Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Ukweli mchungu ni kwamba, hakuna mwanamke anaempenda mtoto asiye na nasaba naye. Tena hasa hasa mtoto ambaye mama yake mzazi bado yupo hai. At least ambaye mama yake alishafariki anaweza kuwa na upendo nae.
Sikweli kaka kuna wapo wanawake wanaonyesha upendo mkubwa tu kwa watoto wa waume zao. Tatizo huwa lipo kwa watoto wenyew kuwa waongo kupindukia na kuleta uchonganishi sasa ukute mama yake karuhusiwa kuja kumuona bac akifika atamjaza maneno ya uongo huyo mama yake nakupelekea kuzuka ugomvi mkubwa kati ya wanandoa.
Unadhan kwa kitendo hicho huyo mama wakambo ataendlea kuonyesha upendo wwt zaid yakukuangalia
 
Wanaume wa hivi wanakera kwel sasa ukute umechelewa kupata mtoto halafu mwanae akifanya makosa umkaripie [emoji1] [emoji1] [emoji1] utamuona mwanaume anavyowaka usimuumizie mwanae uzae wako halafu akuone utakavyomlea.
Sasa furaha yote inapotea kila siku mawazo
In short kuoana na mtu aliye kwisha kuzaa asilimia tisini ni kero na karaha tupu kwanza Wana machungu Yao na stress zao zisizoisha hau enjoy plus na huyo mtoto na drama za mamake ni kero tupu
 
50/50 wanaume hampendi Wanawake wenye watoto sasa kwann ulalamike ungeoa mama watoto au ungeoa mwanamke mwenye mtoto msaidiane kulea
Hawataki kuoa single parents ila wanataka asiye na mtoto ndio aoe
 
Nani aue huyo mtoto atajiju Mimi sihangaiki naye anihusu, watu responsible ni watu wawili walipkutana kingono I'm not responsible na siwezi pata dhambi as long as Niko na wangu staki shida mie, niache kumpenda wangu nihangaike na yasiyo ni husu kweli.
Kila mtu avune alichopanda na sio kulaumu wengine wakusaidie kulea
Mfano we uliwai kupata mtoto bahati mbaya hukuolewa je ukipata mwanaume akakuoa je akikwambia maneno kama una yo ya andika hapa uta jisikiaje?
 
Tendo la uumbaji unaliita la mapepo?

Uumbaji ni baraka, na kila kiumbe kinachokuja duniani kinakuja kwa makusudi maalumu hata kama kimezaliwa na malaya.

If anything, mwenye makosa ni mzazi na sio mtoto!

Kwanini umbebesha mtoto msalaba wa mateso kwa hatia ya babaye?

Wewe lazima utakuwa MCHAWI, umeanza kufichua matunguli yako taratibu.
Kwanini uni force kulea mtoto ambaye sijamubeba tumboni kwangu na kufanya iwe lazima as if Mimi niliwatuma mfanye hicho kitendo?
Be responsible for your actions na sio kusingizia uumbaji wa Mungu blah blah mara hana kosa sijui nini kwanini usiongee na uliyezaa naye myajenge na kulea mwanenu vizuri kuliko kunitwisha mzigo usio ni husu tena una force na roho mbaya
Nyie mnaozaa watoto bila plan ndio mna roho mbaya na ubinafsi na huwa mnatesa watoto kwA ubinafsi wenu acheni kusingizia wanawake ambao hawakumubeba huyo mtoto.
Yani nyie mzae kwa Raha zenu, mshindwane then uje kwangu uni force nimulee mtoto wako kinguvu na kumpenda nikiwa busy tayari ni na roho mbaya si ndio?
Jamani tuache kukwepa lawama na kushushia wengine uzembe wetu tuwe responsible kwa Matokeo ya choice na starehe zetu za maisha I'm sure kungekuwa na court ya kumshtaki wanaozaa hovyo na kuleta watoto na kupelekwa watoto nyie wazazi mnaozaa hivo mngetakiwe mnyongwe kabisa
 
50/50 wanaume hampendi Wanawake wenye watoto sasa kwann ulalamike ungeoa mama watoto au ungeoa mwanamke mwenye mtoto msaidiane kulea
Sasa mkuu angeoa mwanamke mwenye mtoto tatzo si linge baki palepale tu?
 
Mi ndo maana nimeamua kuishi na wanangu tu bas,, mtoto wa kulelewa na mtu mwingine huwa hawi na aman sikuzote kuna manyanyaso huwa anapata hata kwa kuangaliwa vibaya tu
 
Uyu mwanamke anaroho ya kikatili Sana[emoji3525]
Kuliko nyie mnaozaa hovyo nakuja kutesa watoto naiomba serikali ije na sheria Kali kukomesha hizi tabia za kimalaya za kuzaa hovyo huku hamjui mtoto atalelewa na nani kisa tabia zenu mbaya
 
Kila mwanamke na roho yake,
Sio wore wanaroho za kikatili Kama mkuu cariha
Mimi nitatetea haki za watoto na kusimamia ukweli ulivo mubashara wote mnaozaa hovyo mfunguliwe mashtaka nyie mnazaa watoto hamjui wakulea ndio hao wanakuwa vibaka, majambazi wanakuwa Kwa shida mitaani huku nyie hamu ji control mnasingizia roho mbaya, kiukweli serikali ije na sheria Kali kulinda watoto wasio na hatia na haki zao
 
kwan ni lazima akikupenda ww ampende na mwanao?, kama ungehitaji mtoto wak apendwe si ungeishi na mamaake? Mapenz hayalazimishi
Hicho kitendo hakivumiliki ,Endelea kuomba iwe story ya vitabuni kwako ya sikukute
 
It's a matter of principles my friend.Kwenye maisha kupanga ni kuchagua,na wewe umechagua option hiyo hvyo ni lazima uheshimiwe based on your principles.
Sisi wanaume ni wabinafsi sana,na ukitaka ku-prove hili embu jaribu kuigeuza mada mwanaume ndo awe victiim kama hutasikia milio ya kila aina hata ambayo hukuwahi kusikia,lakini linapokuja swala la mwanamke kuwa victim tunaona sawa tu.
As a matter of principle nilishasema sioi mwanamke aliyekuwa na mtoto wa mtu,and i did it based on my principles.
Wanawake nao wana the same rights ya ku-execute principles zao.Kila jambo reckless kwenye maisha lina consequenqes zake,na moja ya hzo consequences ni mtoto aliyezaliwa nje kuteseka kwa namna moja au nyingine.Hakuna cha IF or BUT hapa
Kweli kila mtu na principles zake na sikuhizi haya mateso yamezidi kwa watoto wanaozaliwa bila hatia kuteseka, zamani enzi hizo ilikuwaga kuzaa mpaka mtu na ndoa yake na watoto walikuwa wakiona wazazi pamoja na jamii ilikuwa na maadili na hata watoto hawakuteseka, unfortunately nowdays watu kuzaa bila kujali mtoto atalelewa vipi, wao ni kufyatua Kuna kina dada wanazaa watoto na wababa tofauti tofauti, sikuhizi kijana Hadi aje kuoa kashazaa watoto watano na wanawake tofauti yet akifika mda wa kuoa, anataka mwanamke asiye na mtoto, then anakusanya hao watoto watano ana mletea huyo mkewe amusaidie kulea tena kwa lazima na awapende ka mama zao, hivi kwa akili ya kawaida hapo ka sikutesa mtoto nini?
Na watoto wenyewe wametoka kwa wazazi wenye background tofauti yet unataka mtoto wako akue vizuri na wakati Hilo tayari ni doa kubwa.
Honestly speaking binadamu tu wabinafsi tunapenda vya damu zetu na kutoka viunoni mwetu, tuache huu ubinafsi wakuzaa na kuamini welfare ya mtoto ni kulipa ada za shule na kusahau mental health watoto na bonding tunalea taifa lisilo na utu
 
Kuna wanaume wanapenda mserereko sana,na hii tabia ipo now days sana.Zamani wazee wetu walikuwa na watoto lakini mke wala watoto hakuna anayeweza kujua sababu wazee walikuwa wanachukua majukumu ya kulea huko huko pasipo kuathiri maisha ya wengine kwenye familia.Ilikuwa mtoto wa nje mpaka ajulikane ni either mzee kafariki ghafla au watoto wa nje wamekuwa wakubwa na wameshaanza kujitegemea hvyo hawawezi athiri stability ya familia husika
Ndio ilivokuwaga hyo zamani
 
Ndio binadamu tulivyo kwa mwenzie akifanya jambo hushutumu ila yeye ndio angekuwa muhusika angeona anaonewa tena angepiga kelele saana
Kuna mambo magumu kweli tena Dunia hii ya kibepari unazaa eti usaidiwe maisha ya kusaidiwa kulea mtoto na unataka kilazima, kiukweli tubadilike unazaa mtoto ukitegemea mtu mwingine akulelee mtoto
 
In short kuoana na mtu aliye kwisha kuzaa asilimia tisini ni kero na karaha tupu kwanza Wana machungu Yao na stress zao zisizoisha hau enjoy plus na huyo mtoto na drama za mamake ni kero tupu
Nabora awe nahata uwezo mzur kiuchumi unakuta bado maisha yake duni analazimisha kuishi na wanae sasa badala kuanza kuenjoy mapenz yenu mnaanza kuishi kwa mashart
Utaskia sina hela mwanangu mwenyew bado cjampelek shule, hamuish vzr wala kupeana nafac ya kuzoeana unaanza kuona ndoa chungu
 
Peleka mtoto kwa mama yake, huwa hawapendeki hao
 
Mi ndo maana nimeamua kuishi na wanangu tu bas,, mtoto wa kulelewa na mtu mwingine huwa hawi na aman sikuzote kuna manyanyaso huwa anapata hata kwa kuangaliwa vibaya tu
Bora ulee mwenyew naukute uliye nae amewakubali watoto. Sasa uwe namwanaume asiyekubal kuish nawanao utafanyaje?
Itakulazimu kuwarudisha kwa baba yao nawatalelew na mwanamke mwngn
 
Kama ulitaka mtoto wako aishi maisha ya kupendwa msingeachana na mama yake, ukute mtoto wako mwenyewe hana hata adabu hata ningekuwa Mimi sina muda huo siwezi umiza kichwa ukute mitabia yenu na mama yake imempa jeuri, naye anamfanyia mlezi wake, lazima asuswe.
 
Mfano we uliwai kupata mtoto bahati mbaya hukuolewa je ukipata mwanaume akakuoa je akikwambia maneno kama una yo ya andika hapa uta jisikiaje?
Nitajiskia kawaida kabisa moyoni, mtoto wangu why maneno ya wengine yaniumize I'm responsible with my actions na nina accept choices zangu maishani with my full chest, and I can do anything to Ensure mental health ya mwanangu haipati mushkeli wote na ikiwa lazima sitaki ku affect afya ya mwanangu na mahusiano yangu kabisa kabisa, and I can't blame anyone
 
Back
Top Bottom