Mke wangu ataja jina la mwanaume mwingine wakati wa tendo la ndoa

Mke wangu ataja jina la mwanaume mwingine wakati wa tendo la ndoa

Sasa majibu yote unayo, wewe ndo uliyesikia sasa unataka sisi tuthibitishe nini?
Huyo uliyesikia ndo kidume Sasa wewe tuambie umechukua hatua gani nasi tujifunze.
Bado natafakari hatua za kuchukua sitakiwi kukurupuka ukizingatia jambo lenyewe limetokea usiku wa kuamkia leo.na leo ndio nasepa kurudi kule
 
akinya bata...
Kushindana kutoka nje hasara kubwa kwa mwanamke kuliko mwanaume sababu ya maumbile ya via vya uzazi.

Wote wanaweza kupata HPV kwa mwanaume isimletee shida ya kifo lakini HPV wakiingia ukeni mwanamke anaweza kupata saratani ya shingo ya uzazi (cervical cancer).

Pia ni rahisi zaidi kwa mwanamke kupata HIV kuliko mwanaume.

Mwanamke anaweza kupata mimba mtoto wa nje na hawezi kusema akamfiche alelewe kwa baba yake halisi lakini mwanaume anaweza kubali mtoto wa nje akamuacha alelewe na mama yake halisi.
 
Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vzr ru toka juzi.jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Jina lako kifupi chake ni nini!?
 
Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vzr ru toka juzi.jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Kwahiyo ww unamuuliza mkeo kitu ulichosikia akitaja halafu utegemee aseme NDIYO?

Kumbuka pale Bustan ya edeni mwanamke alipokula tunda na MUNGU alimuuliza hakukubali bali alisema ni Nyoka kamdanganya.

Jibu unalo. Na kama jina limemkaa kichwani. Tambua yeye ni zaidi maji yashazidi unga.

Ushauri. HAUKUSIKIA VIZURI. Hamia huko ulipo na familia yako
 
Siku hizi uwe mbaali aubkariiibu hawa Viumbe hawajali kabisa yaani wametoa pembe hivyo chukulia kuwa ni ajali tu katika ndoa. Leeni watoto labda kama anakudharau hiyo huwa ni kesi nyingine
 
Huyo mke wako hana akili nzuri kipindi ulivoondoka nkaanza kumla....nkiwa napeleka moto anataja majina yangu yote matatu baada alivozoea anataja mawili nikamkataza akawa anataja Moja baada ya kuskia unakuja ikabidi nianze mazoezi ya kupiga show huku anataja jina lako akijisahau ataje jina langu kwa kifupi eq mpajiiiiiii
 
° Penzi la mbali ni illusion tu, halina uhalisia wala ukweli
° Wake zetu hawajali tena, wapo kwenye revenge mode. Wanalowekwa kama kawaida tu.

Mzae watoto mlee tu hivyo, ila uaminifu wa wake zetu umeshuka sana.

Pole.
 
Back
Top Bottom