Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Mchetu mmwenga ni uchia wa mboro.mana yake mke mmoja ni ukiwa wa mboro.Hivyo basi km din inakuruhusu ongeza jiko tu atajirekebisha mwenyew akiwa na mwenzeke.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kama vile umokopy na kupaste kutoka kwangu, mimi kutokana na hayo uliyoyataja imebidi nianzishe mchakato wa kumfuatilia labda ana mchepuko. Kwakweli ndoa ni ngumu sana na wanawake ni rahisi sana kubadilika.
Kwakweli mbishasa kyoma
 
Mtafutie mkeo shughuli afanye, kukaa tu home sio ishu.... bahati mbaya ukikutokea ukawa huna tena uwezo wa kutafuta itakuaje? Atakua mgeni wa kutafuta atapata tabu yeye na wanao.

Hilo lingine kazi za nyumbani zinachosha sana kama unaweza atafute binti wa kumsaidia.

Pole ndio "kuvumiliana mapungufu huko"
 
toka mwanzo alikuwa hivyo hivyo?? au ni kibonge nini?
 

Hata angetumia miaka 60 kumchunguza angepoteza muda tu,Kiufupi unaweza kuishi na mwanamke miaka 40 usimwelewe kabisa....! Maisha ya ndoa ni mchezo wewe mwanaume kuvumilia ujinga wa mwanamke ...

Wanawake wana ubavu uliopinda inatakiwa unyooshwe taratibu ukitumia nguvu unauvunja'

Wale wameumbwa kupewa nasaha kila mara tena kwa hekima AKIKUSHINDA ACHANA NAE
 
Kweli mkuu
 
You said it all ✍
 
Noted Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…