Mke wangu hanisalimii, anasema salamu ni wajibu wa mwanaume kwa mke au familia yake

Mke wangu hanisalimii, anasema salamu ni wajibu wa mwanaume kwa mke au familia yake

Pole MKUU

Jiandae kisawasawa.

Kama unawajua vyema wanawake hiyo ni meseji kuwa Hana hisia na wewe na kuna mi mwingine zaidi yako

Tafuta mwanamke mwingine pembeni kwa Siri Fanya awe Mkeo endelea na maisha yako.

Kuhusu Mali Anza kuziweka zingine kwa Siri maana ni kweli yajayo yatakufurahisha kama usipojipanga vyema.

Raha ni kuwa mwanamke hanaga uwezo wa kukuacha kwa siku Moja hivyo una Muda WA kujipanga.

Ukiona mwanamke amekuacha Leo ujue alikuacha zaidi ha miezi sita au Mwaka uliopita
Nimekuelewa kiongozi, kwenye ushauri wako Kuna kitu pia nilikuwa nakuwaza nawewe umekiongelea.

Ubarikiwe saana
 
Kutokuwa na mawasiliano kuna jambo limesababisha.

Labda atuambie je ipo hivyo tangu amemuoa au ni tabia ambayo ni mpya?
Inawezekana ni kuanzia mwanzo ila mume kachelewa kuizingatia, ila wanawake wengi wana icho kitabia cha kuyapuuza mawasiliano kwa wenza wao tena bila hata sababu ya msingi.

Limtu linakwambia linakupenda lipo tayari ulioe lakini ukiwa kimya hata mwezi halishtuki alafu ukilipotezea linaanza kujilizaliza umelichezea.
 
Hizo siku unazokuwa nyumbani huwa mnasalimiana,yani pale ndio mmeamka mko kitandani,unamuuliza habari ya asubuhi,au shkamoo mke wangu au anakusalimia shkamoo mume wangu,ukiweza hili mengine yanakuwa rahisi tu...
 
Nimekuelewa kiongozi, kwenye ushauri wako Kuna kitu pia nilikuwa nakuwaza nawewe umekiongelea.

Ubarikiwe saana
Ha haaa yaani unapewa ushauri wa kubomoa unaupokea kwa furaha😅😅.
Kakae chini vzr na mkeo myajenge..inaonekana hata haupo romantic unaboa, labda pia una ubabe wa ajabu ajabu.
Kaongee vzr na mke wako myajenge.
 
Hizo siku unazokuwa nyumbani huwa mnasalimiana,yani pale ndio mmeamka mko kitandani,unamuuliza habari ya asubuhi,au shkamoo mke wangu au anakusalimia shkamoo mume wangu,ukiweza hili mengine yanakuwa rahisi tu...
Kwa mwanamke wa aina hii mwenye kiburi hata unyumba kukupa anaona anakusaidia
 
Pole MKUU

Jiandae kisawasawa.

Kama unawajua vyema wanawake hiyo ni meseji kuwa Hana hisia na wewe na kuna mi mwingine zaidi yako

Tafuta mwanamke mwingine pembeni kwa Siri Fanya awe Mkeo endelea na maisha yako.

Kuhusu Mali Anza kuziweka zingine kwa Siri maana ni kweli yajayo yatakufurahisha kama usipojipanga vyema.

Raha ni kuwa mwanamke hanaga uwezo wa kukuacha kwa siku Moja hivyo una Muda WA kujipanga.

Ukiona mwanamke amekuacha Leo ujue alikuacha zaidi ha miezi sita au Mwaka uliopita
Unatujua mnoo
 
Shida ilianzia hapa👇🏿👇🏿👇🏿
Bahati mbaya mda mwingi hatulali na kuamka pamoja, kutokana na harakati za kutafuta maisha.
Hakuna shida hapo, mwanamke au binadamu yeyote ndivyo alivyo huenda ndivyo alivyo. So huwezi badili chochote

Kuna kitu kinaitwa know thyself....
 
Aslaam,
Niko na mke takribani miaka 10 Sasa ya ndoa yetu.

Bahati mbaya mda mwingi hatulali na kuamka pamoja, kutokana na harakati za kutafuta maisha.

Huaga natumia siku 5 za wiki kwenda mahala pakazi yangu na siku 2 za mwisho wa wiki kushinda nyumbani na familia yangu, japo mara nyingine ikalazimu hata hizo siku za wiki naweza kuwa nyumbani.

Ila chakushangaza ni hii tabia ya mke kutonisalimia pale anapoamka au wakati flani wa siku.

Nisimpo mpgia mim kumtakia Hali yake na yawatoto ndo basi imeishia hiyo.

Nimejaribu kumuulizia mara nyingi kwanin hanijulii Hali mwenzie hasa pale ninapokuwa mbali na nyumbani?, jibu lake ni kwamba mwanaume ndiye mwenye wajibu wakusalimia familia yake.

Mwanamke na watoto haki yao nikupokea salamu na kujieleza kuhusu Hali zao zilivyo Kwa siku ile.

Nimejaribu mara nyingi kuamka na kukaa kimya bila kumpigia, aisee siku inakatika kabisa hanipigii.

Hili limenishangaza na linazidi kunishangaza kwakweli, yaan mim sina mtu wakunijulia Hali nimeamka naumwa au mzima ni juu yangu.

Kwa wale ambao wameoa au wanakaa na mke hili jambo nikwelii??

Huaga wajibu wakusalimia ni wa mwanaume tu? Hasa pale mnapokuwa mbali na familia zenu?
🤣🤣🤣🤣🤣 Msugue K ipasavyo, , Mwanamke atamuanza mwanaume endapo tu unamsugua vizur Ivo ukiwa mbali naye anakua na wivu wa kua unamsugua mwingine atakutafuta tu plus kumbukumbu ya unavyomsugua , na ukiwa Ndani anakuanza kama sehem ya kukubali shooo unayompa.


Heshima ya kwanza ya Mwanaume huipata kitandani .
 
Humridhishi mke wako,yaani ana kinyongo na wewe utakubaliana na mimi kuwa ndoa yenu ishakufa ila mnaishi siku zisogee.
Hapo anakuona kama ng'ombe sema hakwambii tu.
 
Mambo ya ndoa yana mengi sana kaka. Kupoteza hisia kwa mwanamke wakati mwengine husababishwa na sisi wenyewe. Mtu daily unamchapa matukio wife unategemea hisia zinatoka wapi? Ni vyema pia kujiangalia personally kama uko sawa, inawezekana hana hata mtu lakini tu amechoshwa na reapeted actions zinamtoa mchezoni. Jichunguze mkuu kwanza kabla haujapoint fingers. Communication is key, ikishindikana involve watu wenye hekima wamueleweshe kuna kujisahau pia. Ndoa ni kuvumiliana na kujifunza everyday.
Mkuu, sijawahi kufanya tukio la ajabu tangia nimemuoa huyu mke.

Nina nidham saana Kwa mke lakini pia namuheshimu kupitiliza.

Hizo weekend nikiwa nyumbani siendi kokote labda siku itokee tu nimeamua kwenda salun na kurudi.

Mpaka hii Leo ninapoandik hili, sijawahi kwenda sehem nikarudi nyumbani Zaid ya saa3 usiku.

Situmii kilevi Cha aina yyt, sio mtu wakujichanganya yaani Niko mm tu

Hii simu Kuna mda alikuwa anajua password yangu na alikuwa anaitumia akitaka hatujawahi kugomban Kwa lolote kutoka kwenye simu.

Sasa nijichunguze wapi kiongozi wangu!?

Miongon mwa watu wanaoheshim mke nami nipo kiongozi.

Sema tu balaa likiamua kukupata.
 
Inawezekana ni kuanzia mwanzo ila mume kachelewa kuizingatia, ila wanawake wengi wana icho kitabia cha kuyapuuza mawasiliano kwa wenza wao tena bila hata sababu ya msingi.

Limtu linakwambia linakupenda lipo tayari ulioe lakini ukiwa kimya hata mwezi halishtuki alafu ukilipotezea linaanza kujilizaliza umelichezea.
Alivyokuwa anakukwambia kwamba yupo tayari umuoe no wewe ulitangaza ndoa au alijitamkia tu mwenyewe?
 
Mkeo hakupendi na hana hisia nawewe, wapende na kuwajali sana wanao ndio kitu cha muhimu unachoweza kuendelea kufanya.
Mwambie ukweli arekebishe anapokosea,shida kubwa siku hizi ni unyumba.Mtu hamuonani wiki na hizo siku mbili anazokuja ni kimoja chali,ukikaa unakuta ana vimesage vya hovyohovyo huyo mtu unahangaika naye wa nini.
 
Alivyokuwa anakukwambia kwamba yupo tayari umuoe no wewe ulitangaza ndoa au alijitamkia tu mwenyewe?
Nia nilikuwa nayo ila uhalisia wa maneno na matendo yake haviendani hata kidogo, upendo ni matendo na sio maneno.
 
Ha haaa yaani unapewa ushauri wa kubomoa unaupokea kwa furaha😅😅.
Kakae chini vzr na mkeo myajenge..inaonekana hata haupo romantic unaboa, labda poa una ubabe wa ajabu ajabu.
Kaongee vzr na mke wako myajenge.
Siko romantic? Umeolewa?? Au una experience na Hawa wakaka wa mtaani.

Maisha sio kitu kimoja ndugu ni mkusanyiko wa vitu.

Romantic ni sehem tu ya maisha ya mke na mume, Kuna mengine Zaid ya hayo
 
Back
Top Bottom