cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Sio kujitambua ni heri kuanza kulea mtoto mchanga inakuwa ni rahisi kuliko huyo mkubwa ambaye ameathirika kisaikolojia haleleki tena maugomvi ya wazazi yamemharibu akili na watoto wa sikuhizi jinsi walivo sio rahisi kiukweli na sikuhizi watu kuzaa zaa hovyo ni fashion, mkaka kazaa na wanawake wa nne tofauti anakuja kuoa mtu hana mtoto amsaidie kulea watoto wa baba asiye na self control same applies na kwa single mom hyo ni kutesa watoto na kuja kulaumu wengine kuwa hapendi watoto wako.Nikweli na inatakiwa mzaz wakiume umlete mwanao akiwa ana jitambua kuanzia Elimu ya secondary
Turudi kwenye maadili zamani ilikuwaga marufuku kuzaa bila ndoa na watoto walilelewa na wazazi hakukuwa na shida, ila sikuhizi umalaya na kuzaa hovyo ni sifa why uhurumiwe kwa kuleta mtoto bila kujipanga!?
Tuache kutesa watoto kwA umalaya wetu