Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Ndio tatizo la kuingia kwenye ndoa 1-0, mwenzako alishashinda mechi zake we unaanza game yeye yupo ahead kwa goli moja.
 
Ndio tatizo la kuingia kwenye ndoa 1-0, mwenzako alishashinda mechi zake we unaanza game yeye yupo ahead kwa goli moja.
Mwanzo mzuri wote muwe bila bila au wote mshafunga mabao.

Mambo ya kubebeshana mizigo, mwenzio ashatangulia hatua nyingi mbele halafu mnaanza kulaumiana hayafai.
 
Kama mzaz mwenzio hajafarik yupo mtafute mjue namna ya kumlea mtoto wenu kama bado yuko na umri mdogo unamuomba akae nae mpk akikua ndio umchukue. Ukifany hivi utamlinda mwanao pamoja na kuyalinda mahusiano yako
 
Hivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
Na hapo huyo ulimpata kabla ya ndoa! Je, ukichepuka na kumpata wa ndani ya ndoa si anaweza kumuua kabisa!! Hafai. Ana roho mbaya. Na kwa nini amchukie mtoto. Mtoto ana kosa gani? Kama ana chuki kweli basi anatakiwa akuchukie wewe.
 
Mfanyakazi mwenzangu aliletewa mtoto wa kambo. Mtoto kaja na tabia zake.

Mtoto ni noma, akimuona baba yake tu analilia chakula kilichopo jikoni hata hakijaiva.
Baba wa mtoto anamuuliza mke wake "mbona hao watoto wako hawalii njaa huyu ambaye sio wako ndio analia?" Dada wa watu inabidi amchotee mtoto chakula hata kikiwa kibichi.

Akitaka kununulia watoto wake kitu kama hana hela ya kutosha kumnunulia na huyo wa kambo anaona bora aache, hata kama ni mswaki.

Kuwalazimisha walale mchana sasa, alazimishe wa kwake tu huyo mwingine akilazimishwa anaonekana anateswa. Kwahiyo watoto wa huyo dada wakitoka shule wanapumzika, wa kambo anaenda kupuyanga mtaani.

Kuna ile hali ya kumcontrol mtoto asile sana , au asile vyakula vya aina fulani sana. Haloo utacontrol wa kwako tu usithubutu kumcontrol wa kambo umekwisha[emoji23][emoji23][emoji23]. Sasa huyu dada watoto wake anawawekea chakula cha kawaida, halafu huyo wa kambo sasa anajaziwa chakula kama cha kula watu wa 5. Ukimuuliza kwanini anasema "ukimpa kidogo baba yake anaona unamtesa".

Huu upuuzi mimi kamwe siwezi kufanya, ukiniletea mtoto, nitamlea kwa namna ninayoona mimi inafaa na usiingilie. Tofauti na hapo mwache alelewe na mama yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah huo mtihani na vile baba ana mkingia kifua na jeuri yake nisingehangaika naye vitu vingine huwa ni kutesana na kupeana lawama, Mimi ka huyo na ujeuri wake simtaki asije haribu wanangu na tabia zake na WA hvo analishwa sumu ya baba na mama.
 
Napenda sana watoto lkn kuna watoto wameshapandkizwa ushetani kias kwamba wanakuja kuwa mwiba wa moto kweny maisha ya ndoa, mtt wa wenyewe unashndwa hata kumkaripia maana unaonekana unamkaripia kwa kuwa s wako.

N kweli kuna watu wanaotesa watoto wa wenzao, lkn kuna asilimia fulan ya mama wa kambo wanateswa na hao watt mpk ndoa znakua chungu.

Skatai una mtoto/watoto waachwe kwa mama zao watunzwe na kuwafunza maadili wakiwa kwa mama zao wazazi, na s vngnevyo.
Uko sahihi mtoto wa kambo ni heri yule uliyeletewa akiwa mchanga na mama kafa, ila toto kubwa halafu mamake awe mkorofi lazima awe mwiba na sumu kwenye ndoa yako
 
Hana unafiki ni roho nyeusi imemjaa tu,sasa mtoto usiyemzaa wewe ukimlea ipasavyo unapungukiwa na nini?
[emoji23][emoji23]wewe ndio una roho ngumu nilikutuma ukatombe hovyo then uniletee mwanao nilee why starehe zako zitese wengine, Yani kulea watoto wasio kuhusu Mimi ni ophanage centre [emoji23][emoji23][emoji23] huo mda wa kulea heri nitafte hela kwa bidii nijipe furaha na vacation sehemu kubwa ka Hawaii, Maldives na kwingineko sio kujitia mama huruma never. Jifunzeni kuwe responsible na matendo yenu tena nyie ndio mnaozaa majambazi na chokoraa maana mnashindwa kulea watoto kazi yenu ni kufunua tu chupi
 
Nikifikiria ninavyonyoosha watoto kwenye mstari,mtu akiniletea watoto wake si ataona nawanyanyasa[emoji1787],kumbe wala!

Kila mtu ashinde na mechi zake.
Uko sahihi kabla ya kuleta watoto jamani tufikirie na hatima zao na malezi hasa kwa dunia ya Sasa watu wengi upendo hamna na majukumu ya kutafta hela ikiwa kipaumbele.
 
Nanukuu:-
Ndugu Zangu Ukiwa Na Chakula Chako Kitamu Huwezi Kumpa Mtoto Wa Jirani Utampa Wako Kwanza

---------'xxx-----------------------------
Kauli Hii Aliitoa Mzilankende Mnyago Wakati Wa Uhai Wake

Ndugu Zangu Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Hivi Mimi mfano nafanya kazi I want to spoil my kid's na vitu vizuri then nisiwanunulie eti kisa mtoto mwingine atanuna huku mama yake alimkimbia na hajawahi mnunulia mwanawe hata chupi yet mimi mke halali nilaumiwe kuwa ni mchoyo na mbinafsi Kwa vitu visivo ni husu kweli?

By the way charity begins at home siwezi kuacha kuwajali niliowaweka tumboni nihangaike na mwingine never
 
Ndio tatizo la kuingia kwenye ndoa 1-0, mwenzako alishashinda mechi zake we unaanza game yeye yupo ahead kwa goli moja.
[emoji23][emoji23][emoji23] hafu unategemea kuwa na fair match kweli?
 
Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.

Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.

Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Nyie ndio wale wachawi mnaoua watoto wa wenzenu kwa sumu na vipigo.
 
Roho mbaya gani zaidi ya nyie mnaozaa hovyo nakutesa watoto bila plan Kwa ku force wanenu wapendwe kinguvu!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wakomalie hivyo hivyo
 
Mwanzo mzuri wote muwe bila bila au wote mshafunga mabao.

Mambo ya kubebeshana mizigo, mwenzio ashatangulia hatua nyingi mbele halafu mnaanza kulaumiana hayafai.
[emoji23][emoji23][emoji23] hafu hawataki kuoa single mother Ili ndoa iwe droo wao wanataka ambao hawajazaa waanze kusema hupendi watoto wake
 
Back
Top Bottom