Naweza elezea through experience, Mwanaume hana KEY ya ufumbuzi wa kila tatizo hasa kwenye malezi au mahusiano manake ni complex issues.Nimeshuhudia wanaume STRONG,WISE,COMPETENT wakishindwa kirahisi kwenye hayo mambo.Kwa vyovyote hayo ni mambo ambayo uliyalea mwenyewe tangu mwanzo na sasa ni tabia ambayo imeshaota mapembe, mwanaume ndiye msimamizi wa mke na mtoto na iwapo ukionyesha kuelemea upande mmoja au kutokukemea tabia mbovu mapema ndio hufikia huko.
Hapo bado yatatokea mazito zaidi...
Makasiriko ya nini how can you force someone to love ur kids nyie nyie wanaume huwa hamtaki watoto wake wengine mnataka waende kwa Bibi au baba zao, tujifunze responsible kwa action zetu wewe uzae then muachane kwa tabia zenu halafu mu force mtoto kupendwaSababu zinazoweza palakea usingle father ni nyingi zaid ya unavyofikria. Na mtu anaposema anaitaji upendo kwa mtoto wake haina maana huyo muolewaji ampende mtoto wake wa kambo sawa sawa na anavyo mpenda mme wake la hasha bali anaitaji kuona mtoto akilelewa kama mtoto, wam-treat kama mtoto tena mtoto wake wa kuzaa na sio kuonyeshea chuki ambayo itamjenga mtoto vibaya, kama ni kuadhibiwa bas aadhibiwe kama mtoto nasio kifanyiwa violence, nk.sio hvyo unavyo sema usifananishe familia na maisha ya uboyfriend na girlfriend, familia inajengwa na more love than romancy (sina maana romantic moments zife)
Wewe ni binadam usifananishe na kuku ndio maana uwez kubar baba au ndugu yako akupande kisa kuku wanafanya hvyo
HAKUPENDIHivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
Kwa kweliWatu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.
Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.
Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Nikweli na inatakiwa mzaz wakiume umlete mwanao akiwa ana jitambua kuanzia Elimu ya secondaryWatu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.
Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.
Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Roho mbaya gani zaidi ya nyie mnaozaa hovyo nakutesa watoto bila plan Kwa ku force wanenu wapendwe kinguvu!?Una watoto wangapi hadi sasa? Maana roho yako inaonekana ni mbaya sana.
[emoji23][emoji23] jamani tuwe wa kweli mtoto uliyemzaa na WA mwingine upendo huwa ni tofauti bwana tuwe makini na watu tunaozaa only few people Wana huo upendo but it's hard to balanceNakazia
Kuku Tu Mwenyewe Anafukuza Vifaranga Visivyo Vyake
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Mbinguni Una Nafasi Yako Tena Utakaa Kwenye Kivuli
Ukiwa~Zoom Kama Jiwe
Sisi mbona wakwenu huwa tunawalea kiroho Safi TU?Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.
Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.
Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Madini matupu umeongea[emoji106][emoji3578]Sababu zinazoweza palakea usingle father ni nyingi zaid ya unavyofikria. Na mtu anaposema anaitaji upendo kwa mtoto wake haina maana huyo muolewaji ampende mtoto wake wa kambo sawa sawa na anavyo mpenda mme wake la hasha bali anaitaji kuona mtoto akilelewa kama mtoto, wam-treat kama mtoto tena mtoto wake wa kuzaa na sio kuonyeshea chuki ambayo itamjenga mtoto vibaya, kama ni kuadhibiwa bas aadhibiwe kama mtoto nasio kifanyiwa violence, nk.sio hvyo unavyo sema usifananishe familia na maisha ya uboyfriend na girlfriend, familia inajengwa na more love than romancy (sina maana romantic moments zife)
Wewe ni binadam usifananishe na kuku ndio maana uwez kubar baba au ndugu yako akupande kisa kuku wanafanya hvyo
Nina uhakika kabla hujamuoa alikuahidi kumpenda mwanao kama mtoto wake[emoji38][emoji38],hao ndio wanawake bhana,ukishamvalisha kale kapete ka dhahabu mbele za umati wa watu ndio utazijua rangi zake zote...Hivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
Kweli kabisa.Subiri umalize ujenzi na biashara ikolee upigwe sumu.
Be careful
Ni wewe TU na roho mbaya yako,[emoji23][emoji23] jamani tuwe wa kweli mtoto uliyemzaa na WA mwingine upendo huwa ni tofauti bwana tuwe makini na watu tunaozaa only few people Wana huo upendo but it's hard to balance
Watu hawataki ukweli kulea mtoto asio wako ni kazi mno,na hawapendeki hata ukiwa mwema lazima ulaumiwe na hasa mtoto ukute huenda kwa mamake na kulishwa sumu kuwa huyo ni mubaya utalea vipi. Mama wa kambo hupata shida bado na lawama na wakikua wanakutenga.Kwa kweli
Wao kila siku wanawaponda single mama humu halafu wao wanataka tuwalelee watoto wao.Watu hawataki ukweli kulea mtoto asio wako ni kazi mno,na hawapendeki hata ukiwa mwema lazima ulaumiwe na hasa mtoto ukute huenda kwa mamake na kulishwa sumu kuwa huyo ni mubaya utalea vipi. Mama wa kambo hupata shida bado na lawama na wakikua wanakutenga.
Kulea mwana asiye wako ni shughuli hata mapenzi hayanogi bana