Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Achana nalo, we endelea kuendesha pikipiki yako tu mkuu.
 
Nipe namba nikutumie hata hongera kwa hii comment yako nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
itakuwa kahongwa
 
Wewe achana na gari yake tumia pikipiki yako, mbona wanawake wengi tunapanda mpaka bodaboda japo nyumbani kuna Paso mkuu? Fanya yako wewe tafuta pesa kimya kimya nunua nalo basi siku ukinunua lako na lake ndiyo lina haribika[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi ni watu wa ajabu sana. Hapo gari lingekua la mwanamke angelichukua bila hata kuomba. Na angepewa bila gubu. Shida sisi ni wabinafsi sana.

Sent From Galaxy S9
Kuna uzi fulani mdada mmoja ameuanzisha anadai Wanawake sio wabinafsi ila wewe hapa umethibitisha kuwa,Wanawake ni wabinafsi.
 
Ushauri wa kipumbavu sana. Kwani hawa si mke na mume? Si mwili mmoja? Acheni kuwafanya watu kama vile ni majirani wakati ni mwili mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vizuri sana wanawake mnaojitambua na kujua kwamba haya mambo ni ya kupita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni limbukeni. We tumia gari tu akileta tena ujinga ng'oa kifaa muhimu ukakifiche mahali na kumuwekea kile feki halafu gari ikikaa sana unaenda kukitafuta na kumwambia umeamua kumnununlia hicho kifaa ili gari isije oza. Kama atanunua mwenyewe kile unakiuza halafu gari endelea kuliendesha. Mkeo mshamba sana. Lakini pole kwa yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajenga, side effect ipo lkn sio kubwa
Hapana for me, I don't think it's an appropriate approach kwasasa. Cha msingi akae nae chini amwambie kuhusu hali anayokuwa nayo mke wake pale anapohiitaji gari lililonunuliwa kwa mtaji wake. Hiyo statement inaweza ikazaa mengine ambayo yanaweza yakamfanya mwanaume ang'amue kwanini mwanamke anakuwa hivyo
 
wanawake wote wangkuwa sawa sawa na haya maneno yako bas tisingezijutia ndoa zetu daima...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndoa zina shughuli pana kamaa yangu mmona yeye haruhusiwe endesha gari na mke wake, mke yupo radhi atafute mtu mwingine aendeshe na si mume wake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…