Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

kwa upande wangu naonaga kama watu tunafanya mambo yawe magumu tu, mtu umepata watt wako wawili kila mtt na mama yake kisha unaoa mtu mwngine unamkusanyia wale watt unamletea. Ingawa wanasema ukipenda ua penda na boga lake huwa inaudh na kukera mnooo maana hawa wtt wana mama zao kuna mama wengne huwafundsha watt wao ukatili(ujeur) mpk unashndwa jns ya kuwalea maana washaharibika mwsho unaonekana huwapend.

muhim n kuwalea watt zako wakiwa kwa mama zao maadam wapo hai, wakiwa wamekufa n sawa lkn wakiwa hai hapana huo n uonevu na kutafuta maneno kwa wengne walee na kuwatunza wakiwa kwa mama zao. Ingawa s watt wote waliofndshwa ukatili lkn n her nusu shar kuliko shar kamili. Lkzo waje wasalimie baba yao lkn kuish wakaish kwa mama zao. Tena uletewe toto kubwa la kuanzia miak 10 aki hakuna rangi utaacha ona
 
Mfanyakazi mwenzangu aliletewa mtoto wa kambo. Mtoto kaja na tabia zake.

Mtoto ni noma, akimuona baba yake tu analilia chakula kilichopo jikoni hata hakijaiva.
Baba wa mtoto anamuuliza mke wake "mbona hao watoto wako hawalii njaa huyu ambaye sio wako ndio analia?" Dada wa watu inabidi amchotee mtoto chakula hata kikiwa kibichi.

Akitaka kununulia watoto wake kitu kama hana hela ya kutosha kumnunulia na huyo wa kambo anaona bora aache, hata kama ni mswaki.

Kuwalazimisha walale mchana sasa, alazimishe wa kwake tu huyo mwingine akilazimishwa anaonekana anateswa. Kwahiyo watoto wa huyo dada wakitoka shule wanapumzika, wa kambo anaenda kupuyanga mtaani.

Kuna ile hali ya kumcontrol mtoto asile sana , au asile vyakula vya aina fulani sana. Haloo utacontrol wa kwako tu usithubutu kumcontrol wa kambo umekwisha[emoji23][emoji23][emoji23]. Sasa huyu dada watoto wake anawawekea chakula cha kawaida, halafu huyo wa kambo sasa anajaziwa chakula kama cha kula watu wa 5. Ukimuuliza kwanini anasema "ukimpa kidogo baba yake anaona unamtesa".

Huu upuuzi mimi kamwe siwezi kufanya, ukiniletea mtoto, nitamlea kwa namna ninayoona mimi inafaa na usiingilie. Tofauti na hapo mwache alelewe na mama yake.
 
Mimi nimchukue mtoto wa nini kwani wangu kinichonichosha na huyo mwanaume ku force mwanamke ampende mwanawe kinguvu eti kisa tuna upendo naye nipende na kisicho ni husu.

Nimekutana na wewe ku enjoy life mambo ya zinaa zako zinanihusu nini Mimi, nikitaka mtoto nazaa wangu, ulezi ni kazi ngumu,mie badala niwaze kutafta hela na career yangu na mapenzi niwaze ulezi wa mtoto asiyeni husu huo si ujinga.

Baba njoo tule raha na mie starehe zako za kuzaa hazinihusu kuja Kuni force force.
[emoji23][emoji23][emoji966]Kila mtu ashinde match yake wallah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umewapiga na kitu kizito.
 
Napenda sana watoto lkn kuna watoto wameshapandkizwa ushetani kias kwamba wanakuja kuwa mwiba wa moto kweny maisha ya ndoa, mtt wa wenyewe unashndwa hata kumkaripia maana unaonekana unamkaripia kwa kuwa s wako.

N kweli kuna watu wanaotesa watoto wa wenzao, lkn kuna asilimia fulan ya mama wa kambo wanateswa na hao watt mpk ndoa znakua chungu.

Skatai una mtoto/watoto waachwe kwa mama zao watunzwe na kuwafunza maadili wakiwa kwa mama zao wazazi, na s vngnevyo.
 
Huu upuuzi mimi kamwe siwezi kufanya, ukiniletea mtoto, nitamlea kwa namna ninayoona mimi inafaa na usiingilie. Tofauti na hapo mwache alelewe na mama yake.
N hakika na kweli, n her akakae kwa mamaake kuliko anifanye mtumwa na kukosa amani ya maisha.
 
Ndugu, mtoto wa kambo hata ukimgombeza unaonekana ni kwa sababu sio wa kwako, wakati hata mtoto wako ungeweza kumgombeza hivo hivo na ikaonekana sawa.

Kulea mtoto wa kambo ni kipaji, sio kila mtu anaweza huo uvumilivu.
Hakika
 
Hata mimi niwe tu mkweli,akija single baba hicho kibarua cha kumlelea mtoto wake aisee Bwana Mungu aingilie kati.
Kinachoshangaza single father wanawaponda single maza humu halafu wanategemea waje kuoa wasio na watoto ...halafu wanataka hao wasio na watoto wawapende watoto wao.

Single father wapambane tu na waliozaa nao, kuliko kuja kuwatwisha mizigo mabinti wa watu kwa makosa yao wenyewe ya kuzaa hovyo.

Eeh hata Sarai alimfukuza Hajir kijakazi,
Kulea bila ubaguzi nadhani wanaweza malaika tu.
Ulezi ni kazi ngumu na full time job na bado lawama siunaona huyu wa mleta mada anamlaumu mwanamke wake eti hampendi mtoto wake kisa mtoto kugeuza maneno ana tritiwa vibaya, Matokeo bwana naye anavimba, Mimi nimeshuhudia haya tena mtoto hata ukimuonya anasema unamtesa au hata humpi chakula kumbe ni uongo mtupu.
Na hao single father huzalisha hovyo wakija humu hutukana single mother na kusema hawawaoi mpaka waone kaburi la mume mwenza na sisi ambao hatujazaa msituletee watoto wenu tuwalee kilazima oeni single mother Ili iwe ngoma droo kwenye ndoa sio kuja kutuzeesha kuwalelea wanenu kwa starehe zenu bana
 
Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.

Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.

Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Dogo hujakua
 
Mfanyakazi mwenzangu aliletewa mtoto wa kambo. Mtoto kaja na tabia zake.

Mtoto ni noma, akimuona baba yake tu analilia chakula kilichopo jikoni hata hakijaiva.
Baba wa mtoto anamuuliza mke wake "mbona hao watoto wako hawalii njaa huyu ambaye sio wako ndio analia?" Dada wa watu inabidi amchotee mtoto chakula hata kikiwa kibichi.

Akitaka kununulia watoto wake kitu kama hana hela ya kutosha kumnunulia na huyo wa kambo anaona bora aache, hata kama ni mswaki.

Kuwalazimisha walale mchana sasa, alazimishe wa kwake tu huyo mwingine akilazimishwa anaonekana anateswa. Kwahiyo watoto wa huyo dada wakitoka shule wanapumzika, wa kambo anaenda kupuyanga mtaani.

Kuna ile hali ya kumcontrol mtoto asile sana , au asile vyakula vya aina fulani sana. Haloo utacontrol wa kwako tu usithubutu kumcontrol wa kambo umekwisha[emoji23][emoji23][emoji23]. Sasa huyu dada watoto wake anawawekea chakula cha kawaida, halafu huyo wa kambo sasa anajaziwa chakula kama cha kula watu wa 5. Ukimuuliza kwanini anasema "ukimpa kidogo baba yake anaona unamtesa".

Huu upuuzi mimi kamwe siwezi kufanya, ukiniletea mtoto, nitamlea kwa namna ninayoona mimi inafaa na usiingilie. Tofauti na hapo mwache alelewe na mama yake.
Aya ya mwisho umeimaliza vizuri kabisa na mada ifungwe hapa.


Hata mimi mtu akiniletea mtoto nitamlea kwa namna ninayoona mimi na sitaki kupangiwa.
 
Itakua haujapenda...mbona ukikamatika unalea mtoto..una mtawaza, unaenda nae shopping..etc..
Mimi nakupenda wewe mambo ya watoto wako hayanihusu kabisa, kisa Cha kuzeeka na viumbe visivo ni husu ni nini, nyumbu tu wenyewe bungeni hung'ata watoto wasio wahusu Mimi ni nani nibebe msalaba usio nihusu jamani, kila mtu awe responsible na actions zake sio kutumia upendo ka kichaka Cha uzembe na kunichoshana bure na kutaftia wengine dhambi za lawama bure.
 
Ulezi ni kazi ngumu na full time job na bado lawama siunaona huyu wa mleta mada anamlaumu mwanamke wake eti hampendi mtoto wake kisa mtoto kugeuza maneno ana tritiwa vibaya, Matokeo bwana naye anavimba, Mimi nimeshuhudia haya tena mtoto hata ukimuonya anasema unamtesa au hata humpi chakula kumbe ni uongo mtupu.
Na hao single father huzalisha hovyo wakija humu hutukana single mother na kusema hawawaoi mpaka waone kaburi la mume mwenza na sisi ambao hatujazaa msituletee watoto wenu tuwalee kilazima oeni single mother Ili iwe ngoma droo kwenye ndoa sio kuja kutuzeesha kuwalelea wanenu kwa starehe zenu bana
Nikifikiria ninavyonyoosha watoto kwenye mstari,mtu akiniletea watoto wake si ataona nawanyanyasa[emoji1787],kumbe wala!

Kila mtu ashinde na mechi zake.
 
[emoji23][emoji23] jamani tuwe wa kweli mtoto uliyemzaa na WA mwingine upendo huwa ni tofauti bwana tuwe makini na watu tunaozaa only few people Wana huo upendo but it's hard to balance
Nanukuu:-
Ndugu Zangu Ukiwa Na Chakula Chako Kitamu Huwezi Kumpa Mtoto Wa Jirani Utampa Wako Kwanza

---------'xxx-----------------------------
Kauli Hii Aliitoa Mzilankende Mnyago Wakati Wa Uhai Wake

Ndugu Zangu Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Ndugu, mtoto wa kambo hata ukimgombeza unaonekana ni kwa sababu sio wa kwako, wakati hata mtoto wako ungeweza kumgombeza hivo hivo na ikaonekana sawa.

Kulea mtoto wa kambo ni kipaji, sio kila mtu anaweza huo uvumilivu.
Sure Mimi nimeona na wengi hawapendeki na hawana jema hata ukimuonya kwa upendo ataona una mtesa, mtoto wa kambo mzuri ni yule utakayemchukua akiwa ka changa na ukalee ila mkubwa mbona shughuli pevu atavuruga hata mahusiano yasiwe na raha.
In short mahusiano ya watu waliokwisha zaa ukiolewa naye au kuoa huwa mahusiano magumu sana
 
Mke wa hivyo unamzalisha na yeye then unamuacha ndyo atajifunza kua mtoto wa mwenzio ni wako pia
Nazaaje kijinga hapo mpaka ndoa na ukiniachia nakubwagia watoto utafte mke desperate wa ndoa akulelee watoto wako
 
Ni wewe TU na roho mbaya yako,
wangapi tumelelewa vizur Tena kwa upendo na mama wa kambo?
Ni kweli,hata mimi mama wa kambo alienilea vizuri sana,mpaka kwa utoto wangu sikuona tofauti ya mama mzazi na yeye,you can't imagine,kuna wanawake wenye roho zao mkuu...
 
Back
Top Bottom