Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana


Sasa ukisikia msemo kuwa Mwanamke akiwezeshwa Anaweza ndio huu unauishi wewe. Huyu mkeo akifanikiwa sana atatafuta wengine wamuwezeshe.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Natangaza harambee upewe mitano tena...

BTW sanamu yako unataka tuiweke wapi?
 
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi
Kiukweli kabisa, kosa sio la mwanamke. Kosa ni la huyu mwanaume mzembe...
 
Pole sana mkuu,ukishaoa ndio kuna hivyo vituko,ombea amani ya nyumba yako...
 
Hivo hivo tu kaka, hi kama wanaume tuichukue tu kama changamoto ya kusihi na hawa viumbe. Kwa ufupi uliyasema yote na kwangu yapo hivo hivo hadi watoto huaga wanamindi mama yao
 
Ha ha ha ha ha


Daah nimecheka sana

Hata mi Huwa na hizi tabia ila sio nzuri hata kidogo[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji848][emoji851][emoji851]
 
Ha ha ha ha ha


Daah nimecheka sana

Hata mi Huwa na hizi tabia ila sio nzuri hata kidogo[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji848][emoji851][emoji851]
Umeanza lini hiyo tabia. Enzi zetu mbona hukuwa na tabia hiyo?
 
Hehehehehe[emoji23][emoji16][emoji41][emoji41]
 
Ha ha ha ha ha


Daah nimecheka sana

Hata mi Huwa na hizi tabia ila sio nzuri hata kidogo[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji848][emoji851][emoji851]
I wish i kudu be Hai Jipiii (IGP) kumbe mnatumaindisha tukiendesha magari yenu jamani women mtatuua! Maelekezo kibao kama traffic wa vehicleπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Tegemea kuombwa talaka muda wowote hapo huna mke kashakua matawi ya juu. Wanawake wengi akishajiona anaongoza kipato kikubwa anatamani awe huru Kama hauamini chunguza marafiki alionao sasa angalia Wana tabia gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…