Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Mwanamke mara nyingine anaweza kuhamishia hasira sehemu zingine lakini alikoipata ni kwingineee..




Unamkojoza vizuri?? Au unakojoza hiyo mitambo kazini tu..


Tuanzie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi
ndo maana ya fake id's kaka
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
(1)mke wako amekuchulia poa sna ...wewe ni baba lazima uwe chuma ktk familia kuwa hata mkali sna anapoonesha vitabia vya kipumbavu.
( 2)mkalishe chini mwelekeze jinsi upendezewi na tabia zake za kujinunisha.

(3)fikilia kugawana mali uachane kama hatokuwa tayari kubadika kitabia....lasiivyo usipokuwa strong utakuja kuwa kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari kanunuliwa na Mume mwenzako bro so anapigwa mkwara mwenyewe akikuona nalo jipange Nunua lako
 
Wana u-selfish kiwango cha fly over, tumia pik yako kwa mishe zako na ikiwa kuna ulazima wa gari,kodisha. Jiweke mbali na vitu vyake muache ahangahike navyo weee hadi achoke mwisho atahisi umesusa ndipo atakuuliza, mjibu hayo matakataka yooote tunayohangahika nayo ni ya kupita tu siku wote tunakufa tunayaacha kwa hiyo niliona nisikupe tabu sana endelea na vitu vyako vikusaidie. Fanya yako tu watu wa namna hiyo huwa wanaishia kufeli vibaya ni suala la muda tu.
 
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi
Akijiua utakuwa wa kwanza kuwa kwa nini hakuomba ushauri,akiomba ushauri unachukia,binadamu bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha umenikumbusha kipindi hicho kuna demu akaniganda tubadilishane simu [emoji3][emoji3]..
Nimpe Note 4 yeye anipe kitecno chake, niliwaza sana akili ya hawa watu!
Na akinunua zuri zaidi ya alilo nalo mke wake atataka wabadilishane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…