Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ni mwanamke jamanKama nyinyi wanaume munavyoona kuwa na michepuko ni haki yenu basi sasa kichapo kimewarudia.
Chai motoTumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.
Hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
ili tusife kwa pressure suluhisho la kudumu ni kuishi kama gizzel na roman tu.Kama nyinyi wanaume munavyoona kuwa na michepuko ni haki yenu basi sasa kichapo kimewarudia.
hapo kila atakayepiga utamwambia amechelewa umeshaigawa, wakati kimsingi hyo laptop huna.Nina laptop iliyotumika. Natoa BURE kwa anayeitaka. Piga 0673 553524
Hiyo ilikuwa kitambo kidogo mkuuUkiwa mtu wa watu ukiwa faragha utadhani upo kwenye Pepa la statistics. Umakini unahitajika achana na hisia siku hzii
Kwisha habari yako.Nakijua ila sicho alichokitaja! Anavunga kusema ivyo
Point KUBWA SANAAAKwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana
Yani uchukulie kawaida kuchapiwaKwa sasa tulieni tu na mridhike na hali ya dunia inavyokwenda....asilimia kubwa sana ya wake za watu kwa sasa wameona ni kawaida kutoka nje ya ndoa.Chukulieni hili kama ni dhaifu kama madhaifu mengine la sivyo hamtoacha kuchinjana