Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Kwa vyovyote hayo ni mambo ambayo uliyalea mwenyewe tangu mwanzo na sasa ni tabia ambayo imeshaota mapembe, mwanaume ndiye msimamizi wa mke na mtoto na iwapo ukionyesha kuelemea upande mmoja au kutokukemea tabia mbovu mapema ndio hufikia huko.
Hapo bado yatatokea mazito zaidi...
Naweza elezea through experience, Mwanaume hana KEY ya ufumbuzi wa kila tatizo hasa kwenye malezi au mahusiano manake ni complex issues.Nimeshuhudia wanaume STRONG,WISE,COMPETENT wakishindwa kirahisi kwenye hayo mambo.
 
Sababu zinazoweza palakea usingle father ni nyingi zaid ya unavyofikria. Na mtu anaposema anaitaji upendo kwa mtoto wake haina maana huyo muolewaji ampende mtoto wake wa kambo sawa sawa na anavyo mpenda mme wake la hasha bali anaitaji kuona mtoto akilelewa kama mtoto, wam-treat kama mtoto tena mtoto wake wa kuzaa na sio kuonyeshea chuki ambayo itamjenga mtoto vibaya, kama ni kuadhibiwa bas aadhibiwe kama mtoto nasio kifanyiwa violence, nk.sio hvyo unavyo sema usifananishe familia na maisha ya uboyfriend na girlfriend, familia inajengwa na more love than romancy (sina maana romantic moments zife)

Wewe ni binadam usifananishe na kuku ndio maana uwez kubar baba au ndugu yako akupande kisa kuku wanafanya hvyo
Makasiriko ya nini how can you force someone to love ur kids nyie nyie wanaume huwa hamtaki watoto wake wengine mnataka waende kwa Bibi au baba zao, tujifunze responsible kwa action zetu wewe uzae then muachane kwa tabia zenu halafu mu force mtoto kupendwa
 
Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.

Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.

Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Kwa kweli
 
Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.

Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.

Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Nikweli na inatakiwa mzaz wakiume umlete mwanao akiwa ana jitambua kuanzia Elimu ya secondary
 
Nakazia
Kuku Tu Mwenyewe Anafukuza Vifaranga Visivyo Vyake
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Mbinguni Una Nafasi Yako Tena Utakaa Kwenye Kivuli
Ukiwa~Zoom Kama Jiwe
[emoji23][emoji23] jamani tuwe wa kweli mtoto uliyemzaa na WA mwingine upendo huwa ni tofauti bwana tuwe makini na watu tunaozaa only few people Wana huo upendo but it's hard to balance
 
Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.

Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.

Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Sisi mbona wakwenu huwa tunawalea kiroho Safi TU?

Wanawake Ni viumbe wabinafsi Sana.
 
Sababu zinazoweza palakea usingle father ni nyingi zaid ya unavyofikria. Na mtu anaposema anaitaji upendo kwa mtoto wake haina maana huyo muolewaji ampende mtoto wake wa kambo sawa sawa na anavyo mpenda mme wake la hasha bali anaitaji kuona mtoto akilelewa kama mtoto, wam-treat kama mtoto tena mtoto wake wa kuzaa na sio kuonyeshea chuki ambayo itamjenga mtoto vibaya, kama ni kuadhibiwa bas aadhibiwe kama mtoto nasio kifanyiwa violence, nk.sio hvyo unavyo sema usifananishe familia na maisha ya uboyfriend na girlfriend, familia inajengwa na more love than romancy (sina maana romantic moments zife)

Wewe ni binadam usifananishe na kuku ndio maana uwez kubar baba au ndugu yako akupande kisa kuku wanafanya hvyo
Madini matupu umeongea[emoji106][emoji3578]
 
Hivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
Nina uhakika kabla hujamuoa alikuahidi kumpenda mwanao kama mtoto wake[emoji38][emoji38],hao ndio wanawake bhana,ukishamvalisha kale kapete ka dhahabu mbele za umati wa watu ndio utazijua rangi zake zote...
 
Kwa kweli
Watu hawataki ukweli kulea mtoto asio wako ni kazi mno,na hawapendeki hata ukiwa mwema lazima ulaumiwe na hasa mtoto ukute huenda kwa mamake na kulishwa sumu kuwa huyo ni mubaya utalea vipi. Mama wa kambo hupata shida bado na lawama na wakikua wanakutenga.
Kulea mwana asiye wako ni shughuli hata mapenzi hayanogi bana
 
Watu hawataki ukweli kulea mtoto asio wako ni kazi mno,na hawapendeki hata ukiwa mwema lazima ulaumiwe na hasa mtoto ukute huenda kwa mamake na kulishwa sumu kuwa huyo ni mubaya utalea vipi. Mama wa kambo hupata shida bado na lawama na wakikua wanakutenga.
Kulea mwana asiye wako ni shughuli hata mapenzi hayanogi bana
Wao kila siku wanawaponda single mama humu halafu wao wanataka tuwalelee watoto wao.
Ni kibarua kigumu mno,,
Tuache unafiki,,lazima ubaguzi uwepo.
 
Back
Top Bottom