dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
NAKAZIANiandike nini zaidi ya KATAA NDOA LINDA KIBUNDA CHAKO NDOA NI UTAPELI WA KISASA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIANiandike nini zaidi ya KATAA NDOA LINDA KIBUNDA CHAKO NDOA NI UTAPELI WA KISASA
Kwa mpenzi ni sawa ila sio sawa kwa mkeTunadanganywa kila siku mkuu, ukichunguza sana unatafuta balaa wewe Kula nawa endelea na issue zingne
Sema kimeumana 😂Shuleni mliitana majina
Kazini mnaitana majina
Mtaani mnaitana majina..
Hadi huko nako bado mnaitana majina??
Na mnaocheat wote mjikute mmeropoka majina tofauti kiwalambe kama cha Babeli yan.
hzo pussy/dck hamkuzitengeneza nyie wala hazitawapeleka mbinguni, achan kujipa pressure kwa vitu visivo na maana yoyote, kwanza ukiwaza kwa ukamilifu kutomberna ni kitendo cha kipuuzi sana ni sawa na kula tu, kitu cha kinakupa raha ya sekunde ya nn kikuuwe kwa pressure kisa kimeliwa na mwingine.° Penzi la mbali ni illusion tu, halina uhalisia wala ukweli
° Wake zetu hawajali tena, wapo kwenye revenge mode. Wanalowekwa kama kawaida tu.
Mzae watoto mlee tu hivyo, ila uaminifu wa wake zetu umeshuka sana.
Pole.
Kama nyinyi wanaume munavyoona kuwa na michepuko ni haki yenu basi sasa kichapo kimewarudia.Kwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana
Mke ndio mpenzi huyo huyo mkuu hawana tofauti yoyote ni majina tu yanabadirika Ila ni yule yule,Kwa mpenzi ni sawa ila sio sawa kwa mke
Imeishaaa hiooooo........ Ni ngumu sana kwa mwizi kukiri kosa lake la uhalifu hata kama amekamatwa na ushahidi... pole sana.Disemba inakuendea vibaya sanaTumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vzr ru toka juzi.jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Imeniuma mnoTumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vzr ru toka juzi.jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Kajitetea tuuNakijua ila sicho alichokitaja! Anavunga kusema ivyo
Kuna mwamba aliaambiwa mbona mbo.o imekuwa nyembamba hainibani kama zamani? Hahahahaba.Ushukuru hakutaja imekuwa ndefu
Nina laptop iliyotumika. Natoa BURE kwa anayeitaka. Piga 0673 553524Kifupi Cha jina lako hukijui kwani.
Ukiwa mtu wa watu ukiwa faragha utadhani upo kwenye Pepa la statistics. Umakini unahitajika achana na hisia siku hziiSema kimeumana [emoji23]
Mazoea yana tabu sana, niliwahi ita mtu jina sio lake na kwa bahati mbaya alikuwa anamjua, mahusiano yaliishia palepale.
Itume hanangNina laptop iliyotumika. Natoa BURE kwa anayeitaka. Piga 0673 553524