambiwa kuoa mwanamke ambaye sio bikira ni sawa na kuoa mke wa mtu muwe waeelewa,,Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.
Hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
HahahaMkiambiwa kuoa mwanamke ambaye sio bikira ni sawa na kuoa mke wa mtu muwe waeelewa,,
Pengine mkeo anataja jina la mwanaume wake aliye mtoa bikira..
Hakika, saiz kila kona vilio, tena vilio vya kufananaKwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana
Mahusiano si dili Tena....hovyo hovyoo🚮Hakika, saiz kila kona vilio, tena vilio vya kufanana
Hilo jina lililotajwa wakati ukichinja mtu huyo unamfahamu?Nakijua ila sicho alichokitaja! Anavunga kusema ivyo
Ukisikia demu/mke wa mwenzio anapigwa, hupaswi kumcheka, ni swala la mda tu...Mahusiano si dili Tena....hovyo hovyoo🚮
Kabisa yaanUkisikia demu/mke wa mwenzio anapigwa, hupaswi kumcheka, ni swala la mda tu...
yaani kuchepuka uuchukulie kama udhaifu?Kwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana