Mke wangu hapendi kuongozana na mimi barabarani

mbona mtoa mada hajibu maswali mliyomuukiza? akianza kujibu maswali mliyomuulliza na kutoa ufafanuzi wa mliotoa maon nadhan ataelewa zaid
 
Hehehe huyo wa kwanza aliniponda bwana, nikajitoa akili.
Mi nna damu ya kina donald trump ujue, jua tu la bongo linanitia doa.

Afu unajua sina saa. Hebu fanya kunigiftisha nianze kuongozana na wewe
Unavyopenda misifa.... khaaa!

Hebu nambie hivi sasa ni saa ngapi kwa mujibu wa saa za huko kwenu Afrika Mashariki...
 
Una pesa!au tafuta mchepuko utest kama utakua unapenda kuongozana na wewe!basi mkeo mwingi wa habari'ni pm nikupe data kamili
 
Jali Mambo YaKo Kwa Mda Wa Miez3 Yaan Kiufupi Mpe Likizo Ya Miez Mitatu Mkiwa Hapo Hapo Mjengoni Kwako!
 
Hehehe huyo wa kwanza aliniponda bwana, nikajitoa akili.
Mi nna damu ya kina donald trump ujue, jua tu la bongo linanitia doa.

Afu unajua sina saa. Hebu fanya kunigiftisha nianze kuongozana na wewe
Ngoja kwanza nimalize ziara zangu za kushtukiz kwenye nyumba za kulala wageni wanaotokea Torabora na kuelekea Torabora. Tuko bize kusaka watu wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na wageni.
 
Niliskia kuwa baadhi ya ndoa zingingine hazikuanza " i love babay utanioa" but zilianza " baba kasema nirudi nilipolala jana "
kumbuka broo hakuna mwanaume mbaya kama ulivyosema cha msingi



hapo si ana mdogo wake wa kike usilaze damu kiongeze, we huoni huyo mdogo wake alivyojiongeza kwako wanawake always hutumia ishara zaidi kuliko maneno unaweza kaanaye miaka asikwambie nakupenda hasaa wewe zunguka naee mpaka mpate mnachokitafuta
 

Acha zambi
 
Hahahaa aisee,nimecheka..
 
Hapo ulipokoleza mimi pia nimehis hivyo...ila akimpa black and white na kumtisha matokeo huyo mke stage aliofika ni anasubiri tu mmewe alitibue yeye amalize
Hili tatizo nashauri litatuliwe kwa utulivu na upendo na litachukua mda mpaka kupata muafaka
 
Sio type yake kwanini alikubali kuolewa nae sasa...
Hivi unadhani siku hizi wanawake wanaolewa kwamba eti kweli wamependa? noooop!!! wengi hufuata chapaaa....huku pembeni ana mtu wake wa kufa na kuzikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…