Mke wangu kaenda kuolewa na pesa zangu

Brother shukuru Mungu kwa Kila jambo .Pambana muombe Mungu Rehema na Kibali atakupa kilichobora zaidi .
 
Mkuu kama ukiendesha gari inavuta upande mmoja hata baada ya kufanya wheel alignment na kubadili rack end, tatizo linaweza kuwa nini?
 
NI UTAPELI
KATAA KWA NGUVU ZAKO ZOTE



kazi kweli kweli/jobtruetrue


#
PONDA MALI KUFA KWAJA
 
Pole ndugu tambua tu kwenye maisha yako habari za kuhuzunisha zitakuwa nyingi kuliko za kufuraisha.
Miezi mitano umestahimili hongera move one.
Mtoto kama wako akikua atakutafuta TU baba damu nzito kitatokea kitu tu mtoto atamjua baba yake TU.
Mshukuru mungu Kwa yote akuwa fungu lako kama yeye mwajuma relax amina atakuja TU.
Maisha tunasindikizana Kila chenye mwanzo lazima kiwe na mwisho.
Mwanamke pekee ambaye ata ukitoweka kwenye uso wa Dunia atakupigia Dua na kukufagilia nyumba Yako ya milele ni mamako mzazi wengine hao ata akupendaje unaweza ukafa Leo kesho kwenye msiba wako akachumbiwa na akaolewa siku hiyo hiyo yaani mazishi Yako na sherehe yake inaweza ikawa siku Moja .
Ndugu yangu wanawake matapeli TU wasikuumize kichwa ukipata nafasi ya kuumiza mwanamke umiza kikwelikweli usionee huruma kiumbe chenye mpasuo wa shoka.
 
Hawa viumbe ninejifunza kutowaonea huruma, mwenyewe sina historia nao nzuri, nishasomesha mwanamke chuo kikuu ili akitoka aje kuwa mke wangu alichonifanyis hspa mungu anajua
 
Hawa viumbe ninejifunza kutowaonea huruma, mwenyewe sina historia nao nzuri, nishasomesha mwanamke chuo kikuu ili akitoka aje kuwa mke wangu alichonifanyis hspa mungu anajua
Duh! Kwani hii boda hukuwahi kuiona mkuu?👇
 

Attachments

  • download.jpg
    7.5 KB · Views: 2
Mtafute Nyundo mpe jukumu
 
Kosa kubwa sana ni unamuoa mwanamke housewife unataka kumfungulia biashara...kwann usioe mfanya biashara kabisa.?ambaye tayari anabiashara?

Ukitaka kuoa mfanyakazi nenda kwa wafanyakazi usimfundishe Binti eti awe mfanyakazi ndo umuoe..kosa kubwa sana...
 
Jipige kifua then mwambie Mungu, "Ahsante kwa kuniondolea hichi kimeo kwenye maisha yangu"
Then move on
 
Majanajike ya huo ukanda huwa ni majinga sana
 
Pole sana bro. Huyo dada ni vema kaonyesha mapepe mapema. Achana naye asije kudhuru. Umeumia lakini vumilia, hakufai huyu mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…