Mke wangu hanisalimii, anasema salamu ni wajibu wa mwanaume kwa mke au familia yake

Mke wangu hanisalimii, anasema salamu ni wajibu wa mwanaume kwa mke au familia yake

Aslaam,
Niko na mke takribani miaka 10 Sasa ya ndoa yetu.

Bahati mbaya mda mwingi hatulali na kuamka pamoja, kutokana na harakati za kutafuta maisha.

Huaga natumia siku 5 za wiki kwenda mahala pakazi yangu na siku 2 za mwisho wa wiki kushinda nyumbani na familia yangu, japo mara nyingine ikalazimu hata hizo siku za wiki naweza kuwa nyumbani.

Ila chakushangaza ni hii tabia ya mke kutonisalimia pale anapoamka au wakati flani wa siku.

Nisimpo mpgia mim kumtakia Hali yake na yawatoto ndo basi imeishia hiyo.

Nimejaribu kumuulizia mara nyingi kwanin hanijulii Hali mwenzie hasa pale ninapokuwa mbali na nyumbani?, jibu lake ni kwamba mwanaume ndiye mwenye wajibu wakusalimia familia yake.

Mwanamke na watoto haki yao nikupokea salamu na kujieleza kuhusu Hali zao zilivyo Kwa siku ile.

Nimejaribu mara nyingi kuamka na kukaa kimya bila kumpigia, aisee siku inakatika kabisa hanipigii.

Hili limenishangaza na linazidi kunishangaza kwakweli, yaan mim sina mtu wakunijulia Hali nimeamka naumwa au mzima ni juu yangu.

Kwa wale ambao wameoa au wanakaa na mke hili jambo nikwelii??

Huaga wajibu wakusalimia ni wa mwanaume tu? Hasa pale mnapokuwa mbali na familia zenu?
Embu tafuta Pisi nyingine haraka sana....huyo kashakuchoka.
Wanawake wanavosumbua na Simu kila mara ndio aseme sio jukumu lake.
 
Kuna muda nakaaga nawaza ikitokea kwa mapenzi ya Mungu mwenzangu akatangulia watasema mimi ndo nimeua maana nitatafuta chozi litakosa au naweza lia kwa kuwahurumia watoto kukosa baba! Kuna stage za ndoa ni ngumu mnoo
Kwanini unawaza yeye kufa na sio wewe kwanza kufa, hiyo inasema kitu juu yako.
 
Haijakosea ila watu ndio mnakosea kutafsir we c unaona kabsa reality mwanaume haridhikag kuwa na pisi moja?, alfu sasa me akiwa na pisi kibao kuna ile moja anaikubali ndio ataijali na matunzo kila kitu.
Kha! Kwahiyo wewe tafsiri yako ndo tuiamini ila wewe huamini tafsiri yetu
 
Mkuu, sijawahi kufanya tukio la ajabu tangia nimemuoa huyu mke.

Nina nidham saana Kwa mke lakini pia namuheshimu kupitiliza.

Hizo weekend nikiwa nyumbani siendi kokote labda siku itokee tu nimeamua kwenda salun na kurudi.

Mpaka hii Leo ninapoandik hili, sijawahi kwenda sehem nikarudi nyumbani Zaid ya saa3 usiku.

Situmii kilevi Cha aina yyt, sio mtu wakujichanganya yaani Niko mm tu

Hii simu Kuna mda alikuwa anajua password yangu na alikuwa anaitumia akitaka hatujawahi kugomban Kwa lolote kutoka kwenye simu.

Sasa nijichunguze wapi kiongozi wangu!?

Miongon mwa watu wanaoheshim mke nami nipo kiongozi.

Sema tu balaa likiamua kukupata.
Ukiwa mtakatifu sana unaonekana bwege
Ila kwa Mungu unatenda yampendezayo.

Umeoa SHETANI.
 
Jitahidi kumkojoza mkeo maana inaonekana hajakojoa mda mrefu!...wanawake hujali pale wanapokuwa nahisia napo...na ili mwanamke awe na hisia siku zote ni kumkojoza mara kwa mara!
 
mjuelie hali kwa kiwango chako yeye akiwa kimya siku ukipitiwa kumjulia hali basi ukikumbuka kumjulia hali fanya hivyo ni rahisi sana
 
Nahisi wewe NI last born na yeye ni first born
Firstorn anawahi kujitegemea na anakuwa na mizigo ya kuangalia wadogo zake na mambo ya nyumbani tangu akiwa mdogo so kwake anahakikisha kila kitu kipo sawa Kisha alarelax, last born anakuwa amezoea kuzungukwa na watu wengi na kuulizwa kila Mara Kama is everything okey?
Mara nyingi ktk ndoa mke akiwa firs na mume last kuanakuwa na mkanganyiko wife anakuwa tough na mume anakuwa weak (sio Mara ZOTE)
Ipo hivi katika mahusiano Kuna wakati kila kitu kinakuwa sawa kiasi kwamba Hakuna haja ya kutoa ripoti kila siku, haimaanishi Kama mwenzako hajali au lah akina mama wanakua bize Sana na ratiba na wako very fast kwenye movements zao mbali mbali adi jioni mtu analala Yuko hoi, unaweza kutest usiwe unamuanza kumsalimia au kumuomba sex ikapita hata miezi 2 yeye Yuko fresh tu na mambo yake yanaenda.
Mfano mjane mwenye miaka 45-60 anaweza kuwa single bila mwanaume miaka kibao na ratiba zake zikawa gudgud Sasa mwanaume anaweza hivyo?
Wewe huwazi kumsalimia mke Wala watoto unachowaza ni ngono tu na kwakuwa yeye ndiyo sex machine yako lazima umpigie sim.
Mfano akisafiri akawa mbAli na watoto utaona jinsi anavyopiga simu kila siku kuongea na watoto, kiufupi Yuko sahihi na Wala usiwaze Sana, kila kitu kipo sawa au usiache hela au usiwe unarecover Yale mahitaji ya msingi uone jinsi Simu zitavyo miminika.
Ukiwa mbali na nyumbani wewe uliye mbali niniukumu lako kuwachek, unabahati kumpata mke asiye king:ang'anizi anakupa muda wa kutosha kufanya kazi.
Over.
Yesu ni Jibu
 
Kuna muda nakaaga nawaza ikitokea kwa mapenzi ya Mungu mwenzangu akatangulia watasema mimi ndo nimeua maana nitatafuta chozi litakosa au naweza lia kwa kuwahurumia watoto kukosa baba! Kuna stage za ndoa ni ngumu mnoo
😛😛😁👍
 
Tiba yake ndogo sana, tokeni leo mkalale kwenye nyumba za wageni; huko umpige bakora kubwa kisawa sawa usiku kucha, hakikisha anapiga makelele ya kupata shoo ya ukweli.

Ukifanikisha hilo, utakuwa umemuwekea alama ya kukumbuka na kutamani uwahi kurudi mapema umpige ile shoo.​
 
Yaan nimewaza tu kwa mapenzi ya Mungu ikitokea akatangulia, ila nishasema hata mi nikitangulia sitaki aweke matanga yeye na asinizike kabisaa
Pole kwa changamoto. Ndoa zina mambo sana watu tulioona nao wanakuja kuwa watu tofauti sana baada ya ndoa. Nakuombea amani, masikilizano na upendo virudi kila mmoja wenu aweke maslahi ya familia na watoto mbele. Sote tuna changamoto za ndoa Mungu atusaidie
 
Tiba yake ndogo sana, tokeni leo mkalale kwenye nyumba za wageni; huko umpige bakora kubwa kisawa sawa usiku kucha, hakikisha anapiga makelele ya kupata shoo ya ukweli.

Ukifanikisha hilo, utakuwa umemuwekea alama ya kukumbuka na kutamani uwahi kurudi mapema umpige ile shoo.​
Mawazo makali na akili nying sana
 
Tiba yake ndogo sana, tokeni leo mkalale kwenye nyumba za wageni; huko umpige bakora kubwa kisawa sawa usiku kucha, hakikisha anapiga makelele ya kupata shoo ya ukweli.

Ukifanikisha hilo, utakuwa umemuwekea alama ya kukumbuka na kutamani uwahi kurudi mapema umpige ile shoo.​
Kufanya ngono ya kukomoana sio kurudisha mapenzi na hisia za mwanamke, kama kuna mahali anahisi aliwahi kukosea ikamuumiza moyo mkewe aanze kwanza kubadilika amuaminishe taratibu taratibu, mwanamke arudishe hisia kwa mumewe, ila hiyo ya kufanya fanya tu eti ibadilishe kitu? Mwanamke anaweza tu akamtengea akafanya weee hata akachubuka huku moyoni anatukana "huyu umbwa amalize haraka mi nimechoka"
 
Back
Top Bottom