Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Kama hajakushirikisha katika kununua gari ujue kuna jamaa wa "nguvu " pembeni. Usipoangalia kuna siku atataka aitwe "mama mwenye nyumba "
 
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi
Kwann umejiunga JF kama sio umbea kufuatilia mambo ya watu?

Toa ushauri utakao jenga kila MTU anayesoma HUCHOTA KITU ,maana wapo wanaojiandaa kuingia kweny ndoa,wapo wanaokumbana na hali hiyohiyo,na wapo wanaokata tamaa kutokana na mikwaruzano ya ndoa...ila baada ya kusoma kila MTU anapata uponyaji wake...wa kuona kumbe kawaida haya mambo anatunza ndoa na wa kuchukua za kuambiwa changanya na zako...nae anafanya yake
 
Nani anafanyia service hilo gari????

Uendeshaji wako ukoje au unafukia mashimo tu?

Nani anajaza mafuta? Isije kuwa unazurura nalo weeee unarudisha kitu empty


Mwisho; mwache alimbuke....

Na wewe uichukulie kama changamoto.....mwanaume halii lii tafuta hela nunua gari kali zaidi ya hilo....huo ndio uanaume.
 
Hapana for me, I don't think it's an appropriate approach kwasasa. Cha msingi akae nae chini amwambie kuhusu hali anayokuwa nayo mke wake pale anapohiitaji gari lililonunuliwa kwa mtaji wake. Hiyo statement inaweza ikazaa mengine ambayo yanaweza yakamfanya mwanaume ang'amue kwanini mwanamke anakuwa hivyo
Hivi nyie mnao penda kukaa chini hivi unakaa chini kuongea nini na mtu mzima.......? Asicho jua ni kipi hasa...? . Acheni uzwazwa narudia tena kusema Mwanamke akitangaza vita jua kamaanisha vita
 
Mkeo mchoyo sana mkuu na hata wewe pambana nunua gari yako, ili kulinda ndoa yako maana sikuhizi gari siyo luxury tena ni necessity!

Pole ni changamoto tu ya kawaida sana na inamwisho wake.
 
Kuna mengi huyajui! Siyo kwamba ukiendesha anaogopa kuwa utamsababishia ajali bali anaona aibu kuwa na wewe kwenye gari ndiyo maana anakaa nyuma. Kwa kifupi anaona wewe siyo type yake kwa sasa. Mengi huyajui ila ngoja niishie hapo!
Haa😂😁
Msema Ukweli Ni Mpenzi Wa Mungu
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
 
Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vizurir sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KATIKA HILI.
Usikute mkeo anapigwa biti na jamaa alionunua hilo gari, anashangaa kwanini gari anunue yeye kwa mkeo kisha wewe uendeshe wakati si demu wake. Hata wewe fikiria umnunulie gari mke wa mtu kisha mumewe awe anatambia nalo mtaani, utajisikiaje.....si utampiga biti huyo changu wako?
 
Wewe tafuta mdada mwenye gari kali awe best yako na uzuri wewe ni fundi uwe unamtengenzea bure na wakat mwingine mfanyie service bure. Ukiwa nae karibu ukiwa na shinda muombe akuanzime . Jenga naeazoea ya kawaida husimtogoze.
 
Mke wako ni mchoyo tu, ungekuwa umenunua wewe gari ye angetumia bila shida, ila kwa vile kanunua yeye anaona we hustahili. Wanaume wenzangu, wanawake tunafaa kuishi nao kwa akili, chako ni chenu lakini chake ni chake.
 
Pole Sana Kaka. Pole Sana kwa mkeo kuwa KERO. Wanawake wenzangu tubadilike jamani. Mume wangu siku anataka kutumia gari.... Namuomba mapema kabisa anipeleke usafiri wa bajaji unapopatikana..... naendelea na ratiba zangu kama kawaida. Nikimaliza narudi nyumbani.... Raha mustarehe... Mapenzi Mubashara😂😅. Mapenzi yana Raha Sana Wanawake wenzangu ... Haya Mambo madogo madogo haya tujifunze kuya-ignore. Tujifunze kujishusha kwenye baadhi ya mambo ambayo tunaweza kufanya na hayasumbui sana.... Kwani utapungukiwa nini? .... Pia Tunapunguza mikwaruzano inayoweza kuepukika. Gari zipo tuu. Cha muhimu Penzi na Raha ya MUME.
Nimekupenda bure!! Unakunywa soda gani???
Kiti moto labda? Najua bongo mnakula sana haya makitu!! Roast! Chukua kwa mangi hapo bill kwangu!!
 
Pole Sana Kaka. Pole Sana kwa mkeo kuwa KERO. Wanawake wenzangu tubadilike jamani. Mume wangu siku anataka kutumia gari.... Namuomba mapema kabisa anipeleke usafiri wa bajaji unapopatikana..... naendelea na ratiba zangu kama kawaida. Nikimaliza narudi nyumbani.... Raha mustarehe... Mapenzi Mubashara😂😅. Mapenzi yana Raha Sana Wanawake wenzangu ... Haya Mambo madogo madogo haya tujifunze kuya-ignore. Tujifunze kujishusha kwenye baadhi ya mambo ambayo tunaweza kufanya na hayasumbui sana.... Kwani utapungukiwa nini? .... Pia Tunapunguza mikwaruzano inayoweza kuepukika. Gari zipo tuu. Cha muhimu Penzi na Raha ya MUME.
si ako na bajaji sasa gari ya muke ya nini
 
Hahahah uko sahihi kabisa basi si kesi! Ngoja nipite kushoto.
acha hizo mkuu!! Ke kumnyima gari si jambo la siri hilo!! Majirani wanaona.
House girl.
watoto wako.
wageni wa nyumbani mwako wanaona.
Rafiki zako wanaona.
Asa kuna siri gani hapo

Haya sisi humu hatumjui km majirani wajuavyo huenda ni mimi ndo nafanya ivo au wewe!!
Unless otherwise hujui what is siri..

Mpe ushauri tu.dawa anunue la kwake. Lkn kuna hatari ya kuuawa mapema kwa kumjibu hivi...sababu na wewe utamnyima la kwako ataumia.
Dawa yake atakuroga tu ufe!! Hasa mtoto mkubwa akimaliza university.
 
Mke wako mshamba wa magari na limbukeni, mimi hata kama gari alinunia kwa pesa yake mimi ndiyo nitaitumia muda mwingi kuliko yeye
 
Nunua lako na wewe acha kushoboka shoboka na vitu vya mwenzio.
Thubuuutu unataka mwenzio afe??
Mke roho itamripuka sana hata anaweza asione mbele!!

Atamrestisha in piece ili ke amiliki mawili sasa!!
Na kule alikonunuliwa hilo hari anamlingishia na hili la marehem tena..
 
Back
Top Bottom