Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.
Mchetu mmwenga ni uchia wa mboro.mana yake mke mmoja ni ukiwa wa mboro.Hivyo basi km din inakuruhusu ongeza jiko tu atajirekebisha mwenyew akiwa na mwenzeke.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kama vile umokopy na kupaste kutoka kwangu, mimi kutokana na hayo uliyoyataja imebidi nianzishe mchakato wa kumfuatilia labda ana mchepuko. Kwakweli ndoa ni ngumu sana na wanawake ni rahisi sana kubadilika.
Kwakweli mbishasa kyoma
 
Mtafutie mkeo shughuli afanye, kukaa tu home sio ishu.... bahati mbaya ukikutokea ukawa huna tena uwezo wa kutafuta itakuaje? Atakua mgeni wa kutafuta atapata tabu yeye na wanao.

Hilo lingine kazi za nyumbani zinachosha sana kama unaweza atafute binti wa kumsaidia.

Pole ndio "kuvumiliana mapungufu huko"
 
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.
toka mwanzo alikuwa hivyo hivyo?? au ni kibonge nini?
 
Kabla ya kumuoa ulitumia muda gani kuchunguza vigezo unavyoitaji kwa yeye kuwa mkeo!! Je kuna mabadiliko tofauti na yale yaliyokupelekea kujiridhisha anafaa kuwa mkeo wa ndoa?? Ukiwa na majibu ya haya ni rahisi kupata jibu kama ulioa mtu sahihi kwako ama ulikurupuka!! Si rahisi kubadili tabia za asili za binti wa miaka 28 zaidi ya kukubaliana na hali hiyo...

Kabla ya kumuoa ulitumia muda gani kuchunguza vigezo unavyoitaji kwa yeye kuwa mkeo!! Je kuna mabadiliko tofauti na yale yaliyokupelekea kujiridhisha anafaa kuwa mkeo wa ndoa?? Ukiwa na majibu ya haya ni rahisi kupata jibu kama ulioa mtu sahihi kwako ama ulikurupuka!! Si rahisi kubadili tabia za asili za binti wa miaka 28 zaidi ya kukubaliana na hali hiyo...
Hata angetumia miaka 60 kumchunguza angepoteza muda tu,Kiufupi unaweza kuishi na mwanamke miaka 40 usimwelewe kabisa....! Maisha ya ndoa ni mchezo wewe mwanaume kuvumilia ujinga wa mwanamke ...

Wanawake wana ubavu uliopinda inatakiwa unyooshwe taratibu ukitumia nguvu unauvunja'

Wale wameumbwa kupewa nasaha kila mara tena kwa hekima AKIKUSHINDA ACHANA NAE
 
Za

Hata angetumia miaka 60 kumchunguza angepoteza muda tu,Kiufupi unaweza kuishi na mwanamke miaka 40 usimwelewe kabisa....! Maisha ya ndoa ni mchezo wewe mwanaume kuvumilia ujinga wa mwanamke ...

Wanawake wana ubavu uliopinda inatakiwa unyooshwe taratibu ukitumia nguvu unauvunja'

Wale wameumbwa kupewa nasaha kila mara tena kwa hekima AKIKUSHINDA ACHANA NAE
Kweli mkuu
 
Na ya kufuta vumbi tv ipo pia?vipi ya kitandani? na kupanga siting room pia,na kutandika bedroom? ushauri huu wa under age.

Ni hiv,angalia trend,je hii ni tabia yake toka unamuoa? au ameanza karibuni?kama ni tabia yake toka zamani kabla ya kupata watoto hao wawili basi hiyo haiwezi badilika. Ila kama ni tabia mpya itabadilika ukizungumza naye kwa respect.usimfanye yeye kushinda home ndiyo hana cha kufanya.anza kutambua mchango wake kwenye familia kwa kukufulia nguo hata hizo chache,kulea watoto wenu,kukupikia,hata kama mchana hakuletei chakula huko ofisini kwenu,ila jioni unakutaga chakula ukirudi.hata tu kulinda nyumba yenu ni kazi kubwa.

Kifupi anza kutambua yale mazuri yake kwanza.ila kama unaishi na mke kama unaishi na mdada wa kazi,hata angekuwa mvumilivu vipi mwisho atachoka.

Labda nikwambie,kila ndoa unayoiona hapa duniani inachangamoto zake.Wako wanawake wanaofanya hayo uliyoyasema,ila pia ni wachepukaji,walevi,wachawi.wanachukia ndugu wa mme, so huwezi kuwa na mke mwenye sifa zote,yaaani in short hayupo,simply kwa sababu hakuna mwanadamu mkamilifu.

Naona umesema umefikiria kuwa na mchepuko,hilo ni bomu lingine bro. unaliandaa likulipue ufe.usijaribu hata kidogo.Ni bora uendelee kumkumbusha huyo mkeo hivyo hivyo kuhusu hilo suala la unyumba.

Tafuta tabia nzuri alizonazo na umpongeze na vifurahie.Ongea naye kwa heshima kama mke
You said it all ✍
 
So far sijaona tatizo hapo naongea as a married man kwa muda wa kutosha tu kwenye ndoa!

Kuna issues ukizifuatilia sana zitakupa stress utashindwa kuielelea familia yako! Endelea na ratiba zako za kuwajengea future wanao. Hao ndio damu yako huyu mmekutana tu ukubwani.

Kukaa na watoto wawili kisha akupikie akuletee chakula mchana kazini hii ni BIG NO! Wewe kama uko serious basi Fanya mpango urudi home kula, that's simple! Ila dah kwa mwanaume halisi kurudi home kufuata msosi au kuletewa msosi kazini aagh hai-click kwangu.

Tatu, tendo la ndoa ni wewe na mpenzi wako, hapa atakayekushauri anakudanganya! Kila familia na kila MTU ana style yake na mwenza wake! Watoto wawili bila msaada na kazi za nyumbani na usiku unataka chakula on time na mkilala unataka AKUANZE huu ni UBISHOO na kujifanya wewe ni wa maana zaidi kuliko yeye!

NNE, unataka ukirudi aanze "kukutetemekea" jiulize, wewe Mara ngapi umerudi hata na chupi tu ya buku tatu pale mwenge ukampelekea? Au hata tango tu? Ukifika home anza kutengeneza furaha wewe mwenyewe. Sasa hutaki kutengeneza hio furaha na unataka wewe ndio utengenezewe furaha? Acha hizi

Sometimes tengeneza simple jokes, cheza na watoto, mtanie kidogo mkeo, piga nae story za kawaida, msifie kwa kazi za kutwa nzima hata kama you don't mean it.....inasaidia.

Mwisho, furaha yako au future ya wanao na ndoa yako iko mikononi mwako wewe mwenyewe!

Huyo Binti wa watu unamuoneleea tu, anza kubadilika wewe mwenyewe, kama hujatoka weeks msaidie kufua huku mnapiga story, msaidie kukàa na watoto wakati anafanya usafi. Sio ufanye home kwako kuwa gereza. Ni hayo tu
Noted Mkuu
 
Back
Top Bottom