Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mkewe kashapoteza hisia nae na huo ndio ukweli mchungu, inaumiza ila hana budi kuukubali na huko mbeleni kuna uwezekano mkubwa sana wa hali kuzidi kuwa mbaya zaidi ya sasa.Mwambie ukweli arekebishe anapokosea,shida kubwa siku hizi ni unyumba.Mtu hamuonani wiki na hizo siku mbili anazokuja ni kimoja chali,ukikaa unakuta ana vimesage vya hovyohovyo huyo mtu unahangaika naye wa nini.
Dada, Mimi ni mtu wa mindfulness.. yaan na concentrate kitu kimoja Kwa muda husika.Mwambie ukweli arekebishe anapokosea,shida kubwa siku hizi ni unyumba.Mtu hamuonani wiki na hizo siku mbili anazokuja ni kimoja chali,ukikaa unakuta ana vimesage vya hovyohovyo huyo mtu unahangaika naye wa nini.
Mkusanyiko wa vitu ndo kama hivyo kumfanya mke wako awe na hamu ya kukujulia hali.Siko romantic? Umeolewa?? Au una experience na Hawa wakaka wa mtaani.
Maisha sio kitu kimoja ndugu ni mkusanyiko wa vitu.
Romantic ni sehem tu ya maisha ya mke na mume, Kuna mengine Zaid ya hayo
Sio siku ya kwanza nikileta kisa cha huyu mtu utashangaa sana, wanawake hamuaminiki.Nyie ndo wale mnaotangaza ndoa siku ya kwanza kabisa..ndo maana mdanganywa sana
Maisha yanabadilika, Kuna wakati mambo huja na kuondoka pengine bila sababu.Mkusanyiko wa vitu ndo kama hivyo kumfanya mke wako awe na hamu ya kukujulia hali.
Unafanya tu bora liende ndo maana mwenzio anakuchukulia poa.
We leta ubishi wako ndoa itavunjika na utakutana na bomu zaidi ya hilo.kaa na mkeo mzungumze vizuri atakwambia ni wapi unamkosea.Kwenye ndoa wote mkiwa wababe hamuwezi kufika popote.Siko romantic? Umeolewa?? Au una experience na Hawa wakaka wa mtaani.
Maisha sio kitu kimoja ndugu ni mkusanyiko wa vitu.
Romantic ni sehem tu ya maisha ya mke na mume, Kuna mengine Zaid ya hayo
Ukiona hivyo ujue huna hela mkuu na salamu zake anazipeleka kwa wenye "mapekechee" kama yale ya Mbowe. Cha kufanya tafuta "mapekechee" mengi uone kama salamu zake hazitakufikia kila baada ya dakika 10 au 20. Utasikia babe uko wapi unafanya nini, uko na nani, umekula nini, nimepiga chafya babe njoo nipeleke hosipital n.kAslaam,
Niko na mke takribani miaka 10 Sasa ya ndoa yetu.
Bahati mbaya mda mwingi hatulali na kuamka pamoja, kutokana na harakati za kutafuta maisha.
Huaga natumia siku 5 za wiki kwenda mahala pakazi yangu na siku 2 za mwisho wa wiki kushinda nyumbani na familia yangu, japo mara nyingine ikalazimu hata hizo siku za wiki naweza kuwa nyumbani.
Ila chakushangaza ni hii tabia ya mke kutonisalimia pale anapoamka au wakati flani wa siku.
Nisimpo mpgia mim kumtakia Hali yake na yawatoto ndo basi imeishia hiyo.
Nimejaribu kumuulizia mara nyingi kwanin hanijulii Hali mwenzie hasa pale ninapokuwa mbali na nyumbani?, jibu lake ni kwamba mwanaume ndiye mwenye wajibu wakusalimia familia yake.
Mwanamke na watoto haki yao nikupokea salamu na kujieleza kuhusu Hali zao zilivyo Kwa siku ile.
Nimejaribu mara nyingi kuamka na kukaa kimya bila kumpigia, aisee siku inakatika kabisa hanipigii.
Hili limenishangaza na linazidi kunishangaza kwakweli, yaan mim sina mtu wakunijulia Hali nimeamka naumwa au mzima ni juu yangu.
Kwa wale ambao wameoa au wanakaa na mke hili jambo nikwelii??
Huaga wajibu wakusalimia ni wa mwanaume tu? Hasa pale mnapokuwa mbali na familia zenu?
Endelea kutafuta hela yeye tayari ameshapata alichokua anakitaka "watoto" sasa hivi wewe huna chako mapenzi yamehamishiwa kwa watotoKwa wale ambao wameoa au wanakaa na mke hili jambo nikwelii??
Huaga wajibu wakusalimia ni wa mwanaume tu? Hasa pale mnapokuwa mbali na familia zenu?
Siyo kweli nimeona watu wenye hela wakifanyiwa kiburi na vijanamke vya hovyo sana , wanawake hawatabiriki cha muhimu tafuta mtu wa kukuliwazaUkiona hivyo ujue huna hela mkuu na salamu zake anazipeleka kwa wenye "mapekechee" kama yale ya Mbowe. Cha kufanya tafuta "mapekechee" mengi uone kama salamu zake hazitakufikia kila baada ya dakika 10 au 20. Utasikia babe uko wapi unafanya nini, uko na nani, umekula nini, nimepiga chafya babe njoo nipeleke hosipital n.k
Aaah! Ikivunjika itakuwa ilipangwa iwe hivo, labda tu unishauri nijiandae la Hilo bomu unalosemea.We leta ubishi wako ndoa itavunjika na utakutana na bomu zaidi ya hilo.kaa na mkeo mzungumze vizuri atakwambia ni wapi unamkosea.Kwenye ndoa wote mkiwa wababe hamuwezi kufika popote.
Kumjulia Hali mtu ni mahaba ya kihoneymoon?Sasa wee 10yrs bado unataka mahaba ya ki honeymoon?
Em tafuta malisho ya familia bhana.
Unatujua mnoo
Hiyo tafsiri umeitoa kwenye kamusi ipi
Muache huyo oa mwingine wanawake wapo wengi wanaosalimiaAslaam,
Niko na mke takribani miaka 10 Sasa ya ndoa yetu.
Bahati mbaya mda mwingi hatulali na kuamka pamoja, kutokana na harakati za kutafuta maisha.
Huaga natumia siku 5 za wiki kwenda mahala pakazi yangu na siku 2 za mwisho wa wiki kushinda nyumbani na familia yangu, japo mara nyingine ikalazimu hata hizo siku za wiki naweza kuwa nyumbani.
Ila chakushangaza ni hii tabia ya mke kutonisalimia pale anapoamka au wakati flani wa siku.
Nisimpo mpgia mim kumtakia Hali yake na yawatoto ndo basi imeishia hiyo.
Nimejaribu kumuulizia mara nyingi kwanin hanijulii Hali mwenzie hasa pale ninapokuwa mbali na nyumbani?, jibu lake ni kwamba mwanaume ndiye mwenye wajibu wakusalimia familia yake.
Mwanamke na watoto haki yao nikupokea salamu na kujieleza kuhusu Hali zao zilivyo Kwa siku ile.
Nimejaribu mara nyingi kuamka na kukaa kimya bila kumpigia, aisee siku inakatika kabisa hanipigii.
Hili limenishangaza na linazidi kunishangaza kwakweli, yaan mim sina mtu wakunijulia Hali nimeamka naumwa au mzima ni juu yangu.
Kwa wale ambao wameoa au wanakaa na mke hili jambo nikwelii??
Huaga wajibu wakusalimia ni wa mwanaume tu? Hasa pale mnapokuwa mbali na familia zenu?