Wadau heri ya mwaka mpya,
Wife amekuwa hapendi kuongozana nami katika safari mbali mbali misiba, sherehe, outing na kadhalika, sio kwamba anakataa moja kwa moja bali atatafuta sababu ili twende tofauti, na akikubali kwenda anakuwa uncomfortable na uwepo wangu.
Mwezi uliopita wa 12 tulisafiri wote kwenda up country nyumbani kwao mkoani kwa mapumziko ya end year, tulianzia mkoani kwetu, mwisho tukamalizia kwao, sasa tukiwa kwao, mdogo wake wa kike ndie alikuwa akizunguka nami mjini kutalii na kunionesha sehemu mbali mbali, wife alikuwa akinipiga chenga ndipo shemeji akaamua kunipa kampani.
Tuliijadili sana hii tabia ya dada yake ambayo hata yeye akasema ameiona kwa muda mrefu sana, anashindwa kuelewa tatizo ni nini? Sababu sina ulemavu, mwonekano wangu ni wa kawaida, wakiitwa ma handsome siwezi kutoka, lakini pia wakiitwa wabaya pia siwezi kutoka, ni wa kawaida.
Siku ya kuondoka Arusha, tukawa na ugomvi mkubwa sana kwamba nakosaje aibu kiasi kile, kuzunguka na mdogo wake hadi watu kunielewa vibaya, kiasi kuwa akakataa kabisa kwa hasira shemeji asije na sisi Dar maana huwa tunaishi nae, hadi wazazi wao walipomuamuru akakubali.
Tabia hii imenichosha sana kufikia hatua najiona sina thamani, tukienda harusini au outing ya pamoja na marafiki pamoja na waume zao utashangaa kila nikitaka kuchangia mada ananiminya mkono nisizungumze labda nitaongea jambo la kumuaibisha wakati mimi kwanza sio muongeaji, waume wa marafiki zake wataongea wee mimi nipo kimya, mimi nikichangia tu ni ugomvi, ananikosoa mbele yao kila nalochangia tena kwa kunishushua, hivyo nakaa kimya muda wote hadi wengine waulize mbona huongei.
Nilishajiuliza huenda huwa naongea pumba, hata hivyo hapana, mimi huwa ni mtu mwenye kuchagua maneno sana kabla ya kuongea.
Sasa naomba mnisaidie mawazo, tatizo ni nini hasa? Ni suala la muda mrefu hivyo nimeshachoka, nataka kufanya mabadiliko, nahitaji mke mwenye kunithamini na ambae yupo proud of me nahisi huyu hanipendi Ingawa tuna watoto wawili.
Nawasilisha kwenu
pole mjomba., kuna mambo mengi ila mosi yawezekana huyu bint umemuoa akiwa ni muhitaji kwako kwamba alikuona na uwezo kidg kifedha lakin hakukupenda sana wewe kama wewe, wewe si type yake hafanani kutoka na wewe ingawa hiyo ndoa aliiridhia tu kwa vile hakuwa na jins kwa ufupi hakupendezwa na wewe na tatizo hili sio kwa wewe tu mifano hii ipo mingi sana katika jamii.,
''mimi nina broo wa anaishi abroad mkewe yupo Africa lakini sikufichi wakisimama hapo wote utashangaa sana kwanini broo amezaa na kumuoa mwanake huyo yaani broo hapendi ata kumwambia mtu kwamba huyu ndo wife wangu licha kumchukua kwenda naye safari 1 au kufuatana naye na baadhi ya watu wanajuwa.
Pili pengine yawezekana sana kiumri hamulingani yeye bado ni mtoto wewe ni mkubwa ushakuwa mzee, hii haitaki tochi ni shida kwa wanawake wa kisasa kufuatana na mtu mkubwa tena kila siku.
Tatu yawezekana sana wewe mke wako unamuendekeza sana yaani kwa ufupi yawezekana umewekwa kiganjani kwa luga ya mtaani sasa hii ndio mbaya sana mwanamke akishakukuoa wewe katika nyumba tegemea mateso tu mpaka utatiwa kaburini.
Lakini mwisho kabisa emu siku 1 jaribu kumsema yawezekana sana atakujia juu, halafu emu jaribu kutishia kumpa talaka ukimuhisi yuko tayari kwa talaka na chochote mtengane jua hapo kuna sababu nyengine iliyojificha ana mtu ambaye sasa yuko tayari kwenye target yake akitoka kwako ataenda kwake na ikibidi hivyo tena bora kuachana naye asikudanganye mtu ndo ni utulivu, raha, heshima, utii na nk. yakikosekana hayo bora uachane naye atakuzingua zaidi tu
Wadau heri ya mwaka mpya,
Wife amekuwa hapendi kuongozana nami katika safari mbali mbali misiba, sherehe, outing na kadhalika, sio kwamba anakataa moja kwa moja bali atatafuta sababu ili twende tofauti, na akikubali kwenda anakuwa uncomfortable na uwepo wangu.
Mwezi uliopita wa 12 tulisafiri wote kwenda up country nyumbani kwao mkoani kwa mapumziko ya end year, tulianzia mkoani kwetu, mwisho tukamalizia kwao, sasa tukiwa kwao, mdogo wake wa kike ndie alikuwa akizunguka nami mjini kutalii na kunionesha sehemu mbali mbali, wife alikuwa akinipiga chenga ndipo shemeji akaamua kunipa kampani.
Tuliijadili sana hii tabia ya dada yake ambayo hata yeye akasema ameiona kwa muda mrefu sana, anashindwa kuelewa tatizo ni nini? Sababu sina ulemavu, mwonekano wangu ni wa kawaida, wakiitwa ma handsome siwezi kutoka, lakini pia wakiitwa wabaya pia siwezi kutoka, ni wa kawaida.
Siku ya kuondoka Arusha, tukawa na ugomvi mkubwa sana kwamba nakosaje aibu kiasi kile, kuzunguka na mdogo wake hadi watu kunielewa vibaya, kiasi kuwa akakataa kabisa kwa hasira shemeji asije na sisi Dar maana huwa tunaishi nae, hadi wazazi wao walipomuamuru akakubali.
Tabia hii imenichosha sana kufikia hatua najiona sina thamani, tukienda harusini au outing ya pamoja na marafiki pamoja na waume zao utashangaa kila nikitaka kuchangia mada ananiminya mkono nisizungumze labda nitaongea jambo la kumuaibisha wakati mimi kwanza sio muongeaji, waume wa marafiki zake wataongea wee mimi nipo kimya, mimi nikichangia tu ni ugomvi, ananikosoa mbele yao kila nalochangia tena kwa kunishushua, hivyo nakaa kimya muda wote hadi wengine waulize mbona huongei.
Nilishajiuliza huenda huwa naongea pumba, hata hivyo hapana, mimi huwa ni mtu mwenye kuchagua maneno sana kabla ya kuongea.
Sasa naomba mnisaidie mawazo, tatizo ni nini hasa? Ni suala la muda mrefu hivyo nimeshachoka, nataka kufanya mabadiliko, nahitaji mke mwenye kunithamini na ambae yupo proud of me nahisi huyu hanipendi Ingawa tuna watoto wawili.
Nawasilisha kwenu
pole mjomba., kuna mambo mengi ila mosi yawezekana huyu bint umemuoa akiwa ni muhitaji kwako kwamba alikuona na uwezo kidg kifedha lakin hakukupenda sana wewe kama wewe, wewe si type yake hafanani kutoka na wewe ingawa hiyo ndoa aliiridhia tu kwa vile hakuwa na jins kwa ufupi hakupendezwa na wewe na tatizo hili sio kwa wewe tu mifano hii ipo mingi sana katika jamii.,
''mimi nina broo wa anaishi abroad mkewe yupo africa lakini sikufichi wakisimama hapo wote utashangaa sana kwanini broo amezaa na kumuoa mwanake huyo yaani broo hapendi ata kumwambia mtu kwamba huyu ndo wife wangu licha kumchukua kwenda naye safari 1 au kufuatana naye na baadhi ya watu wanajuwa.
Pili pengine yawezekana sana kiumri hamulingani yeye bado ni mtoto wewe ni mkubwa ushakuwa mzee, hii haitaki tochi ni shida kwa wanawake wa kisasa kufuatana na mtu mkubwa tena kila siku.
Tatu yawezekana sana wewe mke wako unamuendekeza sana yaani kwa ufupi yawezekana umewekwa kiganjani kwa luga ya mtaani sasa hii ndio mbaya sana mwanamke akishakukuoa wewe katika nyumba tegemea mateso tu mpaka utakufa wanawke ni washenzi sana.
Lakini mwisho kabisa emu siku 1 jaribu kumsema yawezekana sana atakujia juu, halafu emu jaribu kutishia kumpa talaka ukimuhisi yuko tayari kwa talaka na chochote mtengane jua hapo kuna sababu nyengine iliyojificha aidha hahitaji tena kutoka kwako au ana mtu ambaye sasa yuko tayari kwenye target yake akitoka kwako ataenda kwake na ikibidi hivyo tena bora kuachana naye asikudanganye mtu ndoa ni utulivu, raha, heshima, utii na nk. yakikosekana hayo bora uachane naye atakuzingua zaidi tu na kukuumiza.