Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Watu hawataki ukweli kulea mtoto asio wako ni kazi mno,na hawapendeki hata ukiwa mwema lazima ulaumiwe na hasa mtoto ukute huenda kwa mamake na kulishwa sumu kuwa huyo ni mubaya utalea vipi. Mama wa kambo hupata shida bado na lawama na wakikua wanakutenga.
Kulea mwana asiye wako ni shughuli hata mapenzi hayanogi bana
Mtoto mdogo unawezaje kusema hapendeki?

We una liroho chafu tu kama la jini subiani! Usisingizie eti mtoto hapendeki.

Katoto kadogo unawezaje kusema hakapendeki?

Are you chizi?
 
Nimekua sana with good life experience za kutosha
It's a matter of principles my friend.Kwenye maisha kupanga ni kuchagua,na wewe umechagua option hiyo hvyo ni lazima uheshimiwe based on your principles.
Sisi wanaume ni wabinafsi sana,na ukitaka ku-prove hili embu jaribu kuigeuza mada mwanaume ndo awe victiim kama hutasikia milio ya kila aina hata ambayo hukuwahi kusikia,lakini linapokuja swala la mwanamke kuwa victim tunaona sawa tu.
As a matter of principle nilishasema sioi mwanamke aliyekuwa na mtoto wa mtu,and i did it based on my principles.
Wanawake nao wana the same rights ya ku-execute principles zao.Kila jambo reckless kwenye maisha lina consequenqes zake,na moja ya hzo consequences ni mtoto aliyezaliwa nje kuteseka kwa namna moja au nyingine.Hakuna cha IF or BUT hapa
 
Nyie ndio wale wachawi mnaoua watoto wa wenzenu kwa sumu na vipigo.
Nani aue huyo mtoto atajiju Mimi sihangaiki naye anihusu, watu responsible ni watu wawili walipkutana kingono I'm not responsible na siwezi pata dhambi as long as Niko na wangu staki shida mie, niache kumpenda wangu nihangaike na yasiyo ni husu kweli.
Kila mtu avune alichopanda na sio kulaumu wengine wakusaidie kulea
 
Ni kweli,hata mimi mama wa kambo alienilea vizuri sana,mpaka kwa utoto wangu sikuona tofauti ya mama mzazi na yeye,you can't imagine,kuna wanawake wenye roho zao mkuu...
Kila mwanamke na roho yake,
Sio wore wanaroho za kikatili Kama mkuu cariha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wakomalie hivyo hivyo
Mimi heri nikachukue yatima na sio mtoto unaletewa na mwanaume asiyefunga zipu, mie wanangu na ada kiasi flani Cha kupeleka shule nzuri ni shindwe kisa watoto wasio ni husu hafu niwapeleke private huku mwingine kayumba then nilaumiwe eti na roho mbaya jamani jamani kah
 
Mtoto mdogo unawezaje kusema hapendeki?

We una liroho chafu tu kama la jini subiani! Usisingizie eti mtoto hapendeki.

Katoto kadogo unawezaje kusema hakapendeki?

Are you chizi?
Wewe uliyezaa hovyo ndio una mapepo maana kwanza umezini bila ndoa na hayo mapepo machafu Sasa ndio yameanza kukutesa wewe na mwanao mnataka kuleta dhambi yenu kwa mwanamke mwingine.
Maandiko yanakataa zinaa na kuzaa hovyo nyie hamusukii mnatesa watoto. Wazazi wetu waliotuzaa ndoani Hadi tumekuwa wakubwa nyie umalaya wenu mnatesa watoto kwA kukosa malezi ya wazazi wawili then mnalaumu wengine, jirekebisheni acheni uzinzi sijui zinaa mkijifanya wakisasa na kutaka huruma kulelewa watoto mtu akiwa busy eti ni roho mbaya
 
Nani aue huyo mtoto atajiju Mimi sihangaiki naye anihusu, watu responsible ni watu wawili walipkutana kingono I'm not responsible na siwezi pata dhambi as long as Niko na wangu staki shida mie, niache kumpenda wangu nihangaike na yasiyo ni husu kweli.
Kila mtu avune alichopanda na sio kulaumu wengine wakusaidie kulea
Muone na roho yako chafu kama JINI.

Chuki gani hiyo kwa katoto kadogo kasicho na hatia!?

Wewe ni JINI SUBIANI, maana sio kwa roho yenye kutu vile.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wakomalie hivyo hivyo
Kuna wanaume wanapenda mserereko sana,na hii tabia ipo now days sana.Zamani wazee wetu walikuwa na watoto lakini mke wala watoto hakuna anayeweza kujua sababu wazee walikuwa wanachukua majukumu ya kulea huko huko pasipo kuathiri maisha ya wengine kwenye familia.Ilikuwa mtoto wa nje mpaka ajulikane ni either mzee kafariki ghafla au watoto wa nje wamekuwa wakubwa na wameshaanza kujitegemea hvyo hawawezi athiri stability ya familia husika
 
Wewe uliyezaa hovyo ndio una mapepo maana kwanza umezini bila ndoa na hayo mapepo machafu Sasa ndio yameanza kukutesa wewe na mwanao
Tendo la uumbaji unaliita la mapepo?

Uumbaji ni baraka, na kila kiumbe kinachokuja duniani kinakuja kwa makusudi maalumu hata kama kimezaliwa na malaya.

If anything, mwenye makosa ni mzazi na sio mtoto!

Kwanini umbebesha mtoto msalaba wa mateso kwa hatia ya babaye?

Wewe lazima utakuwa MCHAWI, umeanza kufichua matunguli yako taratibu.
 
Ukweli mchungu ni kwamba, hakuna mwanamke anaempenda mtoto asiye na nasaba naye. Tena hasa hasa mtoto ambaye mama yake mzazi bado yupo hai. At least ambaye mama yake alishafariki anaweza kuwa na upendo nae.
 
50/50 wanaume hampendi Wanawake wenye watoto sasa kwann ulalamike ungeoa mama watoto au ungeoa mwanamke mwenye mtoto msaidiane kulea
 
Sasa unachokosea ni kumlazimisha mtu kuwa na hisia kama zako. Usitumie kipimo cha yeye kutokumkubali mtoto wako kama kipimo sahihi cha mapenzi kwako.

Huyo mwanamke hakuja hapo kumsaidia mwanamke mwenzake kulea mtoto amekuja kujenga familia mpya na wewe. Yaani mpate watoto wenu. Hiyo kulea mtoto wa mke mwingine ni ziada au bonus tu.

Sasa fanya hivi hebu kwanza acha kumlazimisha yeye kumkubali mtoto wako. Mchukue huyo mtoto mpeleke kwa mama yako mzazi au ndugu yako wa damu au mpeleke kwa upande wa mama yake mzazi akatulie kwa muda huko ukiendelea kumlea.

Tenga muda kila baada ya muda fulani mfano kila baada ya wiki mbili au kila weekend mtoto awe anakuja na akifika wewe ndie uwe busy nae kumhudumia. Ila usiache kutoa attention kwa mkeo unapokuwa na mtoto.

Watoe out pamoja mtoto na mkeo kisha jenga mazingira ya mkeo na mtoto wasomane tabia na kubond taratibu. Hii acha ichukue muda hata kama ni miaka. Mtoto na mkeo watazoeana taratibu hadi ipo siku utasikia mkeo anamuulizia mbona fulani haujamleta wiki hii.

Usipende kumpa mwenzako "emotional pressure" sababu ya namna wewe unataka iwe.Unapomleta mtoto wako wa nje kwa mkeo ni kama kumtangazia vita sababu anajua huyo mtoto ana mama yake ambae ni mzazi mwenzio so mtoto anaweza waleta karibu, lakini kuna maswala ya mali katika ndoa huwa mwanamke anakuwa na hofu kuwa mali anayochuma na wewe mwanamke wa nje yaani mama mtoto anaweza jimilikisha kupitia huyo mtoto kama akikubali awe sehemu ya familia. So kuna mambo mengi ambayo yanakuwa yanampelekesha anashindwa kuwa sawa kifikra ndo maana unaona anaamua kumind mtoto.

So don't take personal na ukahisi kwa haraka haraka kuwa mkeo ni mtu mbaya kwako.
Comment of the year mkuu, I'm impressed!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hafu hawataki kuoa single mother Ili ndoa iwe droo wao wanataka ambao hawajazaa waanze kusema hupendi watoto wake
Wanaume wa hivi wanakera kwel sasa ukute umechelewa kupata mtoto halafu mwanae akifanya makosa umkaripie [emoji1] [emoji1] [emoji1] utamuona mwanaume anavyowaka usimuumizie mwanae uzae wako halafu akuone utakavyomlea.
Sasa furaha yote inapotea kila siku mawazo
 
It's a matter of principles my friend.Kwenye maisha kupanga ni kuchagua,na wewe umechagua option hiyo hvyo ni lazima uheshimiwe based on your principles.
Sisi wanaume ni wabinafsi sana,na ukitaka ku-prove hili embu jaribu kuigeuza mada mwanaume ndo awe victiim kama hutasikia milio ya kila aina hata ambayo hukuwahi kusikia,lakini linapokuja swala la mwanamke kuwa victim tunaona sawa tu.
As a matter of principle nilishasema sioi mwanamke aliyekuwa na mtoto wa mtu,and i did it based on my principles.
Wanawake nao wana the same rights ya ku-execute principles zao.Kila jambo reckless kwenye maisha lina consequenqes zake,na moja ya hzo consequences ni mtoto aliyezaliwa nje kuteseka kwa namna moja au nyingine.Hakuna cha IF or BUT hapa
Umeongea vizur sana kaka. Maana wanaume wao wanajiona malaika hivyo chochote wanachokifanya ni sahihi na anaona anahaki yakuleta watoto wa nje ya ndoa kwa mkewe halafu mke asifanye chochote.
Huo ni uonevu kama mlivyo kuwa hamuwez kuish na single mother hata sisi pia hatuwez kuish na single father
 
Mimi heri nikachukue yatima na sio mtoto unaletewa na mwanaume asiyefunga zipu, mie wanangu na ada kiasi flani Cha kupeleka shule nzuri ni shindwe kisa watoto wasio ni husu hafu niwapeleke private huku mwingine kayumba then nilaumiwe eti na roho mbaya jamani jamani kah
Ndio binadamu tulivyo kwa mwenzie akifanya jambo hushutumu ila yeye ndio angekuwa muhusika angeona anaonewa tena angepiga kelele saana
 
[emoji23][emoji23]wewe ndio una roho ngumu nilikutuma ukatombe hovyo then uniletee mwanao nilee why starehe zako zitese wengine, Yani kulea watoto wasio kuhusu Mimi ni ophanage centre [emoji23][emoji23][emoji23] huo mda wa kulea heri nitafte hela kwa bidii nijipe furaha na vacation sehemu kubwa ka Hawaii, Maldives na kwingineko sio kujitia mama huruma never. Jifunzeni kuwe responsible na matendo yenu tena nyie ndio mnaozaa majambazi na chokoraa maana mnashindwa kulea watoto kazi yenu ni kufunua tu chupi
He!
 
Mtoto mdogo unawezaje kusema hapendeki?

We una liroho chafu tu kama la jini subiani! Usisingizie eti mtoto hapendeki.

Katoto kadogo unawezaje kusema hakapendeki?

Are you chizi?
Ndio maana nabaki kumshangaa tu,halafu sio kwa namna anavyoshadadia

Hajui kuwa kuna watoto wengine mama zao wamekwishafariki,sasa hapo hata kama ana roho nyeusi hata ya shetani atakuwa na afadhali,manake si kwa chuki hizo
 
Back
Top Bottom