Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya nini kulazimisha nafsiHisia ndio zinasalimia?
Utakuwa n wewe bhna🤣🤣🤣 Hapana mkuu, ukitumia shombo za humu kumtafuta yombo utapata wakina yombo Roli zima.
Hiyo avatar mkuu automatic najikuta nasoma in Yombo's voice😀😀😀😀🤣🤣🤣 Hapana mkuu, ukitumia shombo za humu kumtafuta yombo utapata wakina yombo Roli zima.
Hili limezaa tabia mpya unazoona.Huaga natumia siku 5 za wiki kwenda mahala pakazi yangu na siku 2 za mwisho wa wiki kushinda nyumbani na familia yangu, japo mara nyingine ikalazimu hata hizo siku za wiki naweza kuwa nyumbani.
😂😂😂 sema namkubali sana jamaa, huwa nakaa najiuliza anatoa wapi maneno ya hovyo kiasi kile halafu kwenye kila clip harudii maneno (labda zile za kuchamba wazinzi)Hiyo avatar mkuu automatic najikuta nasoma in Yombo's voice😀😀😀😀
Weka hatua zote tujifunze hapa.Kiufupi hapo upo katika stage ya pili ya mahusiano power struggle ingawa upo kweny ndoa lakin inabid ilukubaliane na hiyo hali ili moyo wako uwe huru Kisha uingie hatua ya stability stage uweze kuishi na kuyakubali hayo madhaifu ya mkeo
Bila hivyo utaona mengi na vingi
😂😂😂 kwahiyo mkuu uko serious kwamba mimi ni msukuma?Utakuwa n wewe bhna
Watu wanafariki wakiwa peke yao wanabainika siku kadhaa baadae. Bila kuwajulia hali huwezi jua kama ni wazima ama laaSalamu inaleta ugali kwa meza?
Acha ukoloni kaka maisha sikuhizi kidigitali
Mzee Hii haina formula inategemea Tu na Mapenzi yenu. Mimi kuna Jamaa alishangaa nilivyomwambia kuwa kwa Siku moja napigiwa Simu mara TATU Hadi nne kunijulia hali na kuulizwa " utakula nini, au utakula tunda Tu?". Jamaa alishangaa Sana Sana.Huaga wajibu wakusalimia ni wa mwanaume tu? Hasa pale mnapokuwa mbali na familia zenu?
Kiongozi, hata kama haileti ugali ila inaleta kujali.Salamu inaleta ugali kwa meza?
Acha ukoloni kaka maisha sikuhizi kidigitali
Watu wanabadilika kiongoziKama ulishafikia hatua ya kuoa maana yake ulishakubali kichaa chake
Tunza zigo lako kimyakimya
Kiongozi Wala haiwi utamaduni kuwa Mmoja asalimie na mwingine awe wakusalimiwa tu.Mzee Hii haina formula inategemea Tu na Mapenzi yenu. Mimi kuna Jamaa alishangaa nilivyomwambia kuwa kwa Siku moja napigiwa Simu mara TATU Hadi nne kunijulia hali na kuulizwa " utakula nini, au utakula tunda Tu?". Jamaa alishangaa Sana Sana.
Ninachosema ni kwamba, kila familia ina utamaduni wake, huenda huo ukawa ndio utaratibu wenu. Mimi napiga japo huwa simzidi yeye. Hata Sasa hivi saa moja asubuhi amepiga kwakua nimesafiri.....
Hapn sipo serious😂😂😂 kwahiyo mkuu uko serious kwamba mimi ni msukuma?